Nadhan Wameshiba sifa!! Kwa sasa Nalifanisha na Jambo Leo!! Huwa nimelipa Likizo ya kulinunua Kwa week Tatu!!
Nataka nitofautiane kwa mbali na mashambulizi aliyofanya mhariri wa gazeti la Mwananchi dhidi ya Mbunge wa Arumeru Mh. Joshua Nassari. Kauli aliyotoa Nassari siyo kauli mbaya kuliko zote kutolewa na kiongozi wa kisiasa kiasi cha Mhariri kutumia maelezo mengi kumdhalilisha mbunge huyu eti "alikuwa hajajipanga kuwa Mbunge". Huu ni unafiki mkubwa na chuki binafsi kwani the same gazeti kwa kipindi chote karibu mwenzi mzima wa Kampeni za ubunge huko Arumeru liliweza kusikiliza na kuripoti kampeni za Nassari vizuri kabisa na wakati mwingi kumsifia. Mwezi huo ulikuwa unatosha kueleza wanayoeleza leo kwani si rahisi kama mtu hana busara au zimtoshi kuweza kuzificha kwa mwenzi mzima. Mfano mzuri ni Livingistone Lusinde alivyodhihirisha utaalam wa matusi na utomvu wa nidhamu kwa muda mfupi alioshiriki katika kampeni. Leo hii Joshua anateleza kidogo Gazeti la mwananchi linamshambulia eti anatakiwa afundwe, na alikuwa hajajipanga kuwa mbunge. Hili gazeti nasema limetumwa na inawezekana ndio mwanzo wa kupoteza dira na heshima iliyojijengea.
Hivi ni mara ngapi mkuu wa nchi anatoa kauli mbaya na hata za iabu kuliko Nassari na hamsemi anahitaji kufundwa au hajajiandaa kuwa rais?
Ni mara ngapi Mawaziri wanatoa kauli ambazo zinatia kichefuchefu na iabu kwa taifa na humuandiki?
Iweje leo mtumie karibu ukurasa mzima kumshambulia Mbunge wa Arumeru.
GAZETI LA MWANANCHI LIMEKWENDA MBALI SANA KWANI MAJUMUISHO YA MHARIRI YANATAKA KUAMINISHA WASOMAJI KWAMBA NASSARI HAJUI AFANYALO, HAJATULIA, HAJAKOMAA NA HANA UWEZO WA KUONGEA MAJUKWAANI.
Mimi natofautiana nanyi kutokana na chuki binafsi mliyoonyesha kuicheza ngoma msiyoijua sawsawa.
Tuwaachie viongozi wetu wawe ndo watetezi zaidi wa kauli zao chafu wanazozitoa ili waoneshe ukomavu walio nao kisiasa , tukianza kuwakingia kifua eti kwa sababu ni jamaa, ndugu, rafiki yako au kwa sababu anatoka chama unachoshabikia, hakika tunatengeneza viongozi vilaza. Hata hili la NASSARI nalo ni la kumtetea kweli? anashindwa kujitokeza mwenyewe kwenye media akatwambia msimamo wake ni nini kuhusiana na kauli yake? Tusiwalee vijana hawa kama mayai baadaye yatakuwa mayai viza.
Hili gazeti linatumiwa na ZITTO na Usalama wa Taifa (AKA) ZOKA. Nani asiyejua uhusiano wa Mhariri wa gazeti hilo, Denis Msaki na Zitto? Nani asiyejua uhusiano wa MSAKI, ZOKA NA ZITO?
NANI asiyejua kuwa Zitto anataka kuonekana yeye ndiyo mwanasisa makini na bora ndani ya CDM kuliko wengine.
GAZETI LA MWANANCHI limetia aibu katika hili. Linakubali kutumiwa na watu wenye maslahi binafsi tena kwenye tahariri? Uandishi gani huu usiyofuata maadili? Vyombo vya dola vimetangaza kufanya uchunguzi juu ya matamshi ya NASARI, KABLA YA UCHUNGUZI HAUJATOKA, gazeti linaandika tahariri? Aibu!
Brother TIDO hapa unaharibu sifa yako. Je, ikiwa Nasari atafikishwa mahakamani mtaweza vipi kujitetea kuwa TAHARIRI yenu hamkushinikiza polisi kuchukua hatua hiyo? Je, akipelekwa mahakamani na akashinda kesi, mtakuwa tayari kulipa fidia kwa mliyosababisha? Mbona mnataka kutumiwa kama KONDOM kwa maslahi ya kundi fulani - ZOKA NA ZITO kupitia kwa MSAKI?
Nawasilisha.
Acha kutetea upumbuvu. Hii tabia ya kutetea uovu kwa kulinganisha na uovu imeshakemewa sana humu janvini. Kubali Nasari alichemka na anapasa kujutia alichokisema. Anapaswa kutuomba Radhi wanachadema an watanzania wengine.
hujasikia utetezi wa Nassari, au akina Lusinde hamjui ule usemi wa "nyani haoni....."
Mwananchi ni Gazeti makini sana Tanzania.
Nataka nitofautiane kwa mbali na mashambulizi aliyofanya mhariri wa gazeti la Mwananchi dhidi ya Mbunge wa Arumeru Mh. Joshua Nassari. Kauli aliyotoa Nassari siyo kauli mbaya kuliko zote kutolewa na kiongozi wa kisiasa kiasi cha Mhariri kutumia maelezo mengi kumdhalilisha mbunge huyu eti "alikuwa hajajipanga kuwa Mbunge". Huu ni unafiki mkubwa na chuki binafsi kwani the same gazeti kwa kipindi chote karibu mwenzi mzima wa Kampeni za ubunge huko Arumeru liliweza kusikiliza na kuripoti kampeni za Nassari vizuri kabisa na wakati mwingi kumsifia. Mwezi huo ulikuwa unatosha kueleza wanayoeleza leo kwani si rahisi kama mtu hana busara au zimtoshi kuweza kuzificha kwa mwenzi mzima. Mfano mzuri ni Livingistone Lusinde alivyodhihirisha utaalam wa matusi na utomvu wa nidhamu kwa muda mfupi alioshiriki katika kampeni. Leo hii Joshua anateleza kidogo Gazeti la mwananchi linamshambulia eti anatakiwa afundwe, na alikuwa hajajipanga kuwa mbunge. Hili gazeti nasema limetumwa na inawezekana ndio mwanzo wa kupoteza dira na heshima iliyojijengea.
Hivi ni mara ngapi mkuu wa nchi anatoa kauli mbaya na hata za iabu kuliko Nassari na hamsemi anahitaji kufundwa au hajajiandaa kuwa rais?
Ni mara ngapi Mawaziri wanatoa kauli ambazo zinatia kichefuchefu na iabu kwa taifa na humuandiki?
Iweje leo mtumie karibu ukurasa mzima kumshambulia Mbunge wa Arumeru.
GAZETI LA MWANANCHI LIMEKWENDA MBALI SANA KWANI MAJUMUISHO YA MHARIRI YANATAKA KUAMINISHA WASOMAJI KWAMBA NASSARI HAJUI AFANYALO, HAJATULIA, HAJAKOMAA NA HANA UWEZO WA KUONGEA MAJUKWAANI.
Mimi natofautiana nanyi kutokana na chuki binafsi mliyoonyesha kuicheza ngoma msiyoijua sawsawa.
Hili ni gazeti majitaka haiwezekani mhariri kutenga kurasa maalum kushambulia chama na mtu mmoja tena kwenye suala linaloshughulikiwa kisheria.Ni gazeti lisilo hata na chembe ya kutenda haki.
Mkuu haya mawazo yako yako kishabiki wa kisiasa zaidi kuliko ufahamu wa kisiasa.Nataka nitofautiane kwa mbali na mashambulizi aliyofanya mhariri wa gazeti la Mwananchi dhidi ya Mbunge wa Arumeru Mh. Joshua Nassari. Kauli aliyotoa Nassari siyo kauli mbaya kuliko zote kutolewa na kiongozi wa kisiasa kiasi cha Mhariri kutumia maelezo mengi kumdhalilisha mbunge huyu eti "alikuwa hajajipanga kuwa Mbunge". Huu ni unafiki mkubwa na chuki binafsi kwani the same gazeti kwa kipindi chote karibu mwenzi mzima wa Kampeni za ubunge huko Arumeru liliweza kusikiliza na kuripoti kampeni za Nassari vizuri kabisa na wakati mwingi kumsifia. Mwezi huo ulikuwa unatosha kueleza wanayoeleza leo kwani si rahisi kama mtu hana busara au zimtoshi kuweza kuzificha kwa mwenzi mzima. Mfano mzuri ni Livingistone Lusinde alivyodhihirisha utaalam wa matusi na utomvu wa nidhamu kwa muda mfupi alioshiriki katika kampeni. Leo hii Joshua anateleza kidogo Gazeti la mwananchi linamshambulia eti anatakiwa afundwe, na alikuwa hajajipanga kuwa mbunge. Hili gazeti nasema limetumwa na inawezekana ndio mwanzo wa kupoteza dira na heshima iliyojijengea.
Hivi ni mara ngapi mkuu wa nchi anatoa kauli mbaya na hata za iabu kuliko Nassari na hamsemi anahitaji kufundwa au hajajiandaa kuwa rais?
Ni mara ngapi Mawaziri wanatoa kauli ambazo zinatia kichefuchefu na iabu kwa taifa na humuandiki?
Iweje leo mtumie karibu ukurasa mzima kumshambulia Mbunge wa Arumeru.
GAZETI LA MWANANCHI LIMEKWENDA MBALI SANA KWANI MAJUMUISHO YA MHARIRI YANATAKA KUAMINISHA WASOMAJI KWAMBA NASSARI HAJUI AFANYALO, HAJATULIA, HAJAKOMAA NA HANA UWEZO WA KUONGEA MAJUKWAANI.
Mimi natofautiana nanyi kutokana na chuki binafsi mliyoonyesha kuicheza ngoma msiyoijua sawsawa.
nataka nitofautiane kwa mbali na mashambulizi aliyofanya mhariri wa gazeti la mwananchi dhidi ya mbunge wa arumeru mh. Joshua nassari. Kauli aliyotoa nassari siyo kauli mbaya kuliko zote kutolewa na kiongozi wa kisiasa kiasi cha mhariri kutumia maelezo mengi kumdhalilisha mbunge huyu eti "alikuwa hajajipanga kuwa mbunge". Huu ni unafiki mkubwa na chuki binafsi kwani the same gazeti kwa kipindi chote karibu mwenzi mzima wa kampeni za ubunge huko arumeru liliweza kusikiliza na kuripoti kampeni za nassari vizuri kabisa na wakati mwingi kumsifia. Mwezi huo ulikuwa unatosha kueleza wanayoeleza leo kwani si rahisi kama mtu hana busara au zimtoshi kuweza kuzificha kwa mwenzi mzima. Mfano mzuri ni livingistone lusinde alivyodhihirisha utaalam wa matusi na utomvu wa nidhamu kwa muda mfupi alioshiriki katika kampeni. Leo hii joshua anateleza kidogo gazeti la mwananchi linamshambulia eti anatakiwa afundwe, na alikuwa hajajipanga kuwa mbunge. Hili gazeti nasema limetumwa na inawezekana ndio mwanzo wa kupoteza dira na heshima iliyojijengea.
Hivi ni mara ngapi mkuu wa nchi anatoa kauli mbaya na hata za iabu kuliko nassari na hamsemi anahitaji kufundwa au hajajiandaa kuwa rais?
Ni mara ngapi mawaziri wanatoa kauli ambazo zinatia kichefuchefu na iabu kwa taifa na humuandiki?
Iweje leo mtumie karibu ukurasa mzima kumshambulia mbunge wa arumeru.
Gazeti la mwananchi limekwenda mbali sana kwani majumuisho ya mhariri yanataka kuaminisha wasomaji kwamba nassari hajui afanyalo, hajatulia, hajakomaa na hana uwezo wa kuongea majukwaani.
Mimi natofautiana nanyi kutokana na chuki binafsi mliyoonyesha kuicheza ngoma msiyoijua sawsawa.
kaka umemaliza,nataka kuamini kuwa zitto hata hukumu ya lema yupo nyuma yake,anataka aonekane star peke yake cdm..nasary kauli yako mbona ya kawaida tu.ZITTO MTU HATARI CDM.
kwenye kauli ya Nassari zitto anaingiaje au zitto ndio alimtuma dogo janja aropoke ili kuimarisha kambi yake.? Mwananchi wapo sahihi haiwezekani kuwa na viongozi ambao hawawezi kukosolewa. Chadema wengi tunakipenda kwa kuamini ndio mkombozi wa mtanzania lakini haimaanishi viongozi wake wanapokosea wasikolewe huo sio uongozi.! Dogo janja akubali amekosea aombe msamaha kwa watanzanzia. Watanzania wanahuruma watamsamehe na itamjenga huko mbeleni kuwa ni kiongozi ambaye yupo tayari kuwajibika kwa faida ya taifa.!Hili gazeti linatumiwa na ZITTO na Usalama wa Taifa (AKA) ZOKA. Nani asiyejua uhusiano wa Mhariri wa gazeti hilo, Denis Msaki na Zitto? Nani asiyejua uhusiano wa MSAKI, ZOKA NA ZITO?
NANI asiyejua kuwa Zitto anataka kuonekana yeye ndiyo mwanasisa makini na bora ndani ya CDM kuliko wengine.
GAZETI LA MWANANCHI limetia aibu katika hili. Linakubali kutumiwa na watu wenye maslahi binafsi tena kwenye tahariri? Uandishi gani huu usiyofuata maadili? Vyombo vya dola vimetangaza kufanya uchunguzi juu ya matamshi ya NASARI, KABLA YA UCHUNGUZI HAUJATOKA, gazeti linaandika tahariri? Aibu!
Brother TIDO hapa unaharibu sifa yako. Je, ikiwa Nasari atafikishwa mahakamani mtaweza vipi kujitetea kuwa TAHARIRI yenu hamkushinikiza polisi kuchukua hatua hiyo? Je, akipelekwa mahakamani na akashinda kesi, mtakuwa tayari kulipa fidia kwa mliyosababisha? Mbona mnataka kutumiwa kama KONDOM kwa maslahi ya kundi fulani - ZOKA NA ZITO kupitia kwa MSAKI?
Nawasilisha.
Acha kutetea upumbuvu. Hii tabia ya kutetea uovu kwa kulinganisha na uovu imeshakemewa sana humu janvini. Kubali Nasari alichemka na anapasa kujutia alichokisema. Anapaswa kutuomba Radhi wanachadema an watanzania wengine.
dogo ana miaka 28 he's yet to mature...mvumilieni