Joshua Nassari: Kuanzia sasa sitashangaa tena kiongozi anapomuweka ndani mtu

Bikirajohola

JF-Expert Member
Jun 11, 2022
356
632
Mkuu wa Wilaya ya Bunda (DC), Joshua Nassari ameeleza magumu anayokutana nayo katika kutekeleza majukumu yake hali inayomlazimu wakati mwingine kutoa amri ya kukamtwa kwa watu mbalimbali ambao wanaonkena kuwa kikwazo cha yeye kutumiza wajibu wake.

Akizungumza kwenye kikao kilichoitishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi kwaajili ya kuongea na makandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali mkoani Mara, Nassari amesema kuwa awali kabla hajawa mkuu wa wilaya alikuwa anawashangaa wakuu wa wilaya na mikoa waliokuwa wakitoa amri ya kuwaweka watu ndani.

"Bahati nzuri au mbaya mimi nimefanya siasa nikiwa mpinzani nilikuwa nawashangaa sana wakuu wa mikoa na wilaya waliokuwa wakitoa amri za kuwakamata watu nikawa naona kama huo sio utawala bora kumbe nilikuwa sijui kuna nini" amesema.

Nassari ametoa kauli hiyo kufuatia kuwepo kwa makandarasi wawili ambao ni Nodica na CYM wanaotekeleza miradi ya barabara chini ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini ( Tarura) wilayani Bunda ambao wameshindwa wa kutekeleza miradi yao kwa mujibu wa mikataba hali iliyomlazimu kutoa amri ya makamdarasi hao kukamtwa na polisi.

"Huyu mzee wa CYM ni mtu mzima umri wa baba yangu lakini ilifika hatua nikaamuru awekwe ndani baada ya kushindwa kutekeleza mradi wake wa Sh300 milioni ingawa kabla ya hapo nilimtafuta nikaongea naye zaidi ya mara mbili na kumpa maelekezo nini anatakiwa kufanya lakini hakuna alichokifanya zaidi ya kuendelea kusumbua tu" amesema Nassari.

Amesema kuwa amelazimika kumzuia mkandarasi mwingine wa kampuni ya Nodica kutotoka wilayani Bunda hadi atakapokamilisha mradi wake wenye thamani ya zaidi ya Sh500 milioni ambao tayari upo nyuma ya muda na kwamba maamuzi hayo ameyafikia baada ya mkandarasi huyo kukaidi wito wake na hivyo kulazimika kutumia jeshi la polisi kumtafuta na kumuweka ndani.

Chanzo: Mwananchi
 
Musoma. Mkuu wa Wilaya ya Bunda (DC), Joshua Nassari ameeleza magumu anayokutana nayo katika kutekeleza majukumu yake hali inayomlazimu wakati mwingine kutoa amri ya kukamtwa kwa watu mbalimbali ambao wanaonkena
Kwani suluhisho ni kuwekwa ndani? Hii miradi inakuwaga na michongo mingi mno. Nasari alikuwa na akili kipindi kile sio saivi. Rudi nyumbani wewe Joshua.


YESU NI BWANA.
 
Mkuu wa Wilaya ya Bunda (DC), Joshua Nassari ameeleza magumu anayokutana nayo katika kutekeleza majukumu yake hali inayomlazimu wakati mwingine kutoa amri ya kukamtwa kwa watu mbalimbali ambao wanaonkena kuwa kikwazo cha yeye kutumiza wajibu wake.

Akizungumza kwenye kikao kilichoitishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi kwaajili ya kuongea na makandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali mkoani Mara, Nassari amesema kuwa awali kabla hajawa mkuu wa wilaya alikuwa anawashangaa wakuu wa wilaya na mikoa waliokuwa wakitoa amri ya kuwaweka watu ndani.

"Bahati nzuri au mbaya mimi nimefanya siasa nikiwa mpinzani nilikuwa nawashangaa sana wakuu wa mikoa na wilaya waliokuwa wakitoa amri za kuwakamata watu nikawa naona kama huo sio utawala bora kumbe nilikuwa sijui kuna nini" amesema.

Nassari ametoa kauli hiyo kufuatia kuwepo kwa makandarasi wawili ambao ni Nodica na CYM wanaotekeleza miradi ya barabara chini ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini ( Tarura) wilayani Bunda ambao wameshindwa wa kutekeleza miradi yao kwa mujibu wa mikataba hali iliyomlazimu kutoa amri ya makamdarasi hao kukamtwa na polisi.

"Huyu mzee wa CYM ni mtu mzima umri wa baba yangu lakini ilifika hatua nikaamuru awekwe ndani baada ya kushindwa kutekeleza mradi wake wa Sh300 milioni ingawa kabla ya hapo nilimtafuta nikaongea naye zaidi ya mara mbili na kumpa maelekezo nini anatakiwa kufanya lakini hakuna alichokifanya zaidi ya kuendelea kusumbua tu" amesema Nassari.

Amesema kuwa amelazimika kumzuia mkandarasi mwingine wa kampuni ya Nodica kutotoka wilayani Bunda hadi atakapokamilisha mradi wake wenye thamani ya zaidi ya Sh500 milioni ambao tayari upo nyuma ya muda na kwamba maamuzi hayo ameyafikia baada ya mkandarasi huyo kukaidi wito wake na hivyo kulazimika kutumia jeshi la polisi kumtafuta na kumuweka ndani.

Chanzo: Mwananchi
Huyu. Nae ni kilaza tu,kwani hakuna sheria za kutumia kwa wakandarasi wanaokiuka mikataba yao?vijana wakishalewa madaraka ni shida sana.
 
K
Mkuu wa Wilaya ya Bunda (DC), Joshua Nassari ameeleza magumu anayokutana nayo katika kutekeleza majukumu yake hali inayomlazimu wakati mwingine kutoa amri ya kukamtwa kwa watu mbalimbali ambao wanaonkena kuwa kikwazo cha yeye kutumiza wajibu wake.

Akizungumza kwenye kikao kilichoitishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi kwaajili ya kuongea na makandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali mkoani Mara, Nassari amesema kuwa awali kabla hajawa mkuu wa wilaya alikuwa anawashangaa wakuu wa wilaya na mikoa waliokuwa wakitoa amri ya kuwaweka watu ndani.

"Bahati nzuri au mbaya mimi nimefanya siasa nikiwa mpinzani nilikuwa nawashangaa sana wakuu wa mikoa na wilaya waliokuwa wakitoa amri za kuwakamata watu nikawa naona kama huo sio utawala bora kumbe nilikuwa sijui kuna nini" amesema.

Nassari ametoa kauli hiyo kufuatia kuwepo kwa makandarasi wawili ambao ni Nodica na CYM wanaotekeleza miradi ya barabara chini ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini ( Tarura) wilayani Bunda ambao wameshindwa wa kutekeleza miradi yao kwa mujibu wa mikataba hali iliyomlazimu kutoa amri ya makamdarasi hao kukamtwa na polisi.

"Huyu mzee wa CYM ni mtu mzima umri wa baba yangu lakini ilifika hatua nikaamuru awekwe ndani baada ya kushindwa kutekeleza mradi wake wa Sh300 milioni ingawa kabla ya hapo nilimtafuta nikaongea naye zaidi ya mara mbili na kumpa maelekezo nini anatakiwa kufanya lakini hakuna alichokifanya zaidi ya kuendelea kusumbua tu" amesema Nassari.

Amesema kuwa amelazimika kumzuia mkandarasi mwingine wa kampuni ya Nodica kutotoka wilayani Bunda hadi atakapokamilisha mradi wake wenye thamani ya zaidi ya Sh500 milioni ambao tayari upo nyuma ya muda na kwamba maamuzi hayo ameyafikia baada ya mkandarasi huyo kukaidi wito wake na hivyo kulazimika kutumia jeshi la polisi kumtafuta na kumuweka ndani.

Chanzo: Mwananchi
Kazi ya mkuu wa wilaya ni kukimbiza mwenge.
Kama mkuu wa wilaya ana kazi zote hizo na DED asemeje sasa?
Atuwekee hapa JD take tuone
 
K

Kazi ya mkuu wa wilaya ni kukimbiza mwenge.
Kama mkuu wa wilaya ana kazi zote hizo na DED asemeje sasa?
Atuwekee hapa JD take tuone
Kama maendeleo ni kuzunguka sana nje ya nchi, hiyo nchi ya Oman kiongozi wao mkuu huwa anafanya ziara wapi?
 
Huyu. Nae ni kilaza tu,kwani hakuna sheria za kutumia kwa wakandarasi wanaokiuka mikataba yao?vijana wakishalewa madaraka ni shida sana.
Yaani upewe hela utegeneze barabara, wewe unaenda kwanza kumalizia nyumba yako, kweli nisikutupe ndani? Mkataba gani huo?
Ni wizi wa moja kwa moja!
 
Kuna watu wengine hata uwaambie nini hawasikii hata uwape onyo vipi ndiyo kwanza wanafanya vilevile. Sasa hawa wanatakiwa kukaa ndani kidogo ili wawe na adabu
 
Back
Top Bottom