Mataifa 11 ya Afrika Magharibi yaandaa yajitolea kupokeza wanajeshi watakaokwenda kuiweka sawa Niger

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,654
48,432
Zama za wanajeshi kukurupuka na kuchukua uongozi wa nchi zimepitwa na wakati, ndio mojawapo wa sababu Afrika huonekana kama bara la njaa na vita vita vya kijinga. Inapaswa tulumbane kwa hoja kama raia lakini malumbano yenyewe yabaki kwenye ndani ya wananchi, sio hawa wavaa magwanda ghafla kuichukua nchi.
Ifahamike utawala wa kijeshi ni wa hovyo sana, maana hauwezi ukakosolewa, wanakalia kibabe na kulazimisha kila kitu na hata kuua watu.
Unakuta hao hao wavaa magwanda, viongozi waandamizi humo ndio mafisadi kupita maelezo na hauwezi kuwasema......
Kunao mnashabikia hili la Niger kisa Putin yupo upande wa wanajeshi, mnadhani mnaikomoa Marekani kama ambavyo huwa mnafanya kidini hususan ya kule Ukraine, ila haisaidii Niger....
========================

Soldiers from 11 West African nations are "ready" to be sent into coup-hit Niger to restore ousted president Mohamed Bazoum, officials have said.

It comes after leaders of the countries agreed to commit troops for a military operation in Niger, led by the Economic Community of West African States (ECOWAS).
 
Wala siyo kuishabikia Urusi,ni MFARANSA kuvuna utajiri wa muafrika wa Niger miaka na
mikaka huku muafrika akiendelea kuzorota ndani ya umasikini wa kutisha.
Kwanini hawakuivamia Burkina ama wa Mali?
Mali asili zetu Sasa lazima tuziongezee bei,zitufaidi waafrika.
Down with poverty and western colonization,we are breaking free from economic colonization.
Value addition for our resources,we set the prices,huu ni mwanya muafaka na tusipoutumia kama waafrika hatutokuja jitoa umasikini.
Ukoloni ukoloni ukoloni.
 
Wala siyo kuishabikia Urusi,ni MFARANSA kuvuna utajiri wa muafrika wa Niger miaka na
mikaka huku muafrika akiendelea kuzorota ndani ya umasikini wa kutisha.
Kwanini hawakuivamia Burkina ama wa Mali?
Mali asili zetu Sasa lazima tuziongezee bei,zitufaidi waafrika.
Down with poverty and western colonization,we are breaking free from economic colonization.
Value addition for our resources,we set the prices,huu ni mwanya muafaka na tusipoutumia kama waafrika hatutokuja jitoa umasikini.
Ukoloni ukoloni ukoloni.
na babu zetu walijiingiza kwenye ukolon kisa kuangalia madhaif ya watawala wao na kusahau mabaya ya watu wanaoshirikiana nao kuwapiga vita watawala wao
 
Wala siyo kuishabikia Urusi,ni MFARANSA kuvuna utajiri wa muafrika wa Niger miaka na
mikaka huku muafrika akiendelea kuzorota ndani ya umasikini wa kutisha.
Kwanini hawakuivamia Burkina ama wa Mali?
Mali asili zetu Sasa lazima tuziongezee bei,zitufaidi waafrika.
Down with poverty and western colonization,we are breaking free from economic colonization.
Value addition for our resources,we set the prices,huu ni mwanya muafaka na tusipoutumia kama waafrika hatutokuja jitoa umasikini.
Ukoloni ukoloni ukoloni.
Ukitoa nchi za kiarabu , nchi zilizobaki za waafrika hazipo huru , viongozi wao 90 % ni vibaraka watiifu wa nchi za Magharibi , wao ndo hupanga na hushindanisha wote vibaraka kwenye chaguzi , whatever atakayeshinda ni mtu wao , ikitokea by mistake aliyekaa juu siyo mtu wao watapambana naye to the last breath mpak aanguke ,. umaskini tunaoulilia ni mfumo uliosimikwa Rasmi kwenye nchi za kiafrica , sio kazi rahs kujinasua kama unavyofkria ..kilichopo hapa ni kupambana mmoja mmoja lakini kama Taifa ni totally impossible
 
A
Zama za wanajeshi kukurupuka na kuchukua uongozi wa nchi zimepitwa na wakati, ndio mojawapo wa sababu Afrika huonekana kama bara la njaa na vita vita vya kijinga. Inapaswa tulumbane kwa hoja kama raia lakini malumbano yenyewe yabaki kwenye ndani ya wananchi, sio hawa wavaa magwanda ghafla kuichukua nchi.
Ifahamike utawala wa kijeshi ni wa hovyo sana, maana hauwezi ukakosolewa, wanakalia kibabe na kulazimisha kila kitu na hata kuua watu.
Unakuta hao hao wavaa magwanda, viongozi waandamizi humo ndio mafisadi kupita maelezo na hauwezi kuwasema......
Kunao mnashabikia hili la Niger kisa Putin yupo upande wa wanajeshi, mnadhani mnaikomoa Marekani kama ambavyo huwa mnafanya kidini hususan ya kule Ukraine, ila haisaidii Niger....
========================

Soldiers from 11 West African nations are "ready" to be sent into coup-hit Niger to restore ousted president Mohamed Bazoum, officials have said.

It comes after leaders of the countries agreed to commit troops for a military operation in Niger, led by the Economic Community of West African States (ECOWAS).
PUMBAFU KIBARAKA WA WAZUNGU. Niger inasafa kwasababu kuna masilahi makubwa kwa ufaransa, marekani na Nigeria. Kama mapinduzi yameshafanywa sana Afrika kwanini sasa iwe nongwa?

Wanaiga wenyewe wanasemaje kuhusu hayo mpinduzi? Wameyafurahia au wameyakataa? Unafikiri nani wana uchungu zaidi kati ya Niger na ECOWAS??
 
Demokrasia lazima iheshimiwe

Acha upumbavu. Western wanaheshimu demokrasi pale tu wanapoona kuna masilahi yao na mifano ipo mingi tu
 
A
PUMBAFU KIBARAKA WA WAZUNGU. Niger inasafa kwasababu kuna masilahi makubwa kwa ufaransa, marekani na Nigeria. Kama mapinduzi yameshafanywa sana Afrika kwanini sasa iwe nongwa?

Wanaiga wenyewe wanasemaje kuhusu hayo mpinduzi? Wameyafurahia au wameyakataa? Unafikiri nani wana uchungu zaidi kati ya Niger na ECOWAS??
Una ujuaji na UJINGA mwingi, jiulize ni nchi ngapi ECOWAS wameingia ili kurejesha utawala wa kiraia, huko kote ilikuwa wazungu?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
kenya haijawai ongozwa kijeshi ndio maana huelew
Wanaweza kuanza mchakato wa uchaguzi kabisa wapewe nafasi,Tena wanaweza kuwatafuta viongozi raia wenye uchungu na rasilmali za umma pamoja na maliasili.
 
Katafute hotuba ya raisi wa Uganda ,Museveni.
Hapa tu Kenya kahawa inachotwa ikiwa Mali ghafi,wazungu wanaiongezea ubora kisha kutuuzia Star buck,java etc Kwa bei ghali.
Leo hii tubuthu kuwaambia wazijenge viwanda hapa hapa vya kuchakata na processing hili tusiuze kahawa ikiwa raw materials uone matokeo.
Total world trade value chain for coffee is 490 billion USD,Africa as the largest producer (countries in Africa combined ) receives a meagre 4.5 billion USD ,total value chain per annum because of exporting it as a raw material.
Unfair TRADE , Imbalanced thuggery na wamekataa,ukithubutu kupanga bei ama currency unataka unapotezwa a la' Ghaddafi.
Tutaendelea kuwa masikini Hadi lini?
Vijana wakizama baharini wengine wakizamia huko kwao Kwa sababu wanazichukua wao kazi zooote hizo za processing,industries, packaging,testing,value addition etc.
Wamekaba the main employing industries na wao hawana vijana na watu wachanga wengi kama Afrika,ilmradi tu watu wetu wakafuate fursa kwao na wao wakalitumie hili kama method of control.
Zama za wanajeshi kukurupuka na kuchukua uongozi wa nchi zimepitwa na wakati, ndio mojawapo wa sababu Afrika huonekana kama bara la njaa na vita vita vya kijinga. Inapaswa tulumbane kwa hoja kama raia lakini malumbano yenyewe yabaki kwenye ndani ya wananchi, sio hawa wavaa magwanda ghafla kuichukua nchi.
Ifahamike utawala wa kijeshi ni wa hovyo sana, maana hauwezi ukakosolewa, wanakalia kibabe na kulazimisha kila kitu na hata kuua watu.
Unakuta hao hao wavaa magwanda, viongozi waandamizi humo ndio mafisadi kupita maelezo na hauwezi kuwasema......
Kunao mnashabikia hili la Niger kisa Putin yupo upande wa wanajeshi, mnadhani mnaikomoa Marekani kama ambavyo huwa mnafanya kidini hususan ya kule Ukraine, ila haisaidii Niger....
========================

Soldiers from 11 West African nations are "ready" to be sent into coup-hit Niger to restore ousted president Mohamed Bazoum, officials have said.

It comes after leaders of the countries agreed to commit troops for a military operation in Niger, led by the Economic Community of West African States (ECOWAS).
 
Zama za wanajeshi kukurupuka na kuchukua uongozi wa nchi zimepitwa na wakati, ndio mojawapo wa sababu Afrika huonekana kama bara la njaa na vita vita vya kijinga. Inapaswa tulumbane kwa hoja kama raia lakini malumbano yenyewe yabaki kwenye ndani ya wananchi, sio hawa wavaa magwanda ghafla kuichukua nchi.
Ifahamike utawala wa kijeshi ni wa hovyo sana, maana hauwezi ukakosolewa, wanakalia kibabe na kulazimisha kila kitu na hata kuua watu.
Unakuta hao hao wavaa magwanda, viongozi waandamizi humo ndio mafisadi kupita maelezo na hauwezi kuwasema......
Kunao mnashabikia hili la Niger kisa Putin yupo upande wa wanajeshi, mnadhani mnaikomoa Marekani kama ambavyo huwa mnafanya kidini hususan ya kule Ukraine, ila haisaidii Niger....
========================

Soldiers from 11 West African nations are "ready" to be sent into coup-hit Niger to restore ousted president Mohamed Bazoum, officials have said.

It comes after leaders of the countries agreed to commit troops for a military operation in Niger, led by the Economic Community of West African States (ECOWAS).
Waafrika wanachohitaji ni katiba zenye haki ya kufanya a recall vote, na wananchi wenye elimu ya uraia.

This way mkimchagua rais aongoze miaka mitano, baada ya miaka miwili mkiona hafai, wananchi wanamuondoa kwa recall vote, bila kuhitaji kutumia mapinduzi ya kijeshi.
 
Demokrasia lazima iheshimiwe

Democracy ipi?ya Niger kuibiwa rasilimali zake na nchi za magharibi?wewe hujawahi kutumia akili.
 
Democracy ipi?ya Niger kuibiwa rasilimali zake na nchi za magharibi?wewe hujawahi kutumia akili.
Nchi hiyo tajiri kwenye Maliasili imeibiwa kwelikweli mpaka wanatia huruma.
Nchi ipo gizani,😭😭😭
Acha wakajikomboe.
Na angelikua mwerevu au mwema huyo Mfaransa ,angalau angeliwajengea nchi wa Niger hata kidogo tu huku akiJichotea mali asili.
Pumbavu mkubwa Mfaransa,tazama koloni zake zote ,dalili za tabia zake chafu za kifisi .
Aluta continua 🦾🦾🦾
 
Back
Top Bottom