Vita sasa ni Mbowe na Slaa

Vita sasa ni Mbowe na Slaa

Mmejaribu njia zote za kuwachonganisha mmeshindwa sasa mnakuja na huu utumbo.....
Kajipangeni mje kivingine. Chadema wako makini kuliko unavyowezakufikiria
 
Nani amchague Mbowe,Hivi ndani ya Chadema hamna mtu mwingine wa kusimama kwenye nafasi hiyo?
 
Gazeti la aina hii linatakiwa litafute waandishi watafiti kwani inaonekana waandishi wake ni wavivu wa kufikiri na kutafuta habari
 
naona UCHAGA NA UKABILA UNAENDELEA KURINDIMA NDAN YA HIKO CHAMA,

SASA WAMEANZIA KWENYE UCHAGA NA UPARE,

KWENYE UDINI HIVI SASA WAMEANZIA KWENYE UKATOLIKI NA ULUTHERI SASA

THATS WHY TUNASEMA CHADEMA NI CHAMA CHA KIDINI NA KIKABILA.

Ndio maana Nyerere aliwatia adabu. Mzimu wake utawatafuna hadi mtakapoingia kaburini.
 
Nyerere aliwai kusema juu ya dhambi ya ubaguzi......


Hii..... haitawaacha hata kidogo nyie baguaneni tu ....hata sisi watanzania mmetugawa tayari tulijua ndio chama ambacho kitatufikisha panapo stahili lkn sasa .........HAKUNA MATUMAINI TENA...........
Ndio maana Nyerere aliwachinjilia mbali wavaa vipedo kwa kuifutilia mbali mahakama ya KADHIA
 
Back
Top Bottom