Vita sasa ni Mbowe na Slaa

Vita sasa ni Mbowe na Slaa

Sifa za kijinga hushabikiwa kijinga, hongera kwa uhalo uliotuletea, Mbowe alishamtangaza kura yake iko kwa slaa, leo uje na uhalo huuu?
 
kauli mbiu ya chadema ni " MOSHI KWANZA, TANZANIA BADAE"

Ni kama wakati wa Nyerere. Ukatoliki kwanza, linchi lenu badae. Nyerere noma! Kawashughulikia wahuni na magaidi kawaachia libakwata saa hizi limewakaa kooni. Nyerere: Ukatoliki kwanza Tanzania badae
 
Yaani Gazeti hili ukienda ukurasa wa tatu utakuta elimu ya unajimu,kisha jinsi ya kujiunga na Freemasons mwisho kwenye habari za michezo wanajadili taulo alilotundika kipa wa Simba siku ya Mechi ya Simba na Yanga


tazama ndo lile liko chin ya rostam aziz? mkurugenz-hussein bashe
ulitegemea gazet hili liandike mazur ya CDM? NEVER
 
Mleta mada, jitahidi kuhariri kazi yako. Mbona namba moja na tatu ni sawa? Tafakari na chukua hatua. Unaandika na kuhariri kazi yako kabla hujaituma. Inaelekea umetumwa kutoa hiyo habari.
 
Vita hivyo mtaitwa mje muwe marefarii haa haa haa.
Jiandaeni wakati wakiingia Ikulu macho yatawatoka mtakosa cha kusema.
 
Umeona kijigazeti chenyewe kilivyo cha hovyo!? Wameamua kuandika habari za uongo ili nao wapate wateja wa kununua hata kijigazeti chao ili kifikishe mauzo ya vijigazeti 50. Njaa mbaya sana.

Wakale wapi hao watu wako kazini waandishi makanjanja.
 
Mlifanikiwa kutugawa miaka ya nyuma,kidini,kikabila,kisiasa na kikanda.Tumeamua kuungana haki ya mama mwaka huu hamtuwezi.Endeleeni kuandika upuuzi.
 
Ukiangalia kwa kina hoja zilizoandikwa na huyo muandishi japo ni kanjanja ila kuna kaukweli kanaonekana..cdm wameshaona kwa upepo huu wakimuweka yule mzee basi itakula kwao vibaya mno hata hapo kwenye kizingiti cha UKAWA hawezi kuvuka..Sasa tatizo linakuja hivi Mzee Slaa kashaona utamuuuu wa kugombea afu kuna wapambe wameshampa kichwa..Hapo sasa inakuja wanamtoaje..ndio hizo zilizokuja za kutaka kuuawa mara sijui vilee..tusubiri tu kuna mengi..UKAWA ilisisitiri aibu nyingi za chadema sasa tutaona mengi
 
Gazeti lenyewe TAZAMA, hili si ndiyo lilitumiwa na wanamtandao kumchafua Dr. Salim ili kumpaisha JK? Ni mojawmojawapo ya vigazeti vya hovyo kabissa hili labda wanasoma wale nyani wa Lumumba.
 
Yaani Gazeti hili ukienda ukurasa wa tatu utakuta elimu ya unajimu,kisha jinsi ya kujiunga na Freemasons mwisho kwenye habari za michezo wanajadili taulo alilotundika kipa wa Simba siku ya Mechi ya Simba na Yanga

Hahahahaaaaahahahaaaaaaa.....Mhudumu hebu nipatie kongolo la kitimoto nichangamshe damu....liwe kwato na pua tafadhali....
 
Umeona kijigazeti chenyewe kilivyo cha hovyo!? Wameamua kuandika habari za uongo ili nao wapate wateja wa kununua hata kijigazeti chao ili kifikishe mauzo ya vijigazeti 50. Njaa mbaya sana.

Sasa gazeti lina haririwa na Mingoi, litakuwa gazeti au kifaa cha kujiweka swafi baada ya kutoa haja kubwa?
 
Last edited by a moderator:
Muda si mrefu Maccm yataanza kufirimbana...... wote wataingia mitini huku,
 
View attachment 235291

Sasa mambo ni hadharani. ILE vita ya Urais wa 2015 iliyokuwa ikipiganwa kati ya Viongozi Wakuu wa Vyama vya siasa nchini vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi, maarufu kwa jina la UKAWA, sasa imehamia kwa MAFAHALI wakuu wawili ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Mwenyekiti wa chama hicho , FREEMAN MBOWE anataka kugombea Urais wa 2015 kwa tiketi ya chama chake kwa udi na uvumba.

Uamuzi wa MBOWE na Wapambe wake kutaka kumuweka kando Dr. SLAA umejengwa katika misingi mitatu:

1. Ujana wa MBOWE ukilinganisha na Dr. SLAA
2. DHEHEBU lake la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT
3. Uzee na hali ya afya ya Dr. SLAA ambayo inaelezwa kudorora siku hadi siku kadri siku za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015 zinavyokaribia.

Tayari vyama viwili kati ya vinne vinavyounda UKAWA , CUF na NCCR-MAGEUZI vimekwisha kumtangaza mgombea wake wa Urais ambapo CUF wamemtangaza Prof. IBRAHIMU HARUNA LIPUMBA na NCCR-MAGEUZI wamemtangaza Dr. GEORGE KAHANGWA ambaye ni mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Hadi sasa CHADEMA na NLD bado hawajawatangaza wagombea wao tayari kuingia kwenye KAPU la UKAWA na wale wa CUF na NCCR ili kumpata mgombea mmoja atakayeshindana na mgombea wa CCM.

Taarifa zaidi zinasema shinikizo la kumtaka Mbowe agombee kupitia MBOWE linatoka katika makundi makuu mawili ambayo ni

1. Waumini wa KKKT
2.Wafanyabiashara wanaotoka Ukanda wa Kaskazini wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Kwa kawaida jamii ya Mkoa wa Kilimanjaro imekuwa ikiishi katika matabaka mawili yenye misimamo isiyoingiliana kuanzia kwenye mila , desturi na tamaduni zao.

Kwa mjibu wa Mbunge mmoja wa Chadema, matabaka hayo ni ya wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro wanaoishi Ukanda wa kaskazini kwa upande mmoja ambao unatamabulika zaidi kwa jina la CHAGALAND, na wananchi wanaoishi ukanda wa chini au wa kusini , ambao ni jamii ya WAPARE.

IMEELEZWA kwamba wafuasi wengi wa Chadema katika Ukanda huo wa kaskazini , ambao wengi wao ni waumini wenza wa MBOWE katika dhehebu la KKKT , wangependa kuona safari hii Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akitokana na Kanisa hilo.

Kundi la pili la Wafanyabiashara walioko nyuma ya Urais wa Mbowe , ambao wana asili ya Ukanda wa Kasakzini mwa Mkoa wa Kilimanjaro inasemekana wamekuwa ni chachu ya Nguvu ya ksiasa iliyonayo CHADEMA kwa sasa kutokana na michango ya ufadhili wa hali na mali kitoka katika jamii hiyo.

Hivyo wafanyabiashara hao wa kutokea ukanda wa Kaskazini mwa Mkoa wa Kiliamnjaro wangependa kuona Juhudi zao za kukifhadhili chama zinazaa matunda kwa kumuwezesha Mh. MBOWE kuwa mgombea urais hasa ukizingatia kuwa ni mtu kutokakatika UKANDA ambao wanatokea.

Chanzo: TAZAMA Tanzania.
madness
 
View attachment 235291

Sasa mambo ni hadharani. ILE vita ya Urais wa 2015 iliyokuwa ikipiganwa kati ya Viongozi Wakuu wa Vyama vya siasa nchini vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi, maarufu kwa jina la UKAWA, sasa imehamia kwa MAFAHALI wakuu wawili ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Mwenyekiti wa chama hicho , FREEMAN MBOWE anataka kugombea Urais wa 2015 kwa tiketi ya chama chake kwa udi na uvumba.

Uamuzi wa MBOWE na Wapambe wake kutaka kumuweka kando Dr. SLAA umejengwa katika misingi mitatu:

1. Ujana wa MBOWE ukilinganisha na Dr. SLAA
2. DHEHEBU lake la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT
3. Uzee na hali ya afya ya Dr. SLAA ambayo inaelezwa kudorora siku hadi siku kadri siku za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015 zinavyokaribia.

Tayari vyama viwili kati ya vinne vinavyounda UKAWA , CUF na NCCR-MAGEUZI vimekwisha kumtangaza mgombea wake wa Urais ambapo CUF wamemtangaza Prof. IBRAHIMU HARUNA LIPUMBA na NCCR-MAGEUZI wamemtangaza Dr. GEORGE KAHANGWA ambaye ni mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Hadi sasa CHADEMA na NLD bado hawajawatangaza wagombea wao tayari kuingia kwenye KAPU la UKAWA na wale wa CUF na NCCR ili kumpata mgombea mmoja atakayeshindana na mgombea wa CCM.

Taarifa zaidi zinasema shinikizo la kumtaka Mbowe agombee kupitia MBOWE linatoka katika makundi makuu mawili ambayo ni

1. Waumini wa KKKT
2.Wafanyabiashara wanaotoka Ukanda wa Kaskazini wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Kwa kawaida jamii ya Mkoa wa Kilimanjaro imekuwa ikiishi katika matabaka mawili yenye misimamo isiyoingiliana kuanzia kwenye mila , desturi na tamaduni zao.

Kwa mjibu wa Mbunge mmoja wa Chadema, matabaka hayo ni ya wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro wanaoishi Ukanda wa kaskazini kwa upande mmoja ambao unatamabulika zaidi kwa jina la CHAGALAND, na wananchi wanaoishi ukanda wa chini au wa kusini , ambao ni jamii ya WAPARE.

IMEELEZWA kwamba wafuasi wengi wa Chadema katika Ukanda huo wa kaskazini , ambao wengi wao ni waumini wenza wa MBOWE katika dhehebu la KKKT , wangependa kuona safari hii Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akitokana na Kanisa hilo.

Kundi la pili la Wafanyabiashara walioko nyuma ya Urais wa Mbowe , ambao wana asili ya Ukanda wa Kasakzini mwa Mkoa wa Kilimanjaro inasemekana wamekuwa ni chachu ya Nguvu ya ksiasa iliyonayo CHADEMA kwa sasa kutokana na michango ya ufadhili wa hali na mali kitoka katika jamii hiyo.

Hivyo wafanyabiashara hao wa kutokea ukanda wa Kaskazini mwa Mkoa wa Kiliamnjaro wangependa kuona Juhudi zao za kukifhadhili chama zinazaa matunda kwa kumuwezesha Mh. MBOWE kuwa mgombea urais hasa ukizingatia kuwa ni mtu kutokakatika UKANDA ambao wanatokea.

Chanzo: TAZAMA Tanzania.

Mtahangaika sana wana ccm kama ni gari moja haingii na mbili inagoma
 
Back
Top Bottom