Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Wapendwa wana Chit-Chat wote, bila kujali mitazamo na mapenzi ya watu, nimeamua kutangaza VITA rasmi na kiumbe mmoja anaejiita Bishanga kwa sababu maalumu na naomba wapenzi wake mnielewe na marafiki zake mtambue,nilisha mPM notes ya mwezi mmoja kuhusu kusudio langu,hivyo hatua niliofikia anaitambua fika bila mashaka yoyote,.
Sababu za kufikia uamuzi huu ni kama ifuatavyo,
1.Ana majigambo na kujiona yeye ni bora kuliko member mwingine yeyote na nyie ni mashahidi,
2.Ana wivu na hataki kuona wenzie wakifanikiwa, matokeo yake amekuwa anapiga majungu kuhusu Erickb52 Baba V, Kaizer Judgement ruttashobolwa,@Aspirin, dogo Ronn M na Mtalingolo, ili wakosane na wapenzi wao,
3. Kajitangaza yeye ndo tajiri namba moja ilhali si kweli, kisa awarubuni our loves, kesho naleta ushahidi zaidi, Bishanga, this is war!!!HUYU lazima anyooke,afu hakuna ushahidi ambao mtu hataweza kuukana kama ushahidi wa picha!
Sababu za kufikia uamuzi huu ni kama ifuatavyo,
1.Ana majigambo na kujiona yeye ni bora kuliko member mwingine yeyote na nyie ni mashahidi,
2.Ana wivu na hataki kuona wenzie wakifanikiwa, matokeo yake amekuwa anapiga majungu kuhusu Erickb52 Baba V, Kaizer Judgement ruttashobolwa,@Aspirin, dogo Ronn M na Mtalingolo, ili wakosane na wapenzi wao,
3. Kajitangaza yeye ndo tajiri namba moja ilhali si kweli, kisa awarubuni our loves, kesho naleta ushahidi zaidi, Bishanga, this is war!!!HUYU lazima anyooke,afu hakuna ushahidi ambao mtu hataweza kuukana kama ushahidi wa picha!
Last edited by a moderator: