Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #121
Hata Zitto kipindi anaanza hakuwa amekomaaNondo si wa kulinganishwa na Zitto uwe usiku uwe mchana
Nondo hajakomaa kisiasa bado (bado sana)
Mnatengeneza fitina watu wa Kigoma waanze kufikiri ndivyo sivyo
Kama Nondo umewatuma hawa waje kukupigia debe humu just to let you know 'you still have a long way to go'
Siasa wewe bado sana
Soma shule kwanza
Usikurupuke kuomba huruma kwa WaTz kwa vile ulipitia kurupushani fulani hivi haikuwa na mgumu wala kichwa.
Personal opinion****
Sent using Jamii Forums mobile app