utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,830
- 2,417
ZK na AN ni mtu na ndugu yake, AN hawezi kugombea bila kumshirikisha ZK na hata hivyo, kama AN ni mfuasi wa CDM kuna shida gani kufadhiliwa?Ndugu zangu,
Vita mpya ya kisiasa kati ya vyama vya upinzani imeshika kasi mjini Kigoma ambapo mara hii kijana Abdul Nondo anayeaminika kufadhiliwa na Chadema kanyanyua silaha za kisiasa dhidi ya Zitto Kabwe.
Chadema ambayo sasa inatamani kurudi katika zama za kuungwa mkono na vijana baada ya kupoteza hadhi hiyo miongoni mwa Watanzania katika miaka ya karibuni.
Kijana Abdul Nondo alitokea kuwa maarufu baada ya kuwa kiongozi wa mtandao wa wanafunzi wa elimu ya juu na zaidi baada ya kuibuka na kashfa ya "kujiteka" ili kupata umtaarifu wa kisiasa tuhuma ambazo alisafishwa na korti na hatimaye kurudi kuendelea na masomo ya shahada ya kwanza UDSM ambapo anatarajia kumaliza mwezi Juni mwaka huu (2019).
Abdul Nondo ambaye yupo mjini Kigoma amekuwa akipita katika magenge maarufu kutafuta uungwaji mkono kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020 ambapo inaaminika anapata ufadhili kutoka Chadema.
Katika hatua nyingine CCM imeendelea kujiimarisha katika mji wa Kigoma kiasi cha kujiiliza mantiki ya harakati za Chadema kupitia Abdul Nondo zina maanisha nini katika mustakabali wa Jimbo la Kigoma.
Baada ya Zitto kuulizwa kuhusu anavyochukulia harakati za Chadema na Abdul Nondo alisikitika huku akilalamikia Nondo kukata simu zake.
Muda utatujibu
Sent using Jamii Forums mobile app
We jitu unayejiita wakudadavuwa nimefuatilia nyuzi zako nimekudharau na kukutupilia mbali, wewe ni mnafiki, mzandiki, mfitini, mchochezi na una kila aina ya ubaya kuanzia leo sita click uzi wowote utakao uweka humu.Ndugu zangu,
Vita mpya ya kisiasa kati ya vyama vya upinzani imeshika kasi mjini Kigoma ambapo mara hii kijana Abdul Nondo anayeaminika kufadhiliwa na Chadema kanyanyua silaha za kisiasa dhidi ya Zitto Kabwe.
Chadema ambayo sasa inatamani kurudi katika zama za kuungwa mkono na vijana baada ya kupoteza hadhi hiyo miongoni mwa Watanzania katika miaka ya karibuni.
Kijana Abdul Nondo alitokea kuwa maarufu baada ya kuwa kiongozi wa mtandao wa wanafunzi wa elimu ya juu na zaidi baada ya kuibuka na kashfa ya "kujiteka" ili kupata umtaarifu wa kisiasa tuhuma ambazo alisafishwa na korti na hatimaye kurudi kuendelea na masomo ya shahada ya kwanza UDSM ambapo anatarajia kumaliza mwezi Juni mwaka huu (2019).
Abdul Nondo ambaye yupo mjini Kigoma amekuwa akipita katika magenge maarufu kutafuta uungwaji mkono kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020 ambapo inaaminika anapata ufadhili kutoka Chadema.
Katika hatua nyingine CCM imeendelea kujiimarisha katika mji wa Kigoma kiasi cha kujiiliza mantiki ya harakati za Chadema kupitia Abdul Nondo zina maanisha nini katika mustakabali wa Jimbo la Kigoma.
Baada ya Zitto kuulizwa kuhusu anavyochukulia harakati za Chadema na Abdul Nondo alisikitika huku akilalamikia Nondo kukata simu zake.
Muda utatujibu
Sent using Jamii Forums mobile app
crapNdugu zangu,
Vita mpya ya kisiasa kati ya vyama vya upinzani imeshika kasi mjini Kigoma ambapo mara hii kijana Abdul Nondo anayeaminika kufadhiliwa na Chadema kanyanyua silaha za kisiasa dhidi ya Zitto Kabwe.
Chadema ambayo sasa inatamani kurudi katika zama za kuungwa mkono na vijana baada ya kupoteza hadhi hiyo miongoni mwa Watanzania katika miaka ya karibuni.
Kijana Abdul Nondo alitokea kuwa maarufu baada ya kuwa kiongozi wa mtandao wa wanafunzi wa elimu ya juu na zaidi baada ya kuibuka na kashfa ya "kujiteka" ili kupata umtaarifu wa kisiasa tuhuma ambazo alisafishwa na korti na hatimaye kurudi kuendelea na masomo ya shahada ya kwanza UDSM ambapo anatarajia kumaliza mwezi Juni mwaka huu (2019).
Abdul Nondo ambaye yupo mjini Kigoma amekuwa akipita katika magenge maarufu kutafuta uungwaji mkono kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020 ambapo inaaminika anapata ufadhili kutoka Chadema.
Katika hatua nyingine CCM imeendelea kujiimarisha katika mji wa Kigoma kiasi cha kujiiliza mantiki ya harakati za Chadema kupitia Abdul Nondo zina maanisha nini katika mustakabali wa Jimbo la Kigoma.
Baada ya Zitto kuulizwa kuhusu anavyochukulia harakati za Chadema na Abdul Nondo alisikitika huku akilalamikia Nondo kukata simu zake.
Muda utatujibu
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu za kuambiwa changanya na zako...alieleta habari sio mdogo kama unavofikilia angalia mara mbili mbiliThis is RUBBISH.
Ukweli gani??Kamanda hata kama unampooza Zitto usitoe povu atakuelewa tu ila ukweli hapo juu haupingiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri mzurimkuu za kuambiwa changanya na zako...alieleta habari sio mdogo kama unavofikilia angalia mara mbili mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hajui kuoga?ona wachawi na tabia zao, mmeshika uchwi mmemalizana sasa mnahamia kwa jiani, endeleeni.
mlianza na membe, makamba, mwigulu sasa mnahamia kwa NONDO mtoto ambaye hata kuoga bado hajajua