kaygeezo
Senior Member
- Jul 31, 2008
- 193
- 10
Akili zetu zimedumaa!Dini walete wengine. Kupigana tupigane sisi. Miafrika ndivyo ilivyo!
Akili zetu zimedumaa!Dini walete wengine. Kupigana tupigane sisi. Miafrika ndivyo ilivyo!
hivi sasa hivi nani ndo analalamika hapa TZ? kule arusha waliokuwa wanalalamika kuwa hawamtambui mea ni akina nani? halafu nani kakuambia kuwa chuo cha morogoro kimeshindwa kujiendesha?Jamani naomba nianze kwa kuwaomba msamaha wale wote ambao kwa namna moja ama nyingine watakwazwa na haya maneno nitakayoyaandika humu. Nidhahiri kwamba wote tunajua kuwa tulikuwa na vita kuu ya kwanza ya Dunia kati ya mwaka 1914 - 1918, Vita kuu ya pili ya Dunia kati ya mwaka 1939 -1945 na vita ya tatu ilikuwa ni vita baridi kati ya mlengo wa Mashariki chini ya Mbabe Mrusi (USSR) na mlengo wa Magharibi chini ya mbabe Marekani.
Ulimwengu umeshuhudia mvutano makali sana kati ya hizo pande mbili. Mwaka 1990 - 1991 upande wa Magharibi ulishinda yaani Marekani na washirika wake. Kwakuwa ile nafasi ya upande wa Mashariki ilibakia tupu; inaonekana kumezwa na hawa ndugu zetu, jamaa zetu, rafiki zetu, waume na wake zetu nao si wengine ni waislam wanye msimamo mkali.
Nayasema haya kwakuwa kila sehemu penye vita na machafuko; lazima pahusishe imani ya Uislam. Nadiriki hata kusema kwamba VITA KUU YA DUNIA YA NNE itakuwa in Uislam dhidi ya watu wengine. Kila kukicha lazima utasikia jamani tunaonewa, mara wakristo wamefanya hili au lile. Kuna mifano mingi sana inayothibisha kuwa hawa wenzetu wana nia mbaya na hii Dunia. Somalia, Sudani. Nigeria, Uganda nk kote huko hakuna amani na chanzo ni Uislam.
Tanzania tuna jambo muhimu sana mbele yetu ambalo kila mmoja wetu anajua kuwa tunahitaji katiba mpya ambayo kwayo tutakuwa na viongozi bora wenye maadili si kama hali ilivyo sasa wizi kila kona ya nchi. Wakati tunahitaji kuunganisha nguvu ya pamoja; wenzetu wanakuja na hoja ya udini tena wakisaidiwa na Mheshimiwa Rais J.K. Kikwete. Ninachojiuliza ni kwanini kila anapokuwa kiongozi wa kiislam; hawa jamaa wanataka wapande mbegu zao za chuki dhidi ya Ukristo?. Wakati wa Serikali ya Ally Hassan Mwinyi hawahawa walipendekeza mnyama anayeitwa nguruwe asikanyage mkoa wa Dar es Salaam; hata kufikia hatua ya kubomoa mabucha ya nyama ya nguruwe. Jamani Dar es Salaam si yao peke yao; ni yetu sote. Kipindi hichohicho; wakataka Tanzania iwe ni mwanachama wa OIC na mwinyi bila kushirikisha wadau wengine alisaini mkataba wa kujiunga na jumuiya hiyo ya kiislam.
Wakati huu tunadai mambo ya msingi sana ambayo, hata wao yanawagusa sana. Lakini jambo la kushangaza wao wanajifanya hawana matatizo. Hivi ni kweli kwamba gharama za umeme, kupanda kwa gesi, ufisadi na wizi wa mali za umma, unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia wema, Uchakachuaji wa matokeo ya uongozi wao haviwahusu? Je wenzetu wanaishi Tanzania ipi? ni kweli hawayaoni haya yote?. Kulalamika wataacha lini?
Wakati wa utawala wa Mkapa aliwapa Chuo Kikuu Cha Morogoro; bure kabisa kitu ambacho kama yale majengo hata yangenunuliwa na Kanisa; lazima kungekuwa na maandamano ya Kitaifa ya waislam kupinga. Lakini wao wamepewa bure tena na Mkapa ambaye ni mkristo. Chakushangaza wameshindwa kukiendesha kabisa; sasa sijui wanataka wachungaji wakafundishe pale?. Kwanini wanalalamika kila siku kuwa wanaonewa? ni nani huyo anayewaonea? ni kwanini Duniani kote wao tu wanalalamika na kuanzisha vita na chokochoko?
Kiukweli hili ni janga la Dunia. Kuna kitu kipo kwenye hii imani ya wenzetu ambacho ndicho kinapelekea haya yote. Huenda wanamwabudu Mungu mwingine sio huyu tunayemwabudu sisi. Jamani waislam badilikeni kuweni wastaarabu jamani.
MUNGU UTUBARIKI VITA HII TUSHINDE SALAMA.
Rwanda mlifungia waumini makanisani na kuwalipua.Sisi kwetu kufa sio issue,mkianza tutawafyeka maana ninyi niwachafuzi tumewavumilia mda mrefu.Usalama wenu mtuache na mambo yetu. HATUOGOPI KUFA tutapambana hadi tone la mwisho ili haki ipatikane.Waislam tuwapole sana sasa msituudhi. Unawajua walio nyuma ya sudan kusini mpaka pakachafuka.Tatizo habari mnasikiliza za propaganda dhidi ya Uislam,ni sawa na mwana chadema kungoja habar za chadema tbc na habarileo.
Rwanda mlifungia waumini makanisani na kuwalipua.Sisi kwetu kufa sio issue,mkianza tutawafyeka maana ninyi niwachafuzi tumewavumilia mda mrefu.Usalama wenu mtuache na mambo yetu. HATUOGOPI KUFA tutapambana hadi tone la mwisho ili haki ipatikane.Waislam tuwapole sana sasa msituudhi. Unawajua walio nyuma ya sudan kusini mpaka pakachafuka.Tatizo habari mnasikiliza za propaganda dhidi ya Uislam,ni sawa na mwana chadema kungoja habar za chadema tbc na habarileo.
Nashukuru sana kwa maoni yako yaliyojaa jazba na chuki dhidi ya maoni yangu. Vilevile nilijua hii mada watu wa aina yako wataongea kama ulivyoongea. Lakini naomba nikukumbushe kwamba Rwanda makanisa hayakuwalipua watutsi. Kilichotokea Rwanda kwa taarifa yako ni watu kwenda mashuleni, makanisani, Mahotelini nk kuomba hifadhi kwakuwa ndipo kambi za Umoja wa Mataifa ziliwekwa humo. Na waliopona wengi ni wale waliyohifadhiwa kwenye hizo sehemu.
Mimi nitumie nafasi hii kukuomba kuwa ukombozi wanchi yetu ni wetu sote; si wa dini, kabila au kikundi furani. Sisi sote tunayaona machungu ya utawala wa kifisadi na jinsi nchi inavyouzwa. Au wewe huoni? Sitaki kutoa mifano mingine mingi juu ya nilichokwisha kisema; niliyoyasema yanatosha na kwamba ujumbe wangu umefika.
Tunafahamu kwamba kwenu kufa ni nithawabu hata kama mmeua wengine maana hiyo ndiyo imani yenu. Kwahiyo kwangu sio habari ngeni sana; kwani ni wapi umesikia Wakristo wanajitoa muhanga? Huoni hiyo ni kautamaduni kenu.
Mke wangu ni Muislam na baadhi ya ndugu zangu ni Waislam sina ugomvi nanyi na kamwe sitakaa kugombana na Mtanzania mwenzangu. Lazima mimi na wewe tutofautiane ili hii mada iwe hai na endelevu. Naamini ipo siku Mungu atakufungua uijue kweli na uungane na mimi.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
Wao walikuwa wanapeleka madrasa na kuiponda elimu ya mashuleni na kuiita elimu dunia isiyo na manufaa, mbona hili huwa hawalijutii? Badala ya kujenga mahospitali wao waliwaamini sana wafuga majini kama shehe Hayahaya kwa matibabu, ramli na al badr. Sasa wasitafute mchawi waache longo longo wajilaumu wenyewe.
Ila lazima tuchukuwe tahadhali kwa hili, tuysije kuangamizwa kwa kukosa maarifa!
Anko Sam, unalifahamu dhehebu la Ismailia? Kiongozi wake mkuu, an equivalent to Pope for the Catholic, is His Highness Prince Aga Khan. The Aga Khan Foundation is an Islamic organization. they have the best schools and hospitals. Not only are they in to education and health industry, but also hospitality, mfano hai, The Serena Hotels. the best hotel chain in East Africa.
My point is, it is crap to say waislamu hawajasoma or wanaonewa or kuna one Islamic university in Tanzania.
It is even more crap to say the MoU between the government and the Church is to favor Catholics, it did favor the Aga Khan Foundation.
Both these sects have done so much for this country.
Wake up people, we are being duped by hopeless politicians. There is no such thing as UDINI. But there is major poverty and corruption.
Wanataka kutuchanganya ili tusahau the real issue.
PS: Hello JF.
There is no such thing as UDINI. But there is major poverty and corruption.
Wanataka kutuchanganya ili tusahau the real issue.
I like your comments sir there is no UDINI in Tanzania. Binafsi nimeoa Mwislam na ndugu zangu wengi ni hao. Let us live together as one.