Mzee Msemakweli
Senior Member
- Oct 12, 2010
- 159
- 34
Jamani naomba nianze kwa kuwaomba msamaha wale wote ambao kwa namna moja ama nyingine watakwazwa na haya maneno nitakayoyaandika humu. Nidhahiri kwamba wote tunajua kuwa tulikuwa na vita kuu ya kwanza ya Dunia kati ya mwaka 1914 - 1918, Vita kuu ya pili ya Dunia kati ya mwaka 1939 -1945 na vita ya tatu ilikuwa ni vita baridi kati ya mlengo wa Mashariki chini ya Mbabe Mrusi (USSR) na mlengo wa Magharibi chini ya mbabe Marekani.
Ulimwengu umeshuhudia mvutano makali sana kati ya hizo pande mbili. Mwaka 1990 - 1991 upande wa Magharibi ulishinda yaani Marekani na washirika wake. Kwakuwa ile nafasi ya upande wa Mashariki ilibakia tupu; inaonekana kumezwa na hawa ndugu zetu, jamaa zetu, rafiki zetu, waume na wake zetu nao si wengine ni waislam wanye msimamo mkali.
Nayasema haya kwakuwa kila sehemu penye vita na machafuko; lazima pahusishe imani ya Uislam. Nadiriki hata kusema kwamba VITA KUU YA DUNIA YA NNE itakuwa in Uislam dhidi ya watu wengine. Kila kukicha lazima utasikia jamani tunaonewa, mara wakristo wamefanya hili au lile. Kuna mifano mingi sana inayothibisha kuwa hawa wenzetu wana nia mbaya na hii Dunia. Somalia, Sudani. Nigeria, Uganda nk kote huko hakuna amani na chanzo ni Uislam.
Tanzania tuna jambo muhimu sana mbele yetu ambalo kila mmoja wetu anajua kuwa tunahitaji katiba mpya ambayo kwayo tutakuwa na viongozi bora wenye maadili si kama hali ilivyo sasa wizi kila kona ya nchi. Wakati tunahitaji kuunganisha nguvu ya pamoja; wenzetu wanakuja na hoja ya udini tena wakisaidiwa na Mheshimiwa Rais J.K. Kikwete. Ninachojiuliza ni kwanini kila anapokuwa kiongozi wa kiislam; hawa jamaa wanataka wapande mbegu zao za chuki dhidi ya Ukristo?. Wakati wa Serikali ya Ally Hassan Mwinyi hawahawa walipendekeza mnyama anayeitwa nguruwe asikanyage mkoa wa Dar es Salaam; hata kufikia hatua ya kubomoa mabucha ya nyama ya nguruwe. Jamani Dar es Salaam si yao peke yao; ni yetu sote. Kipindi hichohicho; wakataka Tanzania iwe ni mwanachama wa OIC na mwinyi bila kushirikisha wadau wengine alisaini mkataba wa kujiunga na jumuiya hiyo ya kiislam.
Wakati huu tunadai mambo ya msingi sana ambayo, hata wao yanawagusa sana. Lakini jambo la kushangaza wao wanajifanya hawana matatizo. Hivi ni kweli kwamba gharama za umeme, kupanda kwa gesi, ufisadi na wizi wa mali za umma, unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia wema, Uchakachuaji wa matokeo ya uongozi wao haviwahusu? Je wenzetu wanaishi Tanzania ipi? ni kweli hawayaoni haya yote?. Kulalamika wataacha lini?
Wakati wa utawala wa Mkapa aliwapa Chuo Kikuu Cha Morogoro; bure kabisa kitu ambacho kama yale majengo hata yangenunuliwa na Kanisa; lazima kungekuwa na maandamano ya Kitaifa ya waislam kupinga. Lakini wao wamepewa bure tena na Mkapa ambaye ni mkristo. Chakushangaza wameshindwa kukiendesha kabisa; sasa sijui wanataka wachungaji wakafundishe pale?. Kwanini wanalalamika kila siku kuwa wanaonewa? ni nani huyo anayewaonea? ni kwanini Duniani kote wao tu wanalalamika na kuanzisha vita na chokochoko?
Kiukweli hili ni janga la Dunia. Kuna kitu kipo kwenye hii imani ya wenzetu ambacho ndicho kinapelekea haya yote. Huenda wanamwabudu Mungu mwingine sio huyu tunayemwabudu sisi. Jamani waislam badilikeni kuweni wastaarabu jamani.
MUNGU UTUBARIKI VITA HII TUSHINDE SALAMA.
Ulimwengu umeshuhudia mvutano makali sana kati ya hizo pande mbili. Mwaka 1990 - 1991 upande wa Magharibi ulishinda yaani Marekani na washirika wake. Kwakuwa ile nafasi ya upande wa Mashariki ilibakia tupu; inaonekana kumezwa na hawa ndugu zetu, jamaa zetu, rafiki zetu, waume na wake zetu nao si wengine ni waislam wanye msimamo mkali.
Nayasema haya kwakuwa kila sehemu penye vita na machafuko; lazima pahusishe imani ya Uislam. Nadiriki hata kusema kwamba VITA KUU YA DUNIA YA NNE itakuwa in Uislam dhidi ya watu wengine. Kila kukicha lazima utasikia jamani tunaonewa, mara wakristo wamefanya hili au lile. Kuna mifano mingi sana inayothibisha kuwa hawa wenzetu wana nia mbaya na hii Dunia. Somalia, Sudani. Nigeria, Uganda nk kote huko hakuna amani na chanzo ni Uislam.
Tanzania tuna jambo muhimu sana mbele yetu ambalo kila mmoja wetu anajua kuwa tunahitaji katiba mpya ambayo kwayo tutakuwa na viongozi bora wenye maadili si kama hali ilivyo sasa wizi kila kona ya nchi. Wakati tunahitaji kuunganisha nguvu ya pamoja; wenzetu wanakuja na hoja ya udini tena wakisaidiwa na Mheshimiwa Rais J.K. Kikwete. Ninachojiuliza ni kwanini kila anapokuwa kiongozi wa kiislam; hawa jamaa wanataka wapande mbegu zao za chuki dhidi ya Ukristo?. Wakati wa Serikali ya Ally Hassan Mwinyi hawahawa walipendekeza mnyama anayeitwa nguruwe asikanyage mkoa wa Dar es Salaam; hata kufikia hatua ya kubomoa mabucha ya nyama ya nguruwe. Jamani Dar es Salaam si yao peke yao; ni yetu sote. Kipindi hichohicho; wakataka Tanzania iwe ni mwanachama wa OIC na mwinyi bila kushirikisha wadau wengine alisaini mkataba wa kujiunga na jumuiya hiyo ya kiislam.
Wakati huu tunadai mambo ya msingi sana ambayo, hata wao yanawagusa sana. Lakini jambo la kushangaza wao wanajifanya hawana matatizo. Hivi ni kweli kwamba gharama za umeme, kupanda kwa gesi, ufisadi na wizi wa mali za umma, unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia wema, Uchakachuaji wa matokeo ya uongozi wao haviwahusu? Je wenzetu wanaishi Tanzania ipi? ni kweli hawayaoni haya yote?. Kulalamika wataacha lini?
Wakati wa utawala wa Mkapa aliwapa Chuo Kikuu Cha Morogoro; bure kabisa kitu ambacho kama yale majengo hata yangenunuliwa na Kanisa; lazima kungekuwa na maandamano ya Kitaifa ya waislam kupinga. Lakini wao wamepewa bure tena na Mkapa ambaye ni mkristo. Chakushangaza wameshindwa kukiendesha kabisa; sasa sijui wanataka wachungaji wakafundishe pale?. Kwanini wanalalamika kila siku kuwa wanaonewa? ni nani huyo anayewaonea? ni kwanini Duniani kote wao tu wanalalamika na kuanzisha vita na chokochoko?
Kiukweli hili ni janga la Dunia. Kuna kitu kipo kwenye hii imani ya wenzetu ambacho ndicho kinapelekea haya yote. Huenda wanamwabudu Mungu mwingine sio huyu tunayemwabudu sisi. Jamani waislam badilikeni kuweni wastaarabu jamani.
MUNGU UTUBARIKI VITA HII TUSHINDE SALAMA.