Vita kuu ya nne ya dunia

Mzee Msemakweli

Senior Member
Oct 12, 2010
159
34
Jamani naomba nianze kwa kuwaomba msamaha wale wote ambao kwa namna moja ama nyingine watakwazwa na haya maneno nitakayoyaandika humu. Nidhahiri kwamba wote tunajua kuwa tulikuwa na vita kuu ya kwanza ya Dunia kati ya mwaka 1914 - 1918, Vita kuu ya pili ya Dunia kati ya mwaka 1939 -1945 na vita ya tatu ilikuwa ni vita baridi kati ya mlengo wa Mashariki chini ya Mbabe Mrusi (USSR) na mlengo wa Magharibi chini ya mbabe Marekani.

Ulimwengu umeshuhudia mvutano makali sana kati ya hizo pande mbili. Mwaka 1990 - 1991 upande wa Magharibi ulishinda yaani Marekani na washirika wake. Kwakuwa ile nafasi ya upande wa Mashariki ilibakia tupu; inaonekana kumezwa na hawa ndugu zetu, jamaa zetu, rafiki zetu, waume na wake zetu nao si wengine ni waislam wanye msimamo mkali.

Nayasema haya kwakuwa kila sehemu penye vita na machafuko; lazima pahusishe imani ya Uislam. Nadiriki hata kusema kwamba VITA KUU YA DUNIA YA NNE itakuwa in Uislam dhidi ya watu wengine. Kila kukicha lazima utasikia jamani tunaonewa, mara wakristo wamefanya hili au lile. Kuna mifano mingi sana inayothibisha kuwa hawa wenzetu wana nia mbaya na hii Dunia. Somalia, Sudani. Nigeria, Uganda nk kote huko hakuna amani na chanzo ni Uislam.

Tanzania tuna jambo muhimu sana mbele yetu ambalo kila mmoja wetu anajua kuwa tunahitaji katiba mpya ambayo kwayo tutakuwa na viongozi bora wenye maadili si kama hali ilivyo sasa wizi kila kona ya nchi. Wakati tunahitaji kuunganisha nguvu ya pamoja; wenzetu wanakuja na hoja ya udini tena wakisaidiwa na Mheshimiwa Rais J.K. Kikwete. Ninachojiuliza ni kwanini kila anapokuwa kiongozi wa kiislam; hawa jamaa wanataka wapande mbegu zao za chuki dhidi ya Ukristo?. Wakati wa Serikali ya Ally Hassan Mwinyi hawahawa walipendekeza mnyama anayeitwa nguruwe asikanyage mkoa wa Dar es Salaam; hata kufikia hatua ya kubomoa mabucha ya nyama ya nguruwe. Jamani Dar es Salaam si yao peke yao; ni yetu sote. Kipindi hichohicho; wakataka Tanzania iwe ni mwanachama wa OIC na mwinyi bila kushirikisha wadau wengine alisaini mkataba wa kujiunga na jumuiya hiyo ya kiislam.

Wakati huu tunadai mambo ya msingi sana ambayo, hata wao yanawagusa sana. Lakini jambo la kushangaza wao wanajifanya hawana matatizo. Hivi ni kweli kwamba gharama za umeme, kupanda kwa gesi, ufisadi na wizi wa mali za umma, unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia wema, Uchakachuaji wa matokeo ya uongozi wao haviwahusu? Je wenzetu wanaishi Tanzania ipi? ni kweli hawayaoni haya yote?. Kulalamika wataacha lini?

Wakati wa utawala wa Mkapa aliwapa Chuo Kikuu Cha Morogoro; bure kabisa kitu ambacho kama yale majengo hata yangenunuliwa na Kanisa; lazima kungekuwa na maandamano ya Kitaifa ya waislam kupinga. Lakini wao wamepewa bure tena na Mkapa ambaye ni mkristo. Chakushangaza wameshindwa kukiendesha kabisa; sasa sijui wanataka wachungaji wakafundishe pale?. Kwanini wanalalamika kila siku kuwa wanaonewa? ni nani huyo anayewaonea? ni kwanini Duniani kote wao tu wanalalamika na kuanzisha vita na chokochoko?

Kiukweli hili ni janga la Dunia. Kuna kitu kipo kwenye hii imani ya wenzetu ambacho ndicho kinapelekea haya yote. Huenda wanamwabudu Mungu mwingine sio huyu tunayemwabudu sisi. Jamani waislam badilikeni kuweni wastaarabu jamani.

MUNGU UTUBARIKI VITA HII TUSHINDE SALAMA.

 
jamani naomba nianze kwa kuwaomba msamaha wale wote ambao kwa namna moja ama nyingine watakwazwa na haya maneno nitakayoyaandika humu. Nidhahiri kwamba wote tunajua kuwa tulikuwa na vita kuu ya kwanza ya dunia kati ya mwaka 1914 - 1918, vita kuu ya pili ya dunia kati ya mwaka 1939 -1945 na vita ya tatu ilikuwa ni vita baridi kati ya mlengo wa mashariki chini ya mbabe mrusi (ussr) na mlengo wa magharibi chini ya mbabe marekani.

ulimwengu umeshuhudia mvutano makali sana kati ya hizo pande mbili. Mwaka 1990 - 1991 upande wa magharibi ulishinda yaani marekani na washirika wake. Kwakuwa ile nafasi ya upande wa mashariki ilibakia tupu; inaonekana kumezwa na hawa ndugu zetu, jamaa zetu, rafiki zetu, waume na wake zetu nao si wengine ni waislam wanye msimamo mkali.

nayasema haya kwakuwa kila sehemu penye vita na machafuko; lazima pahusishe imani ya uislam. Nadiriki hata kusema kwamba vita kuu ya dunia ya nne itakuwa in uislam dhidi ya watu wengine. Kila kukicha lazima utasikia jamani tunaonewa, mara wakristo wamefanya hili au lile. Kuna mifano mingi sana inayothibisha kuwa hawa wenzetu wana nia mbaya na hii dunia. Somalia, sudani. Nigeria, uganda nk kote huko hakuna amani na chanzo ni uislam.

tanzania tuna jambo muhimu sana mbele yetu ambalo kila mmoja wetu anajua kuwa tunahitaji katiba mpya ambayo kwayo tutakuwa na viongozi bora wenye maadili si kama hali ilivyo sasa wizi kila kona ya nchi. Wakati tunahitaji kuunganisha nguvu ya pamoja; wenzetu wanakuja na hoja ya udini tena wakisaidiwa na mheshimiwa rais j.k. Kikwete. Ninachojiuliza ni kwanini kila anapokuwa kiongozi wa kiislam; hawa jamaa wanataka wapande mbegu zao za chuki dhidi ya ukristo?. Wakati wa serikali ya ally hassan mwinyi hawahawa walipendekeza mnyama anayeitwa nguruwe asikanyage mkoa wa dar es salaam; hata kufikia hatua ya kubomoa mabucha ya nyama ya nguruwe. Jamani dar es salaam si yao peke yao; ni yetu sote. Kipindi hichohicho; wakataka tanzania iwe ni mwanachama wa oic na mwinyi bila kushirikisha wadau wengine alisaini mkataba wa kujiunga na jumuiya hiyo ya kiislam.

wakati huu tunadai mambo ya msingi sana ambayo, hata wao yanawagusa sana. Lakini jambo la kushangaza wao wanajifanya hawana matatizo. Hivi ni kweli kwamba gharama za umeme, kupanda kwa gesi, ufisadi na wizi wa mali za umma, unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia wema, uchakachuaji wa matokeo ya uongozi wao haviwahusu? Je wenzetu wanaishi tanzania ipi? Ni kweli hawayaoni haya yote?. Kulalamika wataacha lini?

wakati wa utawala wa mkapa aliwapa chuo kikuu cha morogoro; bure kabisa kitu ambacho kama yale majengo hata yangenunuliwa na kanisa; lazima kungekuwa na maandamano ya kitaifa ya waislam kupinga. Lakini wao wamepewa bure tena na mkapa ambaye ni mkristo. Chakushangaza wameshindwa kukiendesha kabisa; sasa sijui wanataka wachungaji wakafundishe pale?. Kwanini wanalalamika kila siku kuwa wanaonewa? Ni nani huyo anayewaonea? Ni kwanini duniani kote wao tu wanalalamika na kuanzisha vita na chokochoko?

kiukweli hili ni janga la dunia. Kuna kitu kipo kwenye hii imani ya wenzetu ambacho ndicho kinapelekea haya yote. Huenda wanamwabudu mungu mwingine sio huyu tunayemwabudu sisi. Jamani waislam badilikeni kuweni wastaarabu jamani.

mungu utubariki vita hii tushinde salama.

waislamu ni kinanani humu?
 
Jamani naomba nianze kwa kuwaomba msamaha wale wote ambao kwa namna moja ama nyingine watakwazwa na haya maneno nitakayoyaandika humu. Nidhahiri kwamba wote tunajua kuwa tulikuwa na vita kuu ya kwanza ya Dunia kati ya mwaka 1914 - 1918, Vita kuu ya pili ya Dunia kati ya mwaka 1939 -1945 na vita ya tatu ilikuwa ni vita baridi kati ya mlengo wa Mashariki chini ya Mbabe Mrusi (USSR) na mlengo wa Magharibi chini ya mbabe Marekani.

Ulimwengu umeshuhudia mvutano makali sana kati ya hizo pande mbili. Mwaka 1990 - 1991 upande wa Magharibi ulishinda yaani Marekani na washirika wake. Kwakuwa ile nafasi ya upande wa Mashariki ilibakia tupu; inaonekana kumezwa na hawa ndugu zetu, jamaa zetu, rafiki zetu, waume na wake zetu nao si wengine ni waislam wanye msimamo mkali.

Nayasema haya kwakuwa kila sehemu penye vita na machafuko; lazima pahusishe imani ya Uislam. Nadiriki hata kusema kwamba VITA KUU YA DUNIA YA NNE itakuwa in Uislam dhidi ya watu wengine. Kila kukicha lazima utasikia jamani tunaonewa, mara wakristo wamefanya hili au lile. Kuna mifano mingi sana inayothibisha kuwa hawa wenzetu wana nia mbaya na hii Dunia. Somalia, Sudani. Nigeria, Uganda nk kote huko hakuna amani na chanzo ni Uislam.

Tanzania tuna jambo muhimu sana mbele yetu ambalo kila mmoja wetu anajua kuwa tunahitaji katiba mpya ambayo kwayo tutakuwa na viongozi bora wenye maadili si kama hali ilivyo sasa wizi kila kona ya nchi. Wakati tunahitaji kuunganisha nguvu ya pamoja; wenzetu wanakuja na hoja ya udini tena wakisaidiwa na Mheshimiwa Rais J.K. Kikwete. Ninachojiuliza ni kwanini kila anapokuwa kiongozi wa kiislam; hawa jamaa wanataka wapande mbegu zao za chuki dhidi ya Ukristo?. Wakati wa Serikali ya Ally Hassan Mwinyi hawahawa walipendekeza mnyama anayeitwa nguruwe asikanyage mkoa wa Dar es Salaam; hata kufikia hatua ya kubomoa mabucha ya nyama ya nguruwe. Jamani Dar es Salaam si yao peke yao; ni yetu sote. Kipindi hichohicho; wakataka Tanzania iwe ni mwanachama wa OIC na mwinyi bila kushirikisha wadau wengine alisaini mkataba wa kujiunga na jumuiya hiyo ya kiislam.

Wakati huu tunadai mambo ya msingi sana ambayo, hata wao yanawagusa sana. Lakini jambo la kushangaza wao wanajifanya hawana matatizo. Hivi ni kweli kwamba gharama za umeme, kupanda kwa gesi, ufisadi na wizi wa mali za umma, unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia wema, Uchakachuaji wa matokeo ya uongozi wao haviwahusu? Je wenzetu wanaishi Tanzania ipi? ni kweli hawayaoni haya yote?. Kulalamika wataacha lini?

Wakati wa utawala wa Mkapa aliwapa Chuo Kikuu Cha Morogoro; bure kabisa kitu ambacho kama yale majengo hata yangenunuliwa na Kanisa; lazima kungekuwa na maandamano ya Kitaifa ya waislam kupinga. Lakini wao wamepewa bure tena na Mkapa ambaye ni mkristo. Chakushangaza wameshindwa kukiendesha kabisa; sasa sijui wanataka wachungaji wakafundishe pale?. Kwanini wanalalamika kila siku kuwa wanaonewa? ni nani huyo anayewaonea? ni kwanini Duniani kote wao tu wanalalamika na kuanzisha vita na chokochoko?

Kiukweli hili ni janga la Dunia. Kuna kitu kipo kwenye hii imani ya wenzetu ambacho ndicho kinapelekea haya yote. Huenda wanamwabudu Mungu mwingine sio huyu tunayemwabudu sisi. Jamani waislam badilikeni kuweni wastaarabu jamani.

MUNGU UTUBARIKI VITA HII TUSHINDE SALAMA.


Wanaonewa tena sana, wameonewa mara nyingi, yaani tumeonewa na CCM, ila nadhani vingozi wetu wa dini hawana elimu ya kutosha wanapaswa kuungana na Watanzania wengine kupinga uonevu wa CCM; Waonadhani CCM inawaonea wao peke yao! CCM inaonea Watanzania wote jamani tuuungane dhidi ya udhalimu wa CCM ni Udhalimu juu ya Watanzania wote sio Uislam peke yake.


Kuhusu swala la kutumia rais Muislam kushinikiza mambo ya Kidini siyo Waislam wanaofanya ni bahati mbaya mara zote Wametokea Marais mbumbumbu ambao ni Waislam na wao ndio wanaopenda hayo mambo kwani unakuta mtu kama Kikwete Nchni imeshamshinda sasa anachofanya ni kutafuta makundi ili kupata pakuegemea

Huko ni kutafuta msaada wa bei chee, ni ufinyu wa Mawazo ya Vingozi wetu anataka kutwambia kuwa CCM ya waislam!! huo ni uongo mkubwa sana! Wazee na Vijana wote wa kiislam nawashauri wajiunge na vuguvugu la kukomboa nchni yetu dhidi ya Udhalimu wa CCM, Kikwete akitaka kuleta Darfur hapa hatoweze hivi sasa Dunia ipo makini sana juu ya Ugaidi hasije akajaribu amuulize Mzee Ghadafi alijari udini yako wako wapi sasa;
 
Wanaonewa tena sana, wameonewa mara nyingi, yaani tumeonewa na CCM, ila nadhani vingozi wetu wa dini hawana elimu ya kutosha wanapaswa kuungana na Watanzania wengine kupinga uonevu wa CCM; Waonadhani CCM inawaonea wao peke yao! CCM inaonea Watanzania wote jamani tuuungane dhidi ya udhalimu wa CCM ni Udhalimu juu ya Watanzania wote sio Uislam peke yake.


Kuhusu swala la kutumia rais Muislam kushinikiza mambo ya Kidini siyo Waislam wanaofanya ni bahati mbaya mara zote Wametokea Marais mbumbumbu ambao ni Waislam na wao ndio wanaopenda hayo mambo kwani unakuta mtu kama Kikwete Nchni imeshamshinda sasa anachofanya ni kutafuta makundi ili kupata pakuegemea

Huko ni kutafuta msaada wa bei chee, ni ufinyu wa Mawazo ya Vingozi wetu anataka kutwambia kuwa CCM ya waislam!! huo ni uongo mkubwa sana! Wazee na Vijana wote wa kiislam nawashauri wajiunge na vuguvugu la kukomboa nchni yetu dhidi ya Udhalimu wa CCM, Kikwete akitaka kuleta Darfur hapa hatoweze hivi sasa Dunia ipo makini sana juu ya Ugaidi hasije akajaribu amuulize Mzee Ghadafi alijari udini yako wako wapi sasa;
:smile-big:
 
Jamani naomba nianze kwa kuwaomba msamaha wale wote ambao kwa namna moja ama nyingine watakwazwa na haya maneno nitakayoyaandika humu. Nidhahiri kwamba wote tunajua kuwa tulikuwa na vita kuu ya kwanza ya Dunia kati ya mwaka 1914 - 1918, Vita kuu ya pili ya Dunia kati ya mwaka 1939 -1945 na vita ya tatu ilikuwa ni vita baridi kati ya mlengo wa Mashariki chini ya Mbabe Mrusi (USSR) na mlengo wa Magharibi chini ya mbabe Marekani.

Ulimwengu umeshuhudia mvutano makali sana kati ya hizo pande mbili. Mwaka 1990 - 1991 upande wa Magharibi ulishinda yaani Marekani na washirika wake. Kwakuwa ile nafasi ya upande wa Mashariki ilibakia tupu; inaonekana kumezwa na hawa ndugu zetu, jamaa zetu, rafiki zetu, waume na wake zetu nao si wengine ni waislam wanye msimamo mkali.

Nayasema haya kwakuwa kila sehemu penye vita na machafuko; lazima pahusishe imani ya Uislam. Nadiriki hata kusema kwamba VITA KUU YA DUNIA YA NNE itakuwa in Uislam dhidi ya watu wengine. Kila kukicha lazima utasikia jamani tunaonewa, mara wakristo wamefanya hili au lile. Kuna mifano mingi sana inayothibisha kuwa hawa wenzetu wana nia mbaya na hii Dunia. Somalia, Sudani. Nigeria, Uganda nk kote huko hakuna amani na chanzo ni Uislam.

Tanzania tuna jambo muhimu sana mbele yetu ambalo kila mmoja wetu anajua kuwa tunahitaji katiba mpya ambayo kwayo tutakuwa na viongozi bora wenye maadili si kama hali ilivyo sasa wizi kila kona ya nchi. Wakati tunahitaji kuunganisha nguvu ya pamoja; wenzetu wanakuja na hoja ya udini tena wakisaidiwa na Mheshimiwa Rais J.K. Kikwete. Ninachojiuliza ni kwanini kila anapokuwa kiongozi wa kiislam; hawa jamaa wanataka wapande mbegu zao za chuki dhidi ya Ukristo?. Wakati wa Serikali ya Ally Hassan Mwinyi hawahawa walipendekeza mnyama anayeitwa nguruwe asikanyage mkoa wa Dar es Salaam; hata kufikia hatua ya kubomoa mabucha ya nyama ya nguruwe. Jamani Dar es Salaam si yao peke yao; ni yetu sote. Kipindi hichohicho; wakataka Tanzania iwe ni mwanachama wa OIC na mwinyi bila kushirikisha wadau wengine alisaini mkataba wa kujiunga na jumuiya hiyo ya kiislam.

Wakati huu tunadai mambo ya msingi sana ambayo, hata wao yanawagusa sana. Lakini jambo la kushangaza wao wanajifanya hawana matatizo. Hivi ni kweli kwamba gharama za umeme, kupanda kwa gesi, ufisadi na wizi wa mali za umma, unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia wema, Uchakachuaji wa matokeo ya uongozi wao haviwahusu? Je wenzetu wanaishi Tanzania ipi? ni kweli hawayaoni haya yote?. Kulalamika wataacha lini?

Wakati wa utawala wa Mkapa aliwapa Chuo Kikuu Cha Morogoro; bure kabisa kitu ambacho kama yale majengo hata yangenunuliwa na Kanisa; lazima kungekuwa na maandamano ya Kitaifa ya waislam kupinga. Lakini wao wamepewa bure tena na Mkapa ambaye ni mkristo. Chakushangaza wameshindwa kukiendesha kabisa; sasa sijui wanataka wachungaji wakafundishe pale?. Kwanini wanalalamika kila siku kuwa wanaonewa? ni nani huyo anayewaonea? ni kwanini Duniani kote wao tu wanalalamika na kuanzisha vita na chokochoko?

Kiukweli hili ni janga la Dunia. Kuna kitu kipo kwenye hii imani ya wenzetu ambacho ndicho kinapelekea haya yote. Huenda wanamwabudu Mungu mwingine sio huyu tunayemwabudu sisi. Jamani waislam badilikeni kuweni wastaarabu jamani.

MUNGU UTUBARIKI VITA HII TUSHINDE SALAMA.

UKWELI MTUPU,YESU KRISTO AkUBARIKI SANA KWA KWELI UMENENA NA WAONE NA WABADILIKE,MAANA SISI TUKIANZA WATAUMIA WAO NAAMINI.
 
Waache kulalamika,wapeleke watu shule,waanzishe mahospital ya kutosha,waanzishe miradi ya maendeleo.Kulalamika tu hakusaidii.Tuchape kazi tuache malalamiko.
 
Waache kulalamika,wapeleke watu shule,waanzishe mahospital ya kutosha,waanzishe miradi ya maendeleo.Kulalamika tu hakusaidii.Tuchape kazi tuache malalamiko.

Wao walikuwa wanapeleka madrasa na kuiponda elimu ya mashuleni na kuiita elimu dunia isiyo na manufaa, mbona hili huwa hawalijutii? Badala ya kujenga mahospitali wao waliwaamini sana wafuga majini kama shehe Hayahaya kwa matibabu, ramli na al badr. Sasa wasitafute mchawi waache longo longo wajilaumu wenyewe.

Ila lazima tuchukuwe tahadhali kwa hili, tuysije kuangamizwa kwa kukosa maarifa!
 
Jk hachukiwi sababu ya Udini jamani ni uwezo wake ndiyo Tatizo,walimchezea rafu Dk Salim ambaye ni muislam mwenye uwezo mzuri kuliko yeye. WTZ tuamke tusifanywe bidhaa poa na CCM maslahi wakatugawa waendelee kutunyonya hawa jamani ni wanyonyaji!
 
Jamani naomba nianze kwa kuwaomba msamaha wale wote ambao kwa namna moja ama nyingine watakwazwa na haya maneno nitakayoyaandika humu. Nidhahiri kwamba wote tunajua kuwa tulikuwa na vita kuu ya kwanza ya Dunia kati ya mwaka 1914 - 1918, Vita kuu ya pili ya Dunia kati ya mwaka 1939 -1945 na vita ya tatu ilikuwa ni vita baridi kati ya mlengo wa Mashariki chini ya Mbabe Mrusi (USSR) na mlengo wa Magharibi chini ya mbabe Marekani.

Ulimwengu umeshuhudia mvutano makali sana kati ya hizo pande mbili. Mwaka 1990 - 1991 upande wa Magharibi ulishinda yaani Marekani na washirika wake. Kwakuwa ile nafasi ya upande wa Mashariki ilibakia tupu; inaonekana kumezwa na hawa ndugu zetu, jamaa zetu, rafiki zetu, waume na wake zetu nao si wengine ni waislam wanye msimamo mkali.

Nayasema haya kwakuwa kila sehemu penye vita na machafuko; lazima pahusishe imani ya Uislam. Nadiriki hata kusema kwamba VITA KUU YA DUNIA YA NNE itakuwa in Uislam dhidi ya watu wengine. Kila kukicha lazima utasikia jamani tunaonewa, mara wakristo wamefanya hili au lile. Kuna mifano mingi sana inayothibisha kuwa hawa wenzetu wana nia mbaya na hii Dunia. Somalia, Sudani. Nigeria, Uganda nk kote huko hakuna amani na chanzo ni Uislam.

Tanzania tuna jambo muhimu sana mbele yetu ambalo kila mmoja wetu anajua kuwa tunahitaji katiba mpya ambayo kwayo tutakuwa na viongozi bora wenye maadili si kama hali ilivyo sasa wizi kila kona ya nchi. Wakati tunahitaji kuunganisha nguvu ya pamoja; wenzetu wanakuja na hoja ya udini tena wakisaidiwa na Mheshimiwa Rais J.K. Kikwete. Ninachojiuliza ni kwanini kila anapokuwa kiongozi wa kiislam; hawa jamaa wanataka wapande mbegu zao za chuki dhidi ya Ukristo?. Wakati wa Serikali ya Ally Hassan Mwinyi hawahawa walipendekeza mnyama anayeitwa nguruwe asikanyage mkoa wa Dar es Salaam; hata kufikia hatua ya kubomoa mabucha ya nyama ya nguruwe. Jamani Dar es Salaam si yao peke yao; ni yetu sote. Kipindi hichohicho; wakataka Tanzania iwe ni mwanachama wa OIC na mwinyi bila kushirikisha wadau wengine alisaini mkataba wa kujiunga na jumuiya hiyo ya kiislam.

Wakati huu tunadai mambo ya msingi sana ambayo, hata wao yanawagusa sana. Lakini jambo la kushangaza wao wanajifanya hawana matatizo. Hivi ni kweli kwamba gharama za umeme, kupanda kwa gesi, ufisadi na wizi wa mali za umma, unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia wema, Uchakachuaji wa matokeo ya uongozi wao haviwahusu? Je wenzetu wanaishi Tanzania ipi? ni kweli hawayaoni haya yote?. Kulalamika wataacha lini?

Wakati wa utawala wa Mkapa aliwapa Chuo Kikuu Cha Morogoro; bure kabisa kitu ambacho kama yale majengo hata yangenunuliwa na Kanisa; lazima kungekuwa na maandamano ya Kitaifa ya waislam kupinga. Lakini wao wamepewa bure tena na Mkapa ambaye ni mkristo. Chakushangaza wameshindwa kukiendesha kabisa; sasa sijui wanataka wachungaji wakafundishe pale?. Kwanini wanalalamika kila siku kuwa wanaonewa? ni nani huyo anayewaonea? ni kwanini Duniani kote wao tu wanalalamika na kuanzisha vita na chokochoko?

Kiukweli hili ni janga la Dunia. Kuna kitu kipo kwenye hii imani ya wenzetu ambacho ndicho kinapelekea haya yote. Huenda wanamwabudu Mungu mwingine sio huyu tunayemwabudu sisi. Jamani waislam badilikeni kuweni wastaarabu jamani.

MUNGU UTUBARIKI VITA HII TUSHINDE SALAMA.


Haya tena ni yaleyale! Upuuzi umeanza na wapuuzi watajionesha! Eti si tunapinga mada za udini?

Kwa taarifa yako cc Waislamu tunamwabudu Mungu ambaye hafanani na kiumbe chengine chochote na iwapo huyo Mungu wenu ana sifa hizo basi tunaabudu Mungu mmoja.
 
UKWELI MTUPU,YESU KRISTO AkUBARIKI SANA KWA KWELI UMENENA NA WAONE NA WABADILIKE,MAANA SISI TUKIANZA WATAUMIA WAO NAAMINI.
Fanyeni kama wafanyaji! Hivyo kipi kipya mtachofanya kwa Waislamu? Mlianza kwa crusade sasa mnatumia silahaa isipokuwa kwa nyie domo kaya hakuna lolote!
 
Mtakatifu julius nyerere,mtakatifu ben mkapa!
Haijalishi ila kama una kisima cha mafuta home na umeme wao poa..zaidi ya hapo tupa huko..ungana na mimi tuikomboke inchi...mkizingua kama Tunisia ,mtu ataresign kwa nguvu...
 
We MSEMAUONGO hapojuu hunalolote na huna ulijualo ila dhana zako tu.Siajabu hata historia ya nchi hii huijui na hata huko ulikotoa mifano hunalolote ulijualo ila dhana.Wanaokuunga mkono kwa hoja zako dhaifu pia nao ni mambumbu wa historia ya dunia.Niambie crusade war ilikua wapi na washiriki nikina nani.Uniambie crusade ya pili ilitangazwa wapi na ninani mwamrishaji na ilianza lini na baada ya tangazo kilitokea nini?Kama unajua tuambie kwanini nyerere anaitwa baba wataifa na kwanini apewe utakatifu! Kwanini maaskof wanasuti juu ya serikali.Kama ninyi wakristo mmejihakikishia, basi mwisho umefika na muda simwingi.Rwanda mlifungia waumini makanisani na kuwalipua.Sisi kwetu kufa sio issue,mkianza tutawafyeka maana ninyi niwachafuzi tumewavumilia mda mrefu.Usalama wenu mtuache na mambo yetu. HATUOGOPI KUFA tutapambana hadi tone la mwisho ili haki ipatikane.Waislam tuwapole sana sasa msituudhi. Unawajua walio nyuma ya sudan kusini mpaka pakachafuka.Tatizo habari mnasikiliza za propaganda dhidi ya Uislam,ni sawa na mwana chadema kungoja habar za chadema tbc na habarileo.
 
We MSEMAUONGO hapojuu hunalolote na huna ulijualo ila dhana zako tu.Siajabu hata historia ya nchi hii huijui na hata huko ulikotoa mifano hunalolote ulijualo ila dhana.Wanaokuunga mkono kwa hoja zako dhaifu pia nao ni mambumbu wa historia ya dunia.Niambie crusade war ilikua wapi na washiriki nikina nani.Uniambie crusade ya pili ilitangazwa wapi na ninani mwamrishaji na ilianza lini na baada ya tangazo kilitokea nini?Kama unajua tuambie kwanini nyerere anaitwa baba wataifa na kwanini apewe utakatifu! Kwanini maaskof wanasuti juu ya serikali.Kama ninyi wakristo mmejihakikishia, basi mwisho umefika na muda simwingi.Rwanda mlifungia waumini makanisani na kuwalipua.Sisi kwetu kufa sio issue,mkianza tutawafyeka maana ninyi niwachafuzi tumewavumilia mda mrefu.Usalama wenu mtuache na mambo yetu. HATUOGOPI KUFA tutapambana hadi tone la mwisho ili haki ipatikane.Waislam tuwapole sana sasa msituudhi. Unawajua walio nyuma ya sudan kusini mpaka pakachafuka.Tatizo habari mnasikiliza za propaganda dhidi ya Uislam,ni sawa na mwana chadema kungoja habar za chadema tbc na habarileo.
Bora tupigane!..maana kuikomboa nchi tumeshindwa!
 
sisi sote ni ndugu ni wamoja leo mimi ni mkristo lakini nina mwana,ke muislamu tena tunapendana sana tusijaribu kukaribisha sana mjadala wa dini kwenye maswala haya cha msingi sisi tushirikiane kuikomboa nchi mimi leo siwez kwenda kumpiga muislamu nitakuwa nawakosea wakwe zangu au nitakuwa nawapiga wajukuu zangu jaman cha msingi ni upendo na kueleweshana akuna mtu anaye penda kuishi maisha mabaya hata kidogo
 
Uganda machafuko wanaleta LRA wakristo wenzako, Gbagbo ni mlokole mwenzako, Mugabe pia, Kongo zote na Jamhuri ya Afrika ya Kati hamna waislamu huko mbona kuna machafuko? Halafu hoja zako nyingi ume desa humu JF ndio maana ni za kijiweni zaidi! Good news ni kwamba achana na CCM na serikali na Waislamu. Kanisa lililo jaa wasomi lina mpango mahsusi wa kuchukua nchi through mtoto wake CDM. Tuunge mkono tu bana, tutaonana kesho MISA ya pili!
 
Back
Top Bottom