HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
kama hujui nini kinaendelea duniani uliza na si kuleta lugha za kubughudhi,habari hiyo ni ya kweli technologia ya iran sio ya kupuuza jana leon paneta alikuwa analalama kwa hili la virus kuingizwa kwenye makampuni ya mafuta ,wiki ilipita israeli walishuhudia kitu kikinyemelea satelite yao ingawa walifanikiwa kuitungua lakini imeacha maswali mengi sio kwa israel hata dunia nzima ..ukumbuke pia rais wa iran halali kitandani analala chini hivyo humpelekea kuwaza mbali zaidi