yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,410
Nipo Gongo la mboto maeneo ya Kota ni muda mrefu isiku huu nasikia risasi na vishindo vizito ka mabomu. Hii ni taadhari maana kwa mara ya mwisho kusikia sauti ka hizo asubuhi yake nikapata habari za sStaki Shari polisi kuuawa na nini.
Mnaofahamu kinachotokea updates please
Mnaofahamu kinachotokea updates please