balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,459
- 12,584
Naomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
Waalimu wa Tz wana njaa Sana kiukweliNaomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
Jamaa Hata hafamyi hizo biashara.Itakua ni kweli ila usijekubali kumpa hela ya kukuagizia utatapeliwa
Omporole kwo nabaza.Waalimu wa Tz wana njaa Sana kiukweli
Kama kishikwambi kinawatoa Roho na macho juu
Kishikwambi ndio nini? Ni Tablet au ndio kitu gani hicho?Naomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
Naomba nijue mantiki ya swali?Naomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
Nahisi Kuna teacher kishkwambi Chake kinaliwa kichwa. Lkn wamevusajili serial number na imei number Mzee kinajulikana. Vimesajiliwa hadi Kwa NIDA number za uraia ya mhusika(t3acher).Kuna teacher umemuacha kishikwambi chake nini? Siyo vizuri bods tafadhali mrudishie
TabletKishikwambi ndio nini? Ni Tablet au ndio kitu gani hicho?
Nataka kujua Bei yake.Naomba nijue mantiki ya swali?
Katika profession inayotia aibu ni uwalimu,hasa wa primary na secondary school😅Waalimu wa Tz wana njaa Sana kiukweli
Kama kishikwambi kinawatoa Roho na macho juu
Bei Gani?Kama kuna teacher anaweza kuniuzia hicho kishikwambi ani-pm
Kwanza sio vyao bado vikochini ya serikali ni Mali ya ummaWaalimu wa Tz wana njaa Sana kiukweli
Kama kishikwambi kinawatoa Roho na macho juu