Vishikwambi…

Vishikwambi…

Hicho hapo mambo yake
Screenshot_20230212-111805.jpg
 
Lkn wamekabidhiwa na wameamviwa wakistaafu wanarejesha....kwa hii kasi ya technology sidhani hata vita exist 5 coming years!!

Walishapewa wakuubwa wa shule chini ya mradi wa Equip TZ lakini uli za leo
 
Nahisi Kuna teacher kishkwambi Chake kinaliwa kichwa. Lkn wamevusajili serial number na imei number Mzee kinajulikana. Vimesajiliwa hadi Kwa NIDA number za uraia ya mhusika(t3acher).

yaani serikali inauwezo wa ki allocate. Hata ukikifukia sehemu.

ushauri wangu ni Kaa mbali na kishkwambi Cha mwalimu
 
Back
Top Bottom