balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,507
- 15,125
- Thread starter
- #21
Mmeulizwa swali lakini jibu hakuna,maneno meengi kama kasuku.
Mpe cha kwako jirani...
Hapa nachati na kishikwambi,tuliza mshonoNaomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
muulize mwl yeyote akutumie jina la kishkwambi. Kisha jifanye unaagiza mtandan na utapokelea ulipo. Bei utatajiwa.Naomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
Vile vishikwambi vinazidiw uwezo na smartphone ya kawaida ya 150,000/-Naomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
Kama kuna teacher anaweza kuniuzia hicho kishikwambi ani-pm
Mimi nakujibu bei ya Tablet, kuanzia 250,000/= utapata kwenda juu hapo Sasa brand na model na specifications ndio inapandisha price up.Mmeulizwa swali lakini jibu hakuna,maneno meengi kama kasuku.
Katika profession inayotia aibu ni uwalimu,hasa wa primary na secondary school![]()
kama una laki 6 cash niwekee namba kwenye komenti nikifomati kisha nakupa. Laki 6 tu, au nenda kariakoo ukachukue chako.Kama kuna teacher anaweza kuniuzia hicho kishikwambi ani-pm
Katika profession inayotia aibu ni uwalimu,hasa wa primary na secondary school
Lkn wamekabidhiwa na wameamviwa wakistaafu wanarejesha....kwa hii kasi ya technology sidhani hata vita exist 5 coming years!!Kwanza sio vyao bado vikochini ya serikali ni Mali ya umma
kwan shida nin, leo ukipewa mjengo na v8 ya umma utumie unakataa? Ya bure kabisa!Kwanza sio vyao bado vikochini ya serikali ni Mali ya umma
hao wanalopoka tu, walitolewa koki na ticha wanavaa pampasi,Mmeulizwa swali lakini jibu hakuna,maneno meengi kama kasuku.
Kama anataka kuuziw au kuuza?umeanza vizuri ukamaliza kama wao.kuna watu huwa sijui wapoje,,
mtoa mada unaulizia bei ya kishiwambi tuuu,yaani tukwambie tu bila kuelewa tnapoteza nguvu hizo kwa lengo gani?
kwanza hata hivyo vishikwambi utakuwa huvijui nini kwa undani,
Hizi ni tablet kama zilivyo nyingine,nazo hutofautiana kampuni.kwahiyo bei inatofautiana kulimganana kampun,pia walimu wenyewe wamepewa kampuni hazifanani.Ok tukuulize pia,unataka kujua bei ya kishikwambi cha mwalimu nana vile??
Sisi tuliovichukua kama rehani na muda wa malipo ushapita unatushaulije maana rafiki zangu walimu hatuonani nikipiga simu hawapokei?Nahisi Kuna teacher kishkwambi Chake kinaliwa kichwa. Lkn wamevusajili serial number na imei number Mzee kinajulikana. Vimesajiliwa hadi Kwa NIDA number za uraia ya mhusika(t3acher).
yaani serikali inauwezo wa ki allocate. Hata ukikifukia sehemu.
ushauri wangu ni Kaa mbali na kishkwambi Cha mwalimu
Dukani havizidi laki 3 ama 2.5Naomba mweye kujua Bei ya vishikwambi walivyopewa walimu shilingi ngapi aniambie.Kuna jamaa mmoja alinambia eti vinauzwa laki mbili Zanzibar.Je,ukweli ni upi?
Sio mali ya uma mkuu kuna watu wamestaf wameondoka navyo. Mimi cha kwangu nimempa mwanangu anachezea gameKwanza sio vyao bado vikochini ya serikali ni Mali ya umma
Mali ya serikali hiyo akikuchengia bas uwe mpole...vinginevyo its a government property not for sale eitherSisi tuliovichukua kama rehani na muda wa malipo ushapita unatushaulije maana rafiki zangu walimu hatuonani nikipiga simu hawapokei?
Tumia tu hicho ni simu kama simu nyingine.Mali ya serikali hiyo akikuchengia bas uwe mpole...vinginevyo its a government property not for sale either