Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 687
Mkuu imenichukua masaa 2 kutoka Mwenge kufika Millenium tower hapo kijitonyama. Hii traffic jam ni balaa hakuna tofauti na India. Nimemchukia sana ****** nilipokumbuka akisema kuongezeka kwa foleni na magari Dar ni sababu ya maendeleo yaliyoletwa na chama chake!!
Duuh!! Hiyo noma, bora kutembea kama ungekuwa unaishia Millenium tower!!!!!!!