Visasi vya JK kwa watu wa Arusha? Ahamishia mkutano wa wakuu wa EAC Dar

....JUU NIMEWEKA HOTUBA ALIYOSOMA ....MANENO ALIYOTAMKA JUU YA ARUSHA ...ALITAMKA KWENYE MSISITIZO ...JUU YA KILICHOTOKEA ARUSHA ...IWAPO TUTAPATA VIDEO CLIP YA HOTUBA YA RAIS PALE DODOMA TAREHE 5/2/2011 HAYA YATAJIELEZA WAZI....MWENDELEZO WA CHUKI HIZI PIA UMEJIDHIHIRISHA KWENYE TAMKO LA UMOJA WA VIJANA BAGAMOYO AMBAPO MTOTO WA RAIS ALIKUWAPO....

UKWELI NI KUWA KWENYE MKUTANO WA SEKRETARIET YA AFRIKA MASHARIKI ILIYOKETI ARUSHA KUANDAA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI JANA....KULIKUWA NA UBISHI MKALI KUTOKA KWA NCHI WANACHAMA AMBAZO ZILIKWERWA NA UAMUZI WA TANZANIA KUPELEKA MKUTANO DAR BILA KUWASIKILIZA .....WAO WANAONA KUTOKANA NA MISONGAMANO YA DAR NA UZOEFU WA MIKUTANO ILIYOPITA .....INAWAWIA VIGUMU WASHIRIKI KUFIKA SEHEMU KWA WAKATI....HASA WALE AMBAO HAWAPO KWENYE MISAFARA YA VIONGOZI WAO MOJA KWA MOJA....NA KWA UJUMLA PAMOJA NA UKUBWA WA DAR .....MIKUTANO MINGI IMEKUWA USUMBUFU KWAO NA KWA WANANCHI ....HASA PIA KUTOKANA NA MIUNDOMBINU KUTOKUWA RAFIKI...

KAMA DAR INATAKA KUVUTIA MIKUTANO BILA KUWEKA USUMBUFU KWA WASHIRIKI NI BORA WAFIKIRIE KUWA NA VILLAGE AMBAYO ITAJUMUISHA PIA SEHEMU ZA MALAZI ...KAMA ILIVYO KAMPALA,[COMMONWEALTH VILLAGE],NA NAIROBI[GILGIL]..etc.......lakini kama tutaendelea kulazimisha mambo tutapoteza nafasi ya ARUSHA AMBAPO NI ...MAKAO MAKUU YA AFRIKA MASHARIKI,CHUO CHA UONGOZI AFRIKA ,CHUO KIKUU CHA TEKNELOJIA AFRIKA ,MANDELA,SHIRIKISHO LA POSTA AFRIKA,MAKAKAMA YA RWANDA[na hata tuki lobby vema mahakama ya HAGUE wanataka kuweka tawi pale],mahakama kuu ya afrika,mahakama ya afrika mashariki...etc....are we ready to lose everything just kwa ajili ya visasi?????????......narudia tena kama ingekuwa visasi basi Kibaki angeutenga mji wa nairobi....na kulikuWA na hati hati ya makao makuu ya umoja wa mataifa na habitat ihame nairobi....ingeweza kuletwa Arusha au kuhama kabisa ukanda huu....

Suala la kikwete kuwa al maarufu wa visasi linajulikana. ni wajibu wa vyombo husika na wahusika ambao wengine tuko huku kukataa kata kata mambo yenye interest binafsi kama hizo. ndio maana anaua chama na kuwatafuta kina nape wafe nacho.....hakuna maendeleo kwa afrika ambayo taasisi zake haziko wima!!! anataka aiache tannzania ambayo haina kitu?? hii ikataliwe...usalama wa taifa kwani kazi yenu ni nini?? mbona hata nyerere walikuwa wanamkatalia ambayo hayajengi?
 
Katika kile ulifanyalo ni lazima ujieandae na madhara yake,

Arusha ilipokubali kugeuzwa kuwa kitovu cha mapambano ya kisiasa ni lazima wawe tayari kufaidi matamu na machungu yake. Kama kiongozi wa nchi Rais ana wajibu wa kuhakikisha hawaexpose wakuu wa nchi zingine na rabsha za kisiasa ambazo ni vigumu kuzitabiri kutokana na hali ya kisiasa Arusha lakini pia ukichukulia historia isiyo nzuri ya jiji hilo kiusalama huko nyuma.

Lakini pia ni wazi gharama zingekuwa kubwa zaidi kufanya kikao cha wakuu wa nchi Arusha halafu kuwakimbiza katika jiji kitovu cha biashara Dar ili kushiriki kikamilifu katika mkutano wa uwekezaji ambao umetayarishwa na kituo cha uwekezaji chini ya Mwana - Arusha Ole Naiko kwa kushirikiana na Commonwealth

All in all, katika kila ukulima, unavuna ulichopanda. Na ni wajibu wa mpiganaji wa kweli kuembrace ukweli huo badala ya ku-agonise...

Comment kama hii inatoka kwa msomi na ambaye ni mshauri wa Raisi. Tuna safari ndefu sana.....
 
Jana watumia njia ya Mwnege-Ubungo tulipata adha ya hawa wakubwa njia ilifungwa kuanzia saa moja pale karibu na mlimani city mpaka saa 2.30 ilikuwa hali ya kusikitisha sana kwa sababu wangeweka trafick police akatudivert kwenda njia nyingine badala kujikuta tuko trapped kwa muda wote huo.
Hasira zake na chuki zake na visasi vitamfanye afe kabla ya umri wake ,yeye ni kiongozi anatakiwa kuongoza nchi kwa hekima lakini sio kwa emotions
 
Suala la kikwete kuwa al maarufu wa visasi linajulikana. ni wajibu wa vyombo husika na wahusika ambao wengine tuko huku kukataa kata kata mambo yenye interest binafsi kama hizo. ndio maana anaua chama na kuwatafuta kina nape wafe nacho.....hakuna maendeleo kwa afrika ambayo taasisi zake haziko wima!!! anataka aiache tannzania ambayo haina kitu?? hii ikataliwe...usalama wa taifa kwani kazi yenu ni nini?? mbona hata nyerere walikuwa wanamkatalia ambayo hayajengi?

Congratulations! You've said it all in one small paragraph!
 
visasi ni tabia ya kikwete, unajua waliko walio ingia kwenye ligi ya urais naye kutoka ccm??? Ni mwandosya tu yupo lakini baada ya kuonywa huko mbeya!!!!. Waulize akina sumaye, salim ahmed salim. Je waliowaunga mkono sumaye na salim? Nina ushahidi wa kada mmoja aitwaye nicodemus banduka alikuwa mkuu wa mkoa wa lindi 2005.

Banduka alimuunga mkono sumaye kilichompata akisimulia machozi yanatiririka. Nilikuwepo wakati kikwete alipokataa kumpa hata mkono mkuu wa mkoa wakati aliporudi lindi kushukuru. Nilikuwepo wakati anawaadressi mwenyekiti ccm mkoa, wilaya, wakuu wa wilaya na kumwacha mkuu wa mkoa.

Ninakumbuka alivyomleta sadick meck sadick kama mkuu wa mkoa bila kumpa taarifa banduka. Banduka alinyang'anywa gari njiani. Afisa usalama wa mkoa alimtoa kwenye nyumba ghafla.
Banduka alitoroka usiku kuepuka aibu ya ghafla.

Hata mitandao iliyopo ni kwa ajili ya kikwete. Mtandao wake ni kwa ajili ya kuendelea kuwaadhibu wabaya wake tena walio katika chama chake. Kauli za uv ccm bagamoyo na kwingine na matusi kwa wazee wa chama chanzo ni visasi vyake

hafai uongozi wowote hata katibu kata = kikwete ni mtu hatari.
Kweli KIKWETE ni mtu sumu sana kama alimfanyia Mkuu wake wa mkoa hivyo ,ana visasi vibaya sana,hivi huyu Banduka yupo hai au alikufa hajawahi kusikika tena wakati alikuwa mtu maarufu
 
Mkutano huu umeandaliwa na kudhaminiwa na nani? Mnamtwisha JK wetu lawama zisizo zake. Mlimwona Mzee wetu Mengi na vyombo vyake jinsi walivyoupamba ukumbi ule? Kwa nini Bunge la EAC linafanyika kokote Afrika Mashariki?

Pumba hiyo
 
Hii sio kweli, lazima kuna sababu za msingi. Yeye kama yeye hawezi ghafla kubadilisha sehemu ya mkutano kwa kuwa kuna kamati ya maandalizi naye siyo mjumbe.Haiwezekani kabisa.

Ni kweli kabisa mheshimiwa, hii ni sawa na kumuhusisha Rais wetu mpendwa na uchakachuaji kura za wananchi, kikwete kama kikwete hahusiki na wizi wa kura unapojitokeza maana kuna Tume ya Taifa ya Uchaguzi na yeye siyo mmoja wa maafisa wa hiyo tume.
 
Seriously huu uamuzi wa kuufanya mkutano huu Dar es Salaam badala ya Arusha umekuwa na negative impact kwa jiji kwa ujumla kwani jana (j3) kulikuwa na foleni isiyokuwa na kifani mida ya jioni. I wonder if they took all these into account when they took the decision to move this meeting from Arusha to Dar....

Foleni la jana jioni toka Posta mpaka mwenge sitakuja lisahau, kwa mara nyingine tena impact ya fitina za Jk imenigusa directly
 
kama raisi ndio amesema haya kule dodoma, "....Niliyoyasema yametokea Arusha[wakati mwingine natamani kuhamisha shughuli na maofisi ya kimataifa pale] na dalili zipo za mipango ya namna ile kuandaliwa kutokea sehemu nyingine hapa nchini...", basi tatizo ni kubwa.

Ila kama Arusha imeandikiwa neema itakuwa hivo tu, kwani hata babu wa loliondo alitokea tu kule bila mipango ya mwanadamu. 2015 sio mbali ndugu zangu watanzania na wa-arusha, ifahamike kuwa muosha --huoshwa.

Kusema ukweli hii mikutano hapa dar imetuletea usumbufu mkubwa,foleni ya jana sijawai kuiona; na ni kwa pande zote za huu mji. Akiendelea na hivi ni kuendelea kujiaibisha tu, maana nakumbuka kuna foleni ilishawai kutokea pale ubungo,ilibidi wale mashushushu wa rais benja wakati ule washuke kwenye magari yao kuwalazimishe magari yasogee kusikojulikana!! Hii aibu itajitokeza kwa hawa viongozi wa nje, waone buguza kurudi tena tanzania.

Saa nyingine naona angeweza angefanyia bagamoyo,ila ndio hivo bado kumedoda....binadamu tumeumbwa kujifunza,tukubali hii fursa tukikosea.

 
foleni ya leo tar 19 aprili 2011 ni kiboko kweli kweli, shuguli za kawaida hapa mjini zitaanza saa nne asubuhi. Yote kwa sababu ya ujinga wa mtu mmoja.
mkuu usiuite ujinga bora ungesema kwa sababu ya akili ya mtu mmoja mkuu!
 
Mkuu imenichukua masaa 2 kutoka Mwenge kufika Millenium tower hapo kijitonyama. Hii traffic jam ni balaa hakuna tofauti na India. Nimemchukia sana ****** nilipokumbuka akisema kuongezeka kwa foleni na magari Dar ni sababu ya maendeleo yaliyoletwa na chama chake!!

******* = Jakaya mrisho kikwete au baba yake mzazi wa Ridhiwani
 
Huyu ni mtu wa visasi!!!!!!!! Kama alivyomfanyia babu Seya, ndivyo anavyoifanyia Arusha......................... mi napita tu wakuu!!!!!!!!!!!!!!
 
visasi ni tabia ya kikwete, unajua waliko walio ingia kwenye ligi ya urais naye kutoka ccm??? Ni mwandosya tu yupo lakini baada ya kuonywa huko mbeya!!!!. Waulize akina sumaye, salim ahmed salim. Je waliowaunga mkono sumaye na salim? Nina ushahidi wa kada mmoja aitwaye nicodemus banduka alikuwa mkuu wa mkoa wa lindi 2005.

Banduka alimuunga mkono sumaye kilichompata akisimulia machozi yanatiririka. Nilikuwepo wakati kikwete alipokataa kumpa hata mkono mkuu wa mkoa wakati aliporudi lindi kushukuru. Nilikuwepo wakati anawaadressi mwenyekiti ccm mkoa, wilaya, wakuu wa wilaya na kumwacha mkuu wa mkoa.

Ninakumbuka alivyomleta sadick meck sadick kama mkuu wa mkoa bila kumpa taarifa banduka. Banduka alinyang'anywa gari njiani. Afisa usalama wa mkoa alimtoa kwenye nyumba ghafla.
Banduka alitoroka usiku kuepuka aibu ya ghafla.

Hata mitandao iliyopo ni kwa ajili ya kikwete. Mtandao wake ni kwa ajili ya kuendelea kuwaadhibu wabaya wake tena walio katika chama chake. Kauli za uv ccm bagamoyo na kwingine na matusi kwa wazee wa chama chanzo ni visasi vyake

hafai uongozi wowote hata katibu kata = kikwete ni mtu hatari.

Yaliyomkuta Nicodemus Banduka naomba tusiendelee kukumbushana maana yalimuhuzunisha kila mcha Mungu (Muislam, Mkristo nk)
 
Muulizeni JV Mwapachu kama maandalizi ya mkutano huu yalifanywa na IKULU yetu. Watu wanatafuta hela ya kustaafia ninyi mnamkomalia JK wetu!

Sikubaliani na hilo kuwa wanaotarajia kustaafu ndio waliosababisha mkutano ufanyike Dar ili wapate mshiko kwani wangetaka mshiko huko Arusha haupatikani? Ni visasi vya m-kwere coupled with his estrangement na Lowassa, A-town is no longer appealing!
 
Kiloni, umenigusa!! Kwa kweli mtu wa visasi hafai kabisa. Hata mbele za Mungu na ndiyo maana Mungu leo hii akiamua kutuhesabia makosa yetu, nani angesimama? Tumwombe Mwenyezi Mungu amgeuze angalau amalize muda wake aondoke zake!!!!! Lakini akumbuka malipo ni hapa hapa!!!!

Nikifikiria swala la kumsubiri amalize muda, nakata tamaa kabisa kwasababu kuishi mwaka mmoja ukiwa chini ya uongozi wa mtu kama huyu si kitu kidogo
 
Heshima kwenu wanajamvi.

JK ni mtu wa ajabu sana akiachiwa afanye atakavyo kuna siku utasikia mikutano yote ya kimataifa inakimbizwa Bagamoyo.Bahati mbaya sana katiba yetu mbovu inamruhusu Rais wa JMT kuamua atakavyo pasipo kuhojiwa na chombo chochote.Rais ana mamlaka ya kuunda mkoa na wilaya akipenda anaweza kuufuta mkoa wa Arusha au kuunganisha na mkoa wa Kilimanjaro katiba inamruhusu namshangaa anasubiri nini.

Namshauri JK ahamishe mahakama UNICTR Msoga,makao makuu ya EAC apeleke Bagamoyo,Babu wa Loliondo ampeleke Dodoma.

Rais wa nchi anapofanya ubaguzi wa eneo la JMT kwaasababu zozote hafai kuitwa rais bali mhuni.
 
Back
Top Bottom