Zipi hizo mkuu...nifungue macho.Hapo kuna UMAMA flani hivi nimeuona..
Mbn zipo njia kibao za kupunguza hasira kwa ishu km hiyo.. ( wazee wa plan b ndio wanaelewa)
heheheheehheheeh we jamaa unichekesha sana.Nikashangaa na kuhoji kwanini hukuniambia tangu jana mpaka mimi nimejilipua kuja kote huku what if ningepata ajali?
Ukishanyimwa ndipo utakumbuka huwa kuna ajali...maana ni mkoa ambao sina ndugu na wala sikuwahi kuota kama nitafika na nimeondoka sijamwambia mtu...lakini ningetunukiwa hata angesema tuunganishe tena mpaka msumbiji ningekwenda bila kinyongo.heheheheehheheeh we jamaa unichekesha sana

Ahsante...ni ugeni tu katika tasnia ukanifanya nipoteze nyota zote tano...silly mePoyeee sasa nawe ukakubalije kirahisi rahisi hivo aise?
Yani ukashindwa hata kumtekenya tekenya nawewe bana lol

Ha haa ndohivo ukapoteza chance hiyo.Ahsante...ni ugeni tu katika tasnia ukanifanya nipoteze nyota zote tano...silly me![]()
Hizo mbinu ni dhaifu sana! Hasa ukizingatia mko room moja tena siku tatu zote?Mwanaume kama humtaki mwanaume hana ujanja.
Mbinu zetu tunazijua wenyewe. Eg.7
Niko period
Nimefunga kwaresma mpaka mfungo uishe
Nina fangas (unaweka vidonge) kumbe hata fangas huna.
Hiyo ndio akili sasa!Mimi niliambiwa hivo nililala naye mpaka morning bila kumgusa ni story tu.
Siku ya pili hivohivo ila namgusa chuchu kimtindo,
Siku ya tatu yeye mwenyewe alidai,maana alikuwa hoiiii anaguswa chuchu halafu dushe halizami,mbona alidai mwenyewe chezea dushe wewe!!!
Hahaaaa wengine huwa hawafatilii kalenda zaoHuenda ilikuwa hivyo..maana huwezi mtegea mtu safari ukiwa period..bora ingetokea wakati teyari mpo safarini..Niliapa sitojilipua tena.Nikipata mialiko kama hiyo nakuwa muwazi kabisa nauliza period unaingia lini?..jibu la hapo ndipo litanipa msukumo.
Itifaki ilizingatiwa mkuu..kasoro papa mshkunda ndio nilishindwa kupata fursa ya kugema.Kwahiyo mkuu hata denda hukuambulia?

By then nilikuwa kijana mtiifu sana nikiamini katika itifaki kwa kila jambo.Lakini kama ilivyo ada wanawake wa rika letu wanakuwa wameshatuzidi akili siku nyingi.Mkuu, ungemgegeda hivyohivyo!
Mkuu umeusoma uzi kwa umakini kabisa?..niliweka wazi kuwa ni kweli nilijirisha kujua kama kweli yupo period..(nilidiriki mpaka kufubgua kapedi kaliko tumika ambacho alikaweka kwenye mfuko katika dustbin..niliamka usiku akiwa kalala)WEWE DEMU ALISHAKUKUBALIA. TATIZO UKAWA MZITO WA KUELEWA. INAVYOONYESHA HUYO DEMU ALIKUWA BADO HAJAGUSWA (BIKIRA) NDIO MAANA ALIKUWA MUOGA KUKUBALI MOJA KWA MOJA. AKAKUBALI KWA VITENDO. HIYO PAD ILIKUWA ZUGA TU KUTOKANA NA HOFU. NDIO MAANA BAADA YA KUREJEA SAFARI AKAKUONA WEWE NI ZUZU AKAKUMWAGA. WENGINE SA HIVI WANAMMEGA HUKO ALIPO. INAONEKANA UMEZOEA VYA KUNYONGA WEWE... VYA KUCHINJA HUWEZI