Visa vya wanawake katika mahusiano

Visa vya wanawake katika mahusiano

Ilikua 2011 niko chuga, kuna demu nilimpigia aje maskani nipate kugema, ile anafika home boyfriend wake ambaye anamhudumia akawa anampigia simu.
Demu akachukua rangi na mafuta ya mgando (alikua navyo katika mkoba) akaeka katika pedi akavaa, nikaambiwa "subiri nakuja" nikakubali kishingo upande.
Hayajapita masaa mawili karudi akaomba akaoge, nikachukua sim kuangalia conv. jamaa yake analalamika kwanini hakumwambia mapema kama ana bleed, katoka kuoga nikamkunja vizuri yule mtoto wa kirangi. Nilipoona story ya mshkaji nimecheka tu... Wanawake wana akili mbovu sana
Dah..hayo mapicha ni hatari sana.
 
Alikudharau sana. Ndiyo maana mahusiano yenu hayakudumu.
Alikuona si mbunifu wa mapenzi.
Laiti ungekuwa mjanja na mbunifu, mechi ungepiga, tena ya ushindi.
Pole sana kwa kampani.
 
ujue sio mm yaani nipo na demu mazingira hayo nimuache huwa cna ujinga hata aseme papuchi inafangasi cjui ina kidudu mtu mm natumbukiza tu dushe
..umetisha asee..unagema papa mshkunda bila kujali fungi?..unaloweka tu mzee...hapo mimi hata uniwekee na dettol pembezi sijilipui...upapi unaweza develop moss..
 
Wanawake ni watu wazuri na watu wabaya sana. Akiamua kucheza na akili yako utafurahi. Niende kwenye mada husika nikirejea kisa kimoja ambacho mpaka leo namtafakari yule mwanamke.

Ni miaka kadhaa imepita. Nikiwa nasoma chuo. Kuna msichana nilimpenda na nilimfuatilia kwa takribani miezi minne pasina matumaini. Alikuwa ni dada anayejiheshimu sana. Lakini sikukata tamaa.

Kuna siku tunakaribia kumaliza masomo akaniuliza swali hili "unaweza kulala na msichana chumba kimoja na msifanye chochote" basi kwa kujitutumua nilijibu kwa ufasaha sana kuonesha sina tamaa ya fisi.. kuwa hilo linawezekana kwakuwa kila jambo ni kuamua. Akajibu sawa amependa jibu langu. Ikapita muda sana.

Siku moja nilikuwa nimechacha vibaya mno..wakati huo mdogo wangu alikuwa ameajiriwa nikampiga mzinga..nilapata fungu fulani hivi lakujikimu wakati nimetoka tu kuitoa hiyo pesa,mara ghafla ikaingia meseji ya yule binti ninayempenda ikisema.."nikuombe unisindikize sehemu utakubali?"..nikawaza sijui kunanini tena..nikajibu ndio na wapi?..(akataja mkoa fulani hivii).

Nikashtuka na kuwaza huyu anataka nimsindikize mkoani wakati hajawa hata mpenzi wangu inawezekanaje?.Kama tujuavyo..mtaka cha uvunguni sharti ainame.nikabidi nimdanganye kuwa mimi sina pesa ila natamani ningemsindikiza (lengo lilikuwa sitaki kwenda).

Lakini alisisitiza yeye pesa anayo atanilipia nauli ya kurudi na atalipia malazi. Nikamuuliza kwahiyo tutalala chumba kimoja? akasema NDIO.. Moyoni nikasema Yes,yes..mtoto kanikubalia kistyle fulani hivi. Bila kuwaza sana nikajilipua sijamwambia mtu yoyote. lakini nikabidi niulize huko mkoani tunafuata nini?(akajibu kuna nyaraka fulani anafuata za mambo yake)

Siku ya safari ikafika nikajianda vyema.safari ikaanza tukafika mkoani akalipia lodge nzuri kabisa. Kwakuwa tulifika usiku maana ni mbali kidogo. Ikabidi tupate chakula kwanza. Sasa kwakuwa ndio ilikuwa mara ya kwanza kuwa pamoja basi ilibidi tupeane zamu ya kuoga (kichwani nawaza huyu mtoto leo ntamaliza kwakweli maana nna hasira ya kupiga misele miezi minne).

Ilibidi nitoke nje nikanunue rubber (usalama kwanza). Nikijua leo ndio siku yakutunikiwa.nikiwa na furaha kabisa narudi nakuta kwenye dustbin kuna makaratasi yaliyofungiwa pad..NGACHOKA!!!..Nikabidi niulize kulikoni mama mbona nakuwa sielewi hivii..akanijibu niko period..(i was like...F*****).

Ikabidi niwe mpole nikauliza tangu lini akajibu tangu jana asubuhi..Nikashangaa na kuhoji kwanini hukuniambia tangu jana mpaka mimi nimejilipua kuja kote huku what if ningepata ajali? (halafu nakuja tena huku napata hasara kamili). Kiukweli nichanganyikiwa maana nilikuwa nimeiva mbaya kabisa..chumba nilikiona kama dumu la lita 20. Nilitamani niondoke hata usiku huo.

Akanikumbusha..unakumbuka kuna siku nilikuuliza kama unaweza lala na mtu msifanye chochote..nikajibu ndio. Nikawaza mshenzi huyu alitega akiingia period tu ndio anichote twende huko kwenye mipango yake. Basi sikuwa na jinsi nikatulia tulikaa siku tatu chumba kimoja bafu moja lakini sikutunukiwa.. Ilikuwa ni mateso makali ya kumuweka simba mwenye njaa kwenye machungio ya swala.

Huwezi amini baada ya kurudi..mahusiano yakawa yanalegalega mwisho yakafa mazima. Nikajuta sana why i couldnt calculate the risk. Nikawaza ingekuwa enzi hizi za "Hainaga period sisi tunakulagaaa" Hhhhhhhhh najua nisingepata hasara kamili...

Kama nawewe ushawahi kuchezeshwa kipekule na mwanamke changia hapa..Karibu ndugu.
Mkuu hakuwa period ulichezewa tu akili na alitaka kujua kama akili zako zilikuwa zinakutosha and whether you were man enough kuupigania na kupiga mzigo, maskini alikuona tu zoba...wanawake wana akili nyingi mno hasa katika maswala ya mapenzi na mahusiano; yan huwa tunawala basi tu lakini uongo wote unaokuwa unamweleza usije fikiri hatambui; ogopa kiumbe aliyepewa uwezo wa kubeba mimba na kuzaa, Mungu kawapa uwezo mkubwa sana wa akili na kucheza na akili zetu!
 
Mkuu umeusoma uzi kwa umakini kabisa?..niliweka wazi kuwa ni kweli nilijirisha kujua kama kweli yupo period..(nilidiriki mpaka kufubgua kapedi kaliko tumika ambacho alikaweka kwenye mfuko katika dustbin..niliamka usiku akiwa kalala)

ulivurugwa wewe khaaa..! Mpaka kuamka na kuchukua used pad kwa dustbin?
 
he inamaana anaenda siku ngapi yaani huko mlikaa siku tatu and 2 days before ndio kaanza we ungemla tu bwana hata siku ya nne

Ungemlamba lamba kila mahali pad ingetolewa kirahis sana we sio rizki
 
he inamaana anaenda siku ngapi yaani huko mlikaa siku tatu and 2 days before ndio kaanza we ungemla tu bwana hata siku ya nne

Ungemlamba lamba kila mahali pad ingetolewa kirahis sana we sio rizki
Mkuu..nimeshindwa hata kukupa like...unanikosea heshima kuniambia mimi sio riziki nitake radhi tafadhali...usichangie mada kwa mihemko...katika uzi kuna sehemu umeona nilipewa nikashindwa au mazingira yalikuwa hayaruhusu??
 
ulivurugwa wewe khaaa..! Mpaka kuamka na kuchukua used pad kwa dustbin?
Tehe tehe hapana chezea kiu ya papa..u can do impossible things with the power of papa...u can even snitch your friends.. pia unaweza nena kwa lugha ambazo hujawai jifunza..usishangae kuongea kiebrania ukiwa umeshikwa.
 
Mkuu..nimeshindwa hata kukupa like...unanikosea heshima kuniambia mimi sio riziki nitake radhi tafadhali...usichangie mada kwa mihemko...katika uzi kuna sehemu umeona nilipewa nikashindwa au mazingira yalikuwa hayaruhusu??

Hahahahahahahahahahhahaah hii JF raa sana hata mimi naitwa mkuu ? 🙂 tanteee haya acha nikutake radhi mkuu
 
Wanawake ni watu wazuri na watu wabaya sana. Akiamua kucheza na akili yako utafurahi. Niende kwenye mada husika nikirejea kisa kimoja ambacho mpaka leo namtafakari yule mwanamke.

Ni miaka kadhaa imepita. Nikiwa nasoma chuo. Kuna msichana nilimpenda na nilimfuatilia kwa takribani miezi minne pasina matumaini. Alikuwa ni dada anayejiheshimu sana. Lakini sikukata tamaa.

Kuna siku tunakaribia kumaliza masomo akaniuliza swali hili "unaweza kulala na msichana chumba kimoja na msifanye chochote" basi kwa kujitutumua nilijibu kwa ufasaha sana kuonesha sina tamaa ya fisi.. kuwa hilo linawezekana kwakuwa kila jambo ni kuamua. Akajibu sawa amependa jibu langu. Ikapita muda sana.

Siku moja nilikuwa nimechacha vibaya mno..wakati huo mdogo wangu alikuwa ameajiriwa nikampiga mzinga..nilapata fungu fulani hivi lakujikimu wakati nimetoka tu kuitoa hiyo pesa,mara ghafla ikaingia meseji ya yule binti ninayempenda ikisema.."nikuombe unisindikize sehemu utakubali?"..nikawaza sijui kunanini tena..nikajibu ndio na wapi?..(akataja mkoa fulani hivii).

Nikashtuka na kuwaza huyu anataka nimsindikize mkoani wakati hajawa hata mpenzi wangu inawezekanaje?.Kama tujuavyo..mtaka cha uvunguni sharti ainame.nikabidi nimdanganye kuwa mimi sina pesa ila natamani ningemsindikiza (lengo lilikuwa sitaki kwenda).

Lakini alisisitiza yeye pesa anayo atanilipia nauli ya kurudi na atalipia malazi. Nikamuuliza kwahiyo tutalala chumba kimoja? akasema NDIO.. Moyoni nikasema Yes,yes..mtoto kanikubalia kistyle fulani hivi. Bila kuwaza sana nikajilipua sijamwambia mtu yoyote. lakini nikabidi niulize huko mkoani tunafuata nini?(akajibu kuna nyaraka fulani anafuata za mambo yake)

Siku ya safari ikafika nikajianda vyema.safari ikaanza tukafika mkoani akalipia lodge nzuri kabisa. Kwakuwa tulifika usiku maana ni mbali kidogo. Ikabidi tupate chakula kwanza. Sasa kwakuwa ndio ilikuwa mara ya kwanza kuwa pamoja basi ilibidi tupeane zamu ya kuoga (kichwani nawaza huyu mtoto leo ntamaliza kwakweli maana nna hasira ya kupiga misele miezi minne).

Ilibidi nitoke nje nikanunue rubber (usalama kwanza). Nikijua leo ndio siku yakutunikiwa.nikiwa na furaha kabisa narudi nakuta kwenye dustbin kuna makaratasi yaliyofungiwa pad..NGACHOKA!!!..Nikabidi niulize kulikoni mama mbona nakuwa sielewi hivii..akanijibu niko period..(i was like...F*****).

Ikabidi niwe mpole nikauliza tangu lini akajibu tangu jana asubuhi..Nikashangaa na kuhoji kwanini hukuniambia tangu jana mpaka mimi nimejilipua kuja kote huku what if ningepata ajali? (halafu nakuja tena huku napata hasara kamili). Kiukweli nichanganyikiwa maana nilikuwa nimeiva mbaya kabisa..chumba nilikiona kama dumu la lita 20. Nilitamani niondoke hata usiku huo.

Akanikumbusha..unakumbuka kuna siku nilikuuliza kama unaweza lala na mtu msifanye chochote..nikajibu ndio. Nikawaza mshenzi huyu alitega akiingia period tu ndio anichote twende huko kwenye mipango yake. Basi sikuwa na jinsi nikatulia tulikaa siku tatu chumba kimoja bafu moja lakini sikutunukiwa.. Ilikuwa ni mateso makali ya kumuweka simba mwenye njaa kwenye machungio ya swala.

Huwezi amini baada ya kurudi..mahusiano yakawa yanalegalega mwisho yakafa mazima. Nikajuta sana why i couldnt calculate the risk. Nikawaza ingekuwa enzi hizi za "Hainaga period sisi tunakulagaaa" Hhhhhhhhh najua nisingepata hasara kamili...

Kama nawewe ushawahi kuchezeshwa kipekule na mwanamke changia hapa..Karibu ndugu.
Upuuzi kama huo huwa sitakagi..! Demu akija room ajue anakuja kugawa zaga..! Awe period asiwe period atagongwa tu..!
Tena kama akiwa period ndo ntaenda hata round tano...!
 
Siku tatu rum moja na bimdada??? Mkuu napata mashaka na wewe
 
Wanawake ni watu wazuri na watu wabaya sana. Akiamua kucheza na akili yako utafurahi. Niende kwenye mada husika nikirejea kisa kimoja ambacho mpaka leo namtafakari yule mwanamke.

Ni miaka kadhaa imepita. Nikiwa nasoma chuo. Kuna msichana nilimpenda na nilimfuatilia kwa takribani miezi minne pasina matumaini. Alikuwa ni dada anayejiheshimu sana. Lakini sikukata tamaa.

Kuna siku tunakaribia kumaliza masomo akaniuliza swali hili "unaweza kulala na msichana chumba kimoja na msifanye chochote" basi kwa kujitutumua nilijibu kwa ufasaha sana kuonesha sina tamaa ya fisi.. kuwa hilo linawezekana kwakuwa kila jambo ni kuamua. Akajibu sawa amependa jibu langu. Ikapita muda sana.

Siku moja nilikuwa nimechacha vibaya mno..wakati huo mdogo wangu alikuwa ameajiriwa nikampiga mzinga..nilapata fungu fulani hivi lakujikimu wakati nimetoka tu kuitoa hiyo pesa,mara ghafla ikaingia meseji ya yule binti ninayempenda ikisema.."nikuombe unisindikize sehemu utakubali?"..nikawaza sijui kunanini tena..nikajibu ndio na wapi?..(akataja mkoa fulani hivii).

Nikashtuka na kuwaza huyu anataka nimsindikize mkoani wakati hajawa hata mpenzi wangu inawezekanaje?.Kama tujuavyo..mtaka cha uvunguni sharti ainame.nikabidi nimdanganye kuwa mimi sina pesa ila natamani ningemsindikiza (lengo lilikuwa sitaki kwenda).

Lakini alisisitiza yeye pesa anayo atanilipia nauli ya kurudi na atalipia malazi. Nikamuuliza kwahiyo tutalala chumba kimoja? akasema NDIO.. Moyoni nikasema Yes,yes..mtoto kanikubalia kistyle fulani hivi. Bila kuwaza sana nikajilipua sijamwambia mtu yoyote. lakini nikabidi niulize huko mkoani tunafuata nini?(akajibu kuna nyaraka fulani anafuata za mambo yake)

Siku ya safari ikafika nikajianda vyema.safari ikaanza tukafika mkoani akalipia lodge nzuri kabisa. Kwakuwa tulifika usiku maana ni mbali kidogo. Ikabidi tupate chakula kwanza. Sasa kwakuwa ndio ilikuwa mara ya kwanza kuwa pamoja basi ilibidi tupeane zamu ya kuoga (kichwani nawaza huyu mtoto leo ntamaliza kwakweli maana nna hasira ya kupiga misele miezi minne).

Ilibidi nitoke nje nikanunue rubber (usalama kwanza). Nikijua leo ndio siku yakutunikiwa.nikiwa na furaha kabisa narudi nakuta kwenye dustbin kuna makaratasi yaliyofungiwa pad..NGACHOKA!!!..Nikabidi niulize kulikoni mama mbona nakuwa sielewi hivii..akanijibu niko period..(i was like...F*****).

Ikabidi niwe mpole nikauliza tangu lini akajibu tangu jana asubuhi..Nikashangaa na kuhoji kwanini hukuniambia tangu jana mpaka mimi nimejilipua kuja kote huku what if ningepata ajali? (halafu nakuja tena huku napata hasara kamili). Kiukweli nichanganyikiwa maana nilikuwa nimeiva mbaya kabisa..chumba nilikiona kama dumu la lita 20. Nilitamani niondoke hata usiku huo.

Akanikumbusha..unakumbuka kuna siku nilikuuliza kama unaweza lala na mtu msifanye chochote..nikajibu ndio. Nikawaza mshenzi huyu alitega akiingia period tu ndio anichote twende huko kwenye mipango yake. Basi sikuwa na jinsi nikatulia tulikaa siku tatu chumba kimoja bafu moja lakini sikutunukiwa.. Ilikuwa ni mateso makali ya kumuweka simba mwenye njaa kwenye machungio ya swala.

Huwezi amini baada ya kurudi..mahusiano yakawa yanalegalega mwisho yakafa mazima. Nikajuta sana why i couldnt calculate the risk. Nikawaza ingekuwa enzi hizi za "Hainaga period sisi tunakulagaaa" Hhhhhhhhh najua nisingepata hasara kamili...

Kama nawewe ushawahi kuchezeshwa kipekule na mwanamke changia hapa..Karibu ndugu.
Wewe dogo ushawahi kuchinja Kuku?
Sasa unaogopaji damuuuuuu
Ajilete na..anajua.anableee...unaweza vumilia...siku ya kwanza na ya pili damu..nzito
Siku ya tatu damu hutoka...kwa...kubeep kwa...ushujaaa hiyo...inafaaa kuliwa...kwa...kondomu ...
Sasa we dogo mmefika ana siku...ya pili mmekaaa...siku tatu ........
Hiyo...siunamtega hadi...yeye aseme...tifanye hivyo...hivyo alafu unajifanya...sio zako

Acha fix
 
Mwanaume kama humtaki mwanaume hana ujanja.

Mbinu zetu tunazijua wenyewe. Eg.7

Niko period
Nimefunga kwaresma mpaka mfungo uishe
Nina fangas (unaweka vidonge) kumbe hata fangas huna.
Mama...kutana na mafisi ..hainaga michezo....TUNAKULAGA.
Enzi...zetu mitego...hiyo...yote tunatibuaaaa
Akizidi sana....unamletea....za kugeuza yeye mwenyewe anaenda....kuoga anakupa vizuri
Watoto wa...siku hizi hawana kiu na K. ..kama sisi
 
Back
Top Bottom