Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,388
- 1,098
chama kitachopewa dhamana ya kuliongoza taifa kikatiba ndicho kitachosimamia ukusanyaji wa kodi ya serikali.Tufuate sheria inasemaje
chama kitachopewa dhamana ya kuliongoza taifa kikatiba ndicho kitachosimamia ukusanyaji wa kodi ya serikali.Tufuate sheria inasemaje
H
kuna haja gani ya kujadiliana na mtu asiyefikiri kama wewe? TRA itakusanya kodi za majengo nchi nzima au pale ambapo wapinzani wanaongoza halmashauri?
Kama kuna ujinga mkubwa mwanadamu anaweza kufanya basi ni kugoma kujifunza kutoka kwa wengine. Kama halmashauri mliyoiongoza kwa miaka leo inashikwa na mwingine, huku ni kutapatapa kuogopa kuwa watakusanya zaidi na mtaumbuka, na mbili mtashindwa kufanya propaganda. Nukta
chama kitachopewa dhamana ya kuliongoza taifa kikatiba ndicho kitachosimamia ukusanyaji wa kodi ya serikali.Tufuate sheria inasemaje
ama kweli ccm hawaishiwi vituko. kwani sheria inasemaje juu ya hilo? au siku hizi ccm wakiamka ni kubadilisha tu kwa jinsi wanavyojisikia? makubwa haya.
chama chenyewe mumemuuzia mtu kwa hela halafu mnaitambia ccm kuleta maendeleo wakati wao ndio wameshika dola. hata ingekua mimi singewaamini ningewakaba koo.Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) jijini Dar es Salaam vimeanza kufilisiwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mpango wa Serikali ya Rais John Magufuli kupoka vyanzo muhimu vya mapato ambavyo awali vilitumika kuendesha halmashauri za jijini humo, umekamilika na sasa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ndiyo inayotarajiwa kuwa mbadala katika ukusanyaji mapato.
Vyama vinavyoumizwa na hatua hiyo ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF) ambavyo ndivyo vilivyo na wabunge na madiwani Dar es Salaam.
Charles Kuyeko, Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala pia Diwani wa Kata ya Bonyokwa (CHADEMA) amesema, tayari manispaa yake imearifiwa kwamba, kodi ya majengo kwenye manispaa hiyo itakusanywa na TRA na sio manispaa kama ilivyokuwa awali.
Hatua hiyo anasema itazuia shughuli ama ahadi zao kutotekelezeka kwa namna ambavyo walitaka iwe huku akikosoa hatua hiyo na kuihusisha na uhasama wa kisiasa jijini humo.
Hata hivyo amesema, wapo kwenye mazungumzo na serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na kwamba, serikali haioneshi dhamira ya kubadili msimamo wake.
Kuyeko amesema, ni vema serikali ikaachana na suala hilo kwani itakuwa chanzo cha kurudisha maendeleo nyuma na kuvuruga bajeti iliyopangwa na manispaa hiyo.
“Kwanza tunasikitishwa na hatua hiyo ambayo imeanza kutekelezwa baada ya Umoja wa Katiba ya Wananchi – UKAWA kuingia madarakani. Siku zote walikuwa wapi? Ni dhairi kuwa nia yao ni kutaka kuturudisha nyuma ili bajeti yetu ikwame.
“Kodi ya mapango ndio chanzo kikuu cha mapato katika kila wilaya ukiacha kodi za mabango na ushuru wa wafanyabiashara,” amesema Kuyeko.
Hata hivyo, utaratibu wa kukusanya kodi za majengo utaanza katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na baadaye kwenye manispaa zote.
Kuyeko amesema, manispaa yake imepanga kufikia bajeti ya Sh. 85 Bilion na zaidi kwa mwaka 2016/17 na kwamba kama serikali itatekeleza hatua yake ya kupoka kodi za majengo, itakuwa imevuruga bajeti hiyo.
Kumbe comment ya kwanza ulikuwa hujaanza kujadiliungeweka hapa hilo agizo tuone content yake then tujadili,, hatuwezi kujadili kwa hisia bila kuona agizo lenyewe, maana ninauhakika kua agizo litakua limebeba maelekezo yote..
Kama huna cha kuchangia si bora upitie mawazo ya wenzako kuliko kujibisha hapa bure?Mlitaka muachiwe ili muibe imekula kwenu mtasubiri sana
Kwani ni Dar pekee au ni nchi nzima?Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) jijini Dar es Salaam vimeanza kufilisiwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mpango wa Serikali ya Rais John Magufuli kupoka vyanzo muhimu vya mapato ambavyo awali vilitumika kuendesha halmashauri za jijini humo, umekamilika na sasa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ndiyo inayotarajiwa kuwa mbadala katika ukusanyaji mapato.
Vyama vinavyoumizwa na hatua hiyo ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF) ambavyo ndivyo vilivyo na wabunge na madiwani Dar es Salaam.
Charles Kuyeko, Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala pia Diwani wa Kata ya Bonyokwa (CHADEMA) amesema, tayari manispaa yake imearifiwa kwamba, kodi ya majengo kwenye manispaa hiyo itakusanywa na TRA na sio manispaa kama ilivyokuwa awali.
Hatua hiyo anasema itazuia shughuli ama ahadi zao kutotekelezeka kwa namna ambavyo walitaka iwe huku akikosoa hatua hiyo na kuihusisha na uhasama wa kisiasa jijini humo.
Hata hivyo amesema, wapo kwenye mazungumzo na serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na kwamba, serikali haioneshi dhamira ya kubadili msimamo wake.
Kuyeko amesema, ni vema serikali ikaachana na suala hilo kwani itakuwa chanzo cha kurudisha maendeleo nyuma na kuvuruga bajeti iliyopangwa na manispaa hiyo.
“Kwanza tunasikitishwa na hatua hiyo ambayo imeanza kutekelezwa baada ya Umoja wa Katiba ya Wananchi – UKAWA kuingia madarakani. Siku zote walikuwa wapi? Ni dhairi kuwa nia yao ni kutaka kuturudisha nyuma ili bajeti yetu ikwame.
“Kodi ya mapango ndio chanzo kikuu cha mapato katika kila wilaya ukiacha kodi za mabango na ushuru wa wafanyabiashara,” amesema Kuyeko.
Hata hivyo, utaratibu wa kukusanya kodi za majengo utaanza katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na baadaye kwenye manispaa zote.
Kuyeko amesema, manispaa yake imepanga kufikia bajeti ya Sh. 85 Bilion na zaidi kwa mwaka 2016/17 na kwamba kama serikali itatekeleza hatua yake ya kupoka kodi za majengo, itakuwa imevuruga bajeti hiyo.
Pia kwenye maendeleomipaka ipi tena wakati wabunge wenu madiwani wenu meya wenu, au hamjaridhika na mipaka tuwatafutie na nyau.
Kuna serekali ya mitaa pia ipo kikatibachama kitachopewa dhamana ya kuliongoza taifa kikatiba ndicho kitachosimamia ukusanyaji wa kodi ya serikali.
Baada ya kukusanywa na TRA kwa hiyo halmashauri wakipanga matumizi waombe Tena hela serikali kuuNi sahihi kabisa, kuhakikisha hakuna mgongano wa mahesabu baina ya munispaa na TRA, mkakati mzuri kabisa.
Dar tuuKwani ni Dar pekee au ni nchi nzima?
Hawa nusu kijiko wa lumumba wanamatatizo sanaBaada ya kukusanywa na TRA kwa hiyo halmashauri wakipanga matumizi waombe Tena hela serikali kuu
Hivyo nini visa na visasi na ccm lakini watashindwa tuTRA imefanya ukusaji wa Jodi za majengo manispaa ya kinondoni lakini haikufanikiwa wananchi wanataka maendeleo CCM inataka kuwacheleweshea maendeleo Kwa siasa za chuki Na hasira za kisiasa
Ni mambo ya kijinga tu ndo yanarudisha nchi nyuma kabisa! TRA lazima isukwe upya na ajira zivute wasomi. siyo hawa wa divisheni 5 na vyeti vya chuo cha kodi.Hao hao TRA walishawahi kupewa kazi ya Kukusanya kodi ya Majengo kwa Mkoa wa Dar Es Salaam, lakini kwa nini kazi hiyo ilirejeshwa kwa halmshauri za Manispaa, mimi na wengine kama wapo, hatujui. Vilevile TRA miaka ya nyuma walikuwa wanakusanya kodi toka kwa makampuni/watu wanaofanya biashara ya michezo ya kubahatisha (bahati nasibu, Casinos etc). Baadaye Bodi ya Michezo ya Kubahatisha ikaanza kukusanya hayo maduhuli na mapato yaliongezeka kwa kiwango kikubwa. Mimi nina mashaka kama kutakuwa na ufanisi wa makusanyanyo ya kodi ya majengo chini ya TRA. Nasubiri nione.