Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,506
H
Kama kuna ujinga mkubwa mwanadamu anaweza kufanya basi ni kugoma kujifunza kutoka kwa wengine. Kama halmashauri mliyoiongoza kwa miaka leo inashikwa na mwingine, huku ni kutapatapa kuogopa kuwa watakusanya zaidi na mtaumbuka, na mbili mtashindwa kufanya propaganda. Nukta
kuna haja gani ya kujadiliana na mtu asiyefikiri kama wewe? TRA itakusanya kodi za majengo nchi nzima au pale ambapo wapinzani wanaongoza halmashauri?Hee tena! Na mimi nimo kwa kuwa nimeomba utumie weledi wako kunifahamisha? Hata kama hivo ndivyo unavyodhani huoni basi kwa kufanya hivyo nilivyokuomba ungetunaufaisha wengi? Mimi nakusihi toa uozo woooote wa watu hao na pia toa ukweli wooooote ili uongo ujitenge na wewe weledi wako uhishimike
Kama kuna ujinga mkubwa mwanadamu anaweza kufanya basi ni kugoma kujifunza kutoka kwa wengine. Kama halmashauri mliyoiongoza kwa miaka leo inashikwa na mwingine, huku ni kutapatapa kuogopa kuwa watakusanya zaidi na mtaumbuka, na mbili mtashindwa kufanya propaganda. Nukta