Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,063
- 11,110
Fact, ameamua kupoteza muda wake hata Kama ni uwongo ni sawa tu, hata Kama atataka tuchangie vocha pia ni sawa, sion Kama kuna sehem kavunja sheria.Kama funzadume utaona hapa sio mahala pako pita kimyakimya,Sio mbaya mtu akijiingizia kipato kupitia JF mana hajamwibia mtu tunachanga kwa hiyari.Shida iko wapi hata kama atajipatia kopato kwa kazi yake?
Kama unaona hivyo acha kusoma, sisi tutachangia tu kama ataamua hivyo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app