Mtaalam wa tiba za kienyeji (mganga/ ustadh) anahitajika

syber

Member
May 6, 2013
35
29
Habari wana JF!

Naomba msaada kwa mtu anayemfaham mtaalam mzuri anayetibu kwa kutumia dawa za kienyeji ( mganga/ustadh) aniunganishe nae popote Tanzania.

Shangaz yetu aliungua toka mwaka jana mwezi wa 12 mwishoni tukampeleka bugando akachukuliwa vipimo vyote lakin hakuonekana na ugonjwa wowte.

Baada ya kukaa Bugando kwa takriban mwez mzima bila mafanikio yoyote tukashauriwa na Daktari tumpeleke Muhimbili hivyo tukamleta hapa Muhimbili lakin toka kafika hadi saiv miez mitatu bado hali ile ile, hakuna ugonjwa wala nn.

Tunaomba msaada wenu wana JF tumuokoe ndugu yetu.
Pesa sio shida ila tunahitaj mtaalam ( mganga wa kienyej / ustadh ) ambaye ni mzuri anatoa tiba ya uhakika.
 
Mkuu unaposema mganga wa kienyeji/ustadh unamaanisha nini?.

Uje PM nitakushauri jambo kabla hujatapeliwa na hao unaowatafuta.
 
Habari wana JF!

Naomba msaada kwa mtu anayemfaham mtaalam mzuri anayetibu kwa kutumia dawa za kienyeji ( mganga/ustadh) aniunganishe nae popote Tanzania.

Shangaz yetu aliungua toka mwaka jana mwezi wa 12 mwishoni tukampeleka bugando akachukuliwa vipimo vyote lakin hakuonekana na ugonjwa wowte.

Baada ya kukaa Bugando kwa takriban mwez mzima bila mafanikio yoyote tukashauriwa na Daktari tumpeleke Muhimbili hivyo tukamleta hapa Muhimbili lakin toka kafika hadi saiv miez mitatu bado hali ile ile, hakuna ugonjwa wala nn.

Tunaomba msaada wenu wana JF tumuokoe ndugu yetu.
Pesa sio shida ila tunahitaj mtaalam ( mganga wa kienyej / ustadh ) ambaye ni mzuri anatoa tiba ya uhakika.
Nenda kwenye msikiti wowote ule hapo ulipo, utakuta mashikh wenye uwezo wa kukupa majini kutatua mmbo yako
 
Mkuu acheni kuchafua uislamu basi, hao waganga wenu mnaosaidiana kupeana majini msiwahusishe na uislamu, kwenye dini yetu ushirikina ni jambo kubwa baya zaidi kuliko yote.
Mkuu usichukie ukweli, kwenye Qur'an kuna haya kabisa za kuua watu, kutesa watu, kutengeneza majini, na ushirikina mwingine....hiii ndiyo Jamii Forum kama ulikuwa hujuwi. Hakuna anayechafua dini ya mwenzake, hapa tunaongea ukweli mtupu tu.
 
Hakuna mgonjwa anaumwa bila ugonjwa, madaktari wafanye kazi yao vizuri,au inawezekana wameona wasiwaambie ukweli,au mmeambiwa lakini mmechagua kuto kukubaliana na wataalamu.
Hii kujibiwa hatuoni ugonjwa inatokea.
 
Habari wana JF!

Naomba msaada kwa mtu anayemfaham mtaalam mzuri anayetibu kwa kutumia dawa za kienyeji ( mganga/ustadh) aniunganishe nae popote Tanzania.

Shangaz yetu aliungua toka mwaka jana mwezi wa 12 mwishoni tukampeleka bugando akachukuliwa vipimo vyote lakin hakuonekana na ugonjwa wowte.

Baada ya kukaa Bugando kwa takriban mwez mzima bila mafanikio yoyote tukashauriwa na Daktari tumpeleke Muhimbili hivyo tukamleta hapa Muhimbili lakin toka kafika hadi saiv miez mitatu bado hali ile ile, hakuna ugonjwa wala nn.

Tunaomba msaada wenu wana JF tumuokoe ndugu yetu.
Pesa sio shida ila tunahitaj mtaalam ( mganga wa kienyej / ustadh ) ambaye ni mzuri anatoa tiba ya uhakika.
Mashehe wanatibu vp kwa kisomo? au wanafanya uganga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom