Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Nikamweleza suala la kazi. Akanambia atanisaidia kwenda kwa mzee wetu flani kule kijijini. Kweli baba alienda akanambia nimtumie kiasi flani cha pesa.nikatuma. zilitumwa dawa za kuoga na kutafuna. Niliambiwa nioge usiku ambao kesho yake naenda tafuta kazi. Then nilale chini, nisi sex ,nisinywe pombe.nlioga nikalala chini.

Kesho yake nikarudi Pugu Road( Nyerere Road) kule kule kwa wahindi. Nikasema nataka onana na manager.kweli nikapelekwa kwake.nikaonana naye nikamwambia nahitaji kazi.

Akanambia kama nipo tayari nianze muda huo anipeleke kwa supervisor.kweli akanipeleka kwa supervisor na kunambia nianze kazi ni deal na yale magari ambayo yalikuwa na shida kwenye body(panel beating)

Nikaanza kazi.

Hichi kipande kimenisisimua sanaa....
 
Hatariii
 
nimesoma story nzima ila hapa ndio nimepata content....aisee ndio maana nateseka sana na hizi business kuna mdau mmoja aliwahi kuandika hapa jf ulifanikiwa baada ya muda gani wa kufanya biashara..yaliyoelezwa yanafikirisha...ndio maana utajiri unaongelewa nyumbani kwenye familia..familia yako ikiwa bogas kama yangu ..utasoma utafanya biashara hutapata hela..na hutaajirika kazi nzuri...kuna mawili kumtegemea mungu full time au upande wa pili hakuna neutral...
 
Hakuna utakachofanikiwa hapa duniani kama shetani au Mungu hajaamua, ila wote wana masharti yao inabidi uyatimize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…