Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,365
Mkuu ulikileta? Ni tag nioneTulia. Nakuletea kisa kingine utacheka mpaka meno yatoke.
Mkuu ulikileta? Ni tag nioneTulia. Nakuletea kisa kingine utacheka mpaka meno yatoke.
Nlienda mkoa flani kikazi. Jamaa yangu akanialika weekend kwake. Nikaenda akanitoa out tukapige maji. Nlikunywa karibia crate zima la beer safari. Baadaye anasema nikaanza kuongea kwa uchungu sana nikilia kwa kumuonea huruma kuwa jamaa hajajenga ila anakunywa beer daily. Nlimsema sana bahati mbaya tulipokuwa pale alileta na mchepuko wake na mchepuko akaja na rafiki yake. Jamaa alijisikia aibu sana.
Bahati mbaya alikuwa amenitaka siku hiyo nikalale kwake ilikuwa Ijumaa.tuliporudi kwake nikaitisha kikao. Nikamsema sana mbele ya mke wake kuwa hafanyi mambo ya maendeleo anaendekeza mademu tu na pombe. Nikamwambia nisimuone tena na wale mademu aliowaleta pale bar
Nikaanza kumsema na shemeji yangu kuwa naye amekuwa hatumii akili. Anawaza kujilemba tu muda wote. Badala wasave pesa wafanye maisha. Wanazaa kma mbwa....watoto watano na bado hawajasettle.
Kesho yake asubuhi jamaa aliomba anirudishe guest. Hatukuwahi wasiliana tena mpaka leo.
Dah!we mkorofi kinomaNlienda mkoa flani kikazi. Jamaa yangu akanialika weekend kwake. Nikaenda akanitoa out tukapige maji. Nlikunywa karibia crate zima la beer safari. Baadaye anasema nikaanza kuongea kwa uchungu sana nikilia kwa kumuonea huruma kuwa jamaa hajajenga ila anakunywa beer daily. Nlimsema sana bahati mbaya tulipokuwa pale alileta na mchepuko wake na mchepuko akaja na rafiki yake. Jamaa alijisikia aibu sana.
Bahati mbaya alikuwa amenitaka siku hiyo nikalale kwake ilikuwa Ijumaa.tuliporudi kwake nikaitisha kikao. Nikamsema sana mbele ya mke wake kuwa hafanyi mambo ya maendeleo anaendekeza mademu tu na pombe. Nikamwambia nisimuone tena na wale mademu aliowaleta pale bar
Nikaanza kumsema na shemeji yangu kuwa naye amekuwa hatumii akili. Anawaza kujilemba tu muda wote. Badala wasave pesa wafanye maisha. Wanazaa kma mbwa....watoto watano na bado hawajasettle.
Kesho yake asubuhi jamaa aliomba anirudishe guest. Hatukuwahi wasiliana tena mpaka leo.
Naye alikuwa amelewa? Yaani simple tu 'wapi, Buguruni' hata bila kutongoza!
Miaka kama 10 iliyopita Nilitembea juu ya mkaa wa motoo nikiamini nina special powers siwezi ungua...aisee sitosahau nilikaa ndani week 2[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si mchezo..
Mwaka 2008, Nilikuwa Mbeya Tukuyu Kikazi, Nilikuwa nimetokea Mbeya Mjini ambapo Kuna baridi, Dose yangu ilikuwa Tusker Kumi, View attachment 1614054 Kwenda Tukuyu Nikaendelea na dose ileile bila kugundua kuwa Hali ya hewa ya Tukuyu Ni Tofauti na Mbeya Mjini. Na Pombe. Hukolea kwenye Joto, Tukuyu Kuna Joto. Mzee Mzima Nikavesha Kama kawaida, mpaka saa tano FULANI hivi, Sasa kimbembe Nikasahau Guest, Nikaenda kugonga Nyumba ambayo Inaangaliana na Guest Huku Povu likinitoka kwanini wafunge na Mimi bado sijarudi. Ebwana mlango ulifunguliwa na Mbaba mmoja akiwa na njemba tatu (Watoto wake) Nilichezea vitasa vyakutosha kila nikiweka Gurd wapi. Niliokolewa na Staff wenzangu Baada ya kuhisi kuwa sijarudi na wanasikia kelele za sauti yangu. Asee hiyo ilikuwa moja Ila Pombe kuacha bado nafikiria.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]aisee wee balaaaMatukio mawili 1.Nilimtongoza mama mkwe infact sio mama wa mke wangu lakini ni mama mdogo wa mke wangu kwa kweli ni kifaa na tumelingana alishindwa nipa mchezo vile alimuheshimu tu mtoto wa dada yake 2.Nilitembea hadi asubuhi sifiki ninakokwenda. kufika asubuhi jamaa mmoja akanishtua hapo ndio nikajua kumbe nilipotea
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]falaaa sanaaNlienda mkoa flani kikazi. Jamaa yangu akanialika weekend kwake. Nikaenda akanitoa out tukapige maji. Nlikunywa karibia crate zima la beer safari. Baadaye anasema nikaanza kuongea kwa uchungu sana nikilia kwa kumuonea huruma kuwa jamaa hajajenga ila anakunywa beer daily. Nlimsema sana bahati mbaya tulipokuwa pale alileta na mchepuko wake na mchepuko akaja na rafiki yake. Jamaa alijisikia aibu sana.
Bahati mbaya alikuwa amenitaka siku hiyo nikalale kwake ilikuwa Ijumaa.tuliporudi kwake nikaitisha kikao. Nikamsema sana mbele ya mke wake kuwa hafanyi mambo ya maendeleo anaendekeza mademu tu na pombe. Nikamwambia nisimuone tena na wale mademu aliowaleta pale bar
Nikaanza kumsema na shemeji yangu kuwa naye amekuwa hatumii akili. Anawaza kujilemba tu muda wote. Badala wasave pesa wafanye maisha. Wanazaa kma mbwa....watoto watano na bado hawajasettle.
Kesho yake asubuhi jamaa aliomba anirudishe guest. Hatukuwahi wasiliana tena mpaka leo.
Mkuu wakati mwingine hawa wamama huwa wanapenda kutongozwa na anakuuliza ivyo ajue kama ulikua unamaanisha. Mwisho wa siku kama haikua serious unaomba msamaha najua na yeye ataelewa ilikua ni pombe tu heshima yenu ibaki palepale.Wakati niko kijana mdogo ndio naanza kazi, kulikua na party ya kiofisi pale Agip Motel Dar. Sasa na Mimi wakati huo najifunza pombe nikanywa beer mbili, zilipopanda kichwani nikaanza kumtongoza mama MTU mzima aliyekua amekaa pembeni yangu. Mama akawa anacheka tu na wenzake. Mimi ndio nazidi kumtongoza na mkono uko kwenye Goti lake. Mwisho wa party kila MTU alirudi kwao. Jumatatu asubuhi mama aliniita ofisini kwake halafu akaniambia, nimuambie Yale maneno nikiyosema juzi kwenye party. Aisee hiyo aibu ilikua sio ya dunia hii.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dahNlienda mkoa flani kikazi. Jamaa yangu akanialika weekend kwake. Nikaenda akanitoa out tukapige maji. Nlikunywa karibia crate zima la beer safari. Baadaye anasema nikaanza kuongea kwa uchungu sana nikilia kwa kumuonea huruma kuwa jamaa hajajenga ila anakunywa beer daily. Nlimsema sana bahati mbaya tulipokuwa pale alileta na mchepuko wake na mchepuko akaja na rafiki yake. Jamaa alijisikia aibu sana.
Bahati mbaya alikuwa amenitaka siku hiyo nikalale kwake ilikuwa Ijumaa.tuliporudi kwake nikaitisha kikao. Nikamsema sana mbele ya mke wake kuwa hafanyi mambo ya maendeleo anaendekeza mademu tu na pombe. Nikamwambia nisimuone tena na wale mademu aliowaleta pale bar
Nikaanza kumsema na shemeji yangu kuwa naye amekuwa hatumii akili. Anawaza kujilemba tu muda wote. Badala wasave pesa wafanye maisha. Wanazaa kma mbwa....watoto watano na bado hawajasettle.
Kesho yake asubuhi jamaa aliomba anirudishe guest. Hatukuwahi wasiliana tena mpaka leo.
Huyo changudoa kiboko. Mmama Mtu mzima halafu anakupeleka kwake tena kuna Watoto wake!Changudoa anatongozwa?
Hii nimeipendaNlienda mkoa flani kikazi. Jamaa yangu akanialika weekend kwake. Nikaenda akanitoa out tukapige maji. Nlikunywa karibia crate zima la beer safari. Baadaye anasema nikaanza kuongea kwa uchungu sana nikilia kwa kumuonea huruma kuwa jamaa hajajenga ila anakunywa beer daily. Nlimsema sana bahati mbaya tulipokuwa pale alileta na mchepuko wake na mchepuko akaja na rafiki yake. Jamaa alijisikia aibu sana.
Bahati mbaya alikuwa amenitaka siku hiyo nikalale kwake ilikuwa Ijumaa.tuliporudi kwake nikaitisha kikao. Nikamsema sana mbele ya mke wake kuwa hafanyi mambo ya maendeleo anaendekeza mademu tu na pombe. Nikamwambia nisimuone tena na wale mademu aliowaleta pale bar
Nikaanza kumsema na shemeji yangu kuwa naye amekuwa hatumii akili. Anawaza kujilemba tu muda wote. Badala wasave pesa wafanye maisha. Wanazaa kma mbwa....watoto watano na bado hawajasettle.
Kesho yake asubuhi jamaa aliomba anirudishe guest. Hatukuwahi wasiliana tena mpaka leo.
Pombe ndugu yangu....we acha tu.Dah!we mkorofi kinoma
Acha kabisa.... Pombe ilinigombanisha na jamaa wangu wa miaka mingi mpaka leo hatuongei.Hii nimeipenda
Nikipenda pale ulipoweka kikao Cha familia. Ukamuambia mkewe jamaa anaendekeza michepuko na pombe.Acha kabisa.... Pombe ilinigombanisha na jamaa wangu wa miaka mingi mpaka leo hatuongei.
Tuligombana toka siku ile. Asubuhi ndo aliniambia yote tukaagana hakutaka kunisikia kabisa.Nikipenda pale ulipoweka kikao Cha familia. Ukamuambia mkewe jamaa anaendekeza michepuko na pombe.
Nadhani jamaa Alisha acha pombe.
Sasa ngono unamuachia nani
Asubuhi kahawa ya viungo
Mkuu tukuyu kuna baridi mbona kuliko mbeya mjini wewe ulienda tukuyu ipi?Mwaka 2008, Nilikuwa Mbeya Tukuyu Kikazi, Nilikuwa nimetokea Mbeya Mjini ambapo Kuna baridi, Dose yangu ilikuwa Tusker Kumi,
View attachment 1614054
Kwenda Tukuyu Nikaendelea na dose ileile bila kugundua kuwa Hali ya hewa ya Tukuyu Ni Tofauti na Mbeya Mjini. Na Pombe. Hukolea kwenye Joto, Tukuyu Kuna Joto.
Mzee Mzima Nikavesha Kama kawaida, mpaka saa tano FULANI hivi, Sasa kimbembe Nikasahau Guest, Nikaenda kugonga Nyumba ambayo Inaangaliana na Guest Huku Povu likinitoka kwanini wafunge na Mimi bado sijarudi.
Ebwana mlango ulifunguliwa na Mbaba mmoja akiwa na njemba tatu (Watoto wake) Nilichezea vitasa vyakutosha kila nikiweka Gurd wapi.
Niliokolewa na Staff wenzangu Baada ya kuhisi kuwa sijarudi na wanasikia kelele za sauti yangu.
Asee hiyo ilikuwa moja Ila Pombe kuacha bado nafikiria.
Nlienda mkoa flani kikazi. Jamaa yangu akanialika weekend kwake. Nikaenda akanitoa out tukapige maji. Nlikunywa karibia crate zima la beer safari. Baadaye anasema nikaanza kuongea kwa uchungu sana nikilia kwa kumuonea huruma kuwa jamaa hajajenga ila anakunywa beer daily. Nlimsema sana bahati mbaya tulipokuwa pale alileta na mchepuko wake na mchepuko akaja na rafiki yake. Jamaa alijisikia aibu sana.
Bahati mbaya alikuwa amenitaka siku hiyo nikalale kwake ilikuwa Ijumaa.tuliporudi kwake nikaitisha kikao. Nikamsema sana mbele ya mke wake kuwa hafanyi mambo ya maendeleo anaendekeza mademu tu na pombe. Nikamwambia nisimuone tena na wale mademu aliowaleta pale bar
Nikaanza kumsema na shemeji yangu kuwa naye amekuwa hatumii akili. Anawaza kujilemba tu muda wote. Badala wasave pesa wafanye maisha. Wanazaa kma mbwa....watoto watano na bado hawajasettle.
Kesho yake asubuhi jamaa aliomba anirudishe guest. Hatukuwahi wasiliana tena mpaka leo.