Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Yaani mi binafsi sina wazo kabisa la kuiacha pamoja na yote inayonifanyiaga lakini haijanikomoa. Ninakumbuka kiroba cha boss tangawizi hangover yake balaa,inafunga hamu ya kula,kunya mpaka kuoga na ukijilazimisha kunywa supu basi mchuzi mnaugawana na meza kwa jinsi mikono inavyotetemeka.
Tena wewe uliyekuwa unainywa mara kwa mara mpaka kufikia hatua ya vidole kutetemeka ulikuwa unaelekea pabaya sana. Kama wewe ni mtumiaji wa pombe kali hakikisha unakunywa maji mengi wakati unainywa na baada. Na ili uweze kunywa hayo maji mengi hakikisha vyakula vyenye mchanganyiko mwingi wa fatts and oil + protains huvikosi kwa afya ya mwili wako na ubongo.
 
Pombe iliharibu uchumi ikaharibu ajira na imeharibu uchaguzi wangu bora tunywe supu wote na kina Mayala.
 
Yuko jamaa yangu mtu wa Kanda ya ziwa kutoka kabila kubwa la washamba Ila Wana upendo sana alinifuata twende tukayapige maji maeneo ya Sinza. Kweli tulikwenda pale kwenye bar ya mtangazaji mmoja maarufu. Tukapaki kila mtu gari lake na kuanza kufakamia mipombe. Kumbuka pale Kuna warembo wengi weupe, na weupe ndio ugonjwa wa Hawa ndugu zangu washamba. Mimi kufika saa nne nikawa nimetosheka, nikawasha motokari yangu na kurudi zangu Kimara. Yule mshamba aliendelea kunywa kiasi kwamba aliondoka na gari lake na kuendesha kilevilevi usiku wa manane mpaka polisi wakamstukia na kumkamata, Kisha wakaendesha gari lake mpaka Urafiki polisi. Kufika hawakua na ugomvi na jamaa yangu, Ila walimwambia aache gari polisi achukue taxi halafu atalifuata gari pombe zikimtoka. Jamaa hakua mbishi, alichukua taxi mpaka kwake. Kumbe alikua keshapoteza kumbukumbu. Asubuhi alipoamka gari hakuliona Ila alimdanganya wife kwamba kaliacha gereji hakujumbuka kwamba aliliacha kwa vijana wa Tibaigana. Jamaa alianza kutumia vitz ya wife siku ya kwanza Hadi wiki huku akijiuliza gari lake aliliacha wapi....
Baada ya wiki wife akiwa kwenye daladala ndio akaona lile gari pale Urafiki na kwenda kuuliza gari mbona liko pale?
Polisi wakamuambia Ni la mlevi Fulani walimkuta na changudoa wawili wako barabarani wanamhudumia kwa midomo wakiwa kwenye gari.
Itaendelea......
 
Miaka kama 10 iliyopita Nilitembea juu ya mkaa wa motoo nikiamini nina special powers siwezi ungua...aisee sitosahau nilikaa ndani week 2[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah

Pombe zinatuharibugi akili sana
 
Nakumbuka siku moja..... Nimepiga sana serengeti lite..... Nikawa nipo Full. Basi nikiwa njiani naenda toilet nikakutana na wadada na wao walikuwa wapo maji..... Nikamsimamisha m'moja, akasimama, nikamsifia akanijibu kwa furaha nikajikuta tu nimemshika uso nimemla mate.... Yule dada hata hakustruggle kunizuia... Akatulia tuli......
Nikamuachia nikaendelea na ratiba zangu za kuenda toilet.
 
Yuko jamaa yangu mtu wa Kanda ya ziwa kutoka kabila kubwa la washamba Ila Wana upendo sana alinifuata twende tukayapige maji maeneo ya Sinza. Kweli tulikwenda pale kwenye bar ya mtangazaji mmoja maarufu. Tukapaki kila mtu gari lake na kuanza kufakamia mipombe. Kumbuka pale Kuna warembo wengi weupe, na weupe ndio ugonjwa wa Hawa ndugu zangu washamba. Mimi kufika saa nne nikawa nimetosheka, nikawasha motokari yangu na kurudi zangu Kimara. Yule mshamba aliendelea kunywa kiasi kwamba aliondoka na gari lake na kuendesha kilevilevi usiku wa manane mpaka polisi wakamstukia na kumkamata, Kisha wakaendesha gari lake mpaka Urafiki polisi. Kufika hawakua na ugomvi na jamaa yangu, Ila walimwambia aache gari polisi achukue taxi halafu atalifuata gari pombe zikimtoka. Jamaa hakua mbishi, alichukua taxi mpaka kwake. Kumbe alikua keshapoteza kumbukumbu. Asubuhi alipoamka gari hakuliona Ila alimdanganya wife kwamba kaliacha gereji hakujumbuka kwamba aliliacha kwa vijana wa Tibaigana. Jamaa alianza kutumia vitz ya wife siku ya kwanza Hadi wiki huku akijiuliza gari lake aliliacha wapi....
Baada ya wiki wife akiwa kwenye daladala ndio akaona lile gari pale Urafiki na kwenda kuuliza gari mbona liko pale?
Polisi wakamuambia Ni la mlevi Fulani walimkuta na changudoa wawili wako barabarani wanamhudumia kwa midomo wakiwa kwenye gari.
Itaendelea......
[emoji3][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Nakumbuka siku moja..... Nimepiga sana serengeti lite..... Nikawa nipo Full. Basi nikiwa njiani naenda toilet nikakutana na wadada na wao walikuwa wapo maji..... Nikamsimamisha m'moja, akasimama, nikamsifia akanijibu kwa furaha nikajikuta tu nimemshika uso nimemla mate.... Yule dada hata hakustruggle kunizuia... Akatulia tuli......
Nikamuachia nikaendelea na ratiba zangu za kuenda toilet.
Duhhh 😂😂😂😂😂😂😂😇😇😇😇
 
Tungi ni noma mazee...

Nina visa vingi mnoo...

😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Ila ambacho siji kusahau. Nilijikuta nashtuka asubuhi nyumbani kwa mtu...

Akaniambia aliniokoa kwa wahuni, night club walikuwa wanataka nidunda...nilizingua madem zao.

Jamaa nilimuona Sir God..
 
Nakumbuka siku moja..... Nimepiga sana serengeti lite..... Nikawa nipo Full. Basi nikiwa njiani naenda toilet nikakutana na wadada na wao walikuwa wapo maji..... Nikamsimamisha m'moja, akasimama, nikamsifia akanijibu kwa furaha nikajikuta tu nimemshika uso nimemla mate.... Yule dada hata hakustruggle kunizuia... Akatulia tuli......
Nikamuachia nikaendelea na ratiba zangu za kuenda toilet.
Hahahaaa mkuu pomb muda mwingne inaleta comfidence ya ajabu daah hii noma
 
Yuko jamaa yangu mtu wa Kanda ya ziwa kutoka kabila kubwa la washamba Ila Wana upendo sana alinifuata twende tukayapige maji maeneo ya Sinza. Kweli tulikwenda pale kwenye bar ya mtangazaji mmoja maarufu. Tukapaki kila mtu gari lake na kuanza kufakamia mipombe. Kumbuka pale Kuna warembo wengi weupe, na weupe ndio ugonjwa wa Hawa ndugu zangu washamba. Mimi kufika saa nne nikawa nimetosheka, nikawasha motokari yangu na kurudi zangu Kimara. Yule mshamba aliendelea kunywa kiasi kwamba aliondoka na gari lake na kuendesha kilevilevi usiku wa manane mpaka polisi wakamstukia na kumkamata, Kisha wakaendesha gari lake mpaka Urafiki polisi. Kufika hawakua na ugomvi na jamaa yangu, Ila walimwambia aache gari polisi achukue taxi halafu atalifuata gari pombe zikimtoka. Jamaa hakua mbishi, alichukua taxi mpaka kwake. Kumbe alikua keshapoteza kumbukumbu. Asubuhi alipoamka gari hakuliona Ila alimdanganya wife kwamba kaliacha gereji hakujumbuka kwamba aliliacha kwa vijana wa Tibaigana. Jamaa alianza kutumia vitz ya wife siku ya kwanza Hadi wiki huku akijiuliza gari lake aliliacha wapi....
Baada ya wiki wife akiwa kwenye daladala ndio akaona lile gari pale Urafiki na kwenda kuuliza gari mbona liko pale?
Polisi wakamuambia Ni la mlevi Fulani walimkuta na changudoa wawili wako barabarani wanamhudumia kwa midomo wakiwa kwenye gari.
Itaendelea......
[emoji38][emoji38][emoji38]naomba iendelee mkuu
 
Yuko jamaa yangu mtu wa Kanda ya ziwa kutoka kabila kubwa la washamba Ila Wana upendo sana alinifuata twende tukayapige maji maeneo ya Sinza. Kweli tulikwenda pale kwenye bar ya mtangazaji mmoja maarufu. Tukapaki kila mtu gari lake na kuanza kufakamia mipombe. Kumbuka pale Kuna warembo wengi weupe, na weupe ndio ugonjwa wa Hawa ndugu zangu washamba. Mimi kufika saa nne nikawa nimetosheka, nikawasha motokari yangu na kurudi zangu Kimara. Yule mshamba aliendelea kunywa kiasi kwamba aliondoka na gari lake na kuendesha kilevilevi usiku wa manane mpaka polisi wakamstukia na kumkamata, Kisha wakaendesha gari lake mpaka Urafiki polisi. Kufika hawakua na ugomvi na jamaa yangu, Ila walimwambia aache gari polisi achukue taxi halafu atalifuata gari pombe zikimtoka. Jamaa hakua mbishi, alichukua taxi mpaka kwake. Kumbe alikua keshapoteza kumbukumbu. Asubuhi alipoamka gari hakuliona Ila alimdanganya wife kwamba kaliacha gereji hakujumbuka kwamba aliliacha kwa vijana wa Tibaigana. Jamaa alianza kutumia vitz ya wife siku ya kwanza Hadi wiki huku akijiuliza gari lake aliliacha wapi....
Baada ya wiki wife akiwa kwenye daladala ndio akaona lile gari pale Urafiki na kwenda kuuliza gari mbona liko pale?
Polisi wakamuambia Ni la mlevi Fulani walimkuta na changudoa wawili wako barabarani wanamhudumia kwa midomo wakiwa kwenye gari.
Itaendelea......

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yuko jamaa yangu mtu wa Kanda ya ziwa kutoka kabila kubwa la washamba Ila Wana upendo sana alinifuata twende tukayapige maji maeneo ya Sinza. Kweli tulikwenda pale kwenye bar ya mtangazaji mmoja maarufu. Tukapaki kila mtu gari lake na kuanza kufakamia mipombe. Kumbuka pale Kuna warembo wengi weupe, na weupe ndio ugonjwa wa Hawa ndugu zangu washamba. Mimi kufika saa nne nikawa nimetosheka, nikawasha motokari yangu na kurudi zangu Kimara. Yule mshamba aliendelea kunywa kiasi kwamba aliondoka na gari lake na kuendesha kilevilevi usiku wa manane mpaka polisi wakamstukia na kumkamata, Kisha wakaendesha gari lake mpaka Urafiki polisi. Kufika hawakua na ugomvi na jamaa yangu, Ila walimwambia aache gari polisi achukue taxi halafu atalifuata gari pombe zikimtoka. Jamaa hakua mbishi, alichukua taxi mpaka kwake. Kumbe alikua keshapoteza kumbukumbu. Asubuhi alipoamka gari hakuliona Ila alimdanganya wife kwamba kaliacha gereji hakujumbuka kwamba aliliacha kwa vijana wa Tibaigana. Jamaa alianza kutumia vitz ya wife siku ya kwanza Hadi wiki huku akijiuliza gari lake aliliacha wapi....
Baada ya wiki wife akiwa kwenye daladala ndio akaona lile gari pale Urafiki na kwenda kuuliza gari mbona liko pale?
Polisi wakamuambia Ni la mlevi Fulani walimkuta na changudoa wawili wako barabarani wanamhudumia kwa midomo wakiwa kwenye gari.
Itaendelea......
Hahaha kisanga chake hapo sikipatii picha. Nao Askari hata hawasomi mazingira na aina
ya majibu ya kuyatoa dah!😆😆
 
Yuko jamaa yangu mtu msomi vizuri tu tatizo anatokea kwenye kabila lenye misifa. Siku moja nilimkaribisha kinywaji pale 92 Sinza. Wakongwe mnapakumbuka miaka Ile palikua na gesti pia.
Tulianza vizuri tu Mara akaja mchekopuko wangu na rafiki yake(sasa hv mke wa mtu Tena mheshimiwa) baasi mie nikamchukua mchepuko wangu chobingo na kumpa laki na kumwambia pombe anunue yeye ili kulinda heshma yake kwa rafiki yake. Basi mchepuko wangu akaawaita wa jikoni na kuagiza mchemsho, mbuzi choma na kuku Kisha akalipa kabisa kumuonyesha jamaa yangu kuwa anazo. Kisha mvua ya bia ikaanza. Bwana misifa kila akitaka kuagiza ili kujitutumua mchepuko wangu anakua Kesha agiza bia. Sasa pale tuko wanne Mimi, mchepuko, misifa na rafiki wa mchepuko. Misifa akaona rafiki wa mchepuko Ni halali yake yaani alijimilikisha bila kutongoza kumbe anajipalilia Moto. Baada ya kula nyama nyingi, michemsho na mikuku mchepuko akasema twende kwake tukapate mbili mbili Kisha tuachane kila mtu aende kwake. Misifa hakupenda kuachwa nyuma alihisi labda anaweza kupata chance ya kununua bia ili amu impress rafiki wa mchepuko. Kufika nyumbani kwa mchepuko jirani kabisa na shule ya Mugabe mchepuko akawa amempa signal mama mwenye glossary ya jirani kwamba alete mvua ya bia. Zilipofika kabla misifa hajaingiza mkono mfukoni mchepuko akalipa kabisa. Basi kazi ikawa Ni moja tu. Kugida bia huku kila mtu amekaa sanjari kabisa na mwenza wake, Mimi na mchepuko na misifa na rafiki wa mchepuko, misifa alikua anajua lazima amvue nguo yule rafiki wa mchepuko. Punde si punde misifa akapitiwa na usingizi wa pombe na kulala kidogo kwenye Kochi. Rafiki wa mchepuko alivyoona jamaa amechoka nae huyoo akaondoka kwenda kwake huku misifa anakoroma kwenye Kochi ilhali ana mke aliyemuoa toka Kanda ya ziwa majuzi juzi tu. Mimi na mchepuko tukaingia chumbani na kujipunzisha huku kwenye Kochi misifa anangorota Kama trekta linalopukuchua mahindi. Kufika asubuhi nikamstua misifa aache ujinga, aamke awahi kwa mkewe mbichi mwenye miguu ya bia na lafudhi ya kamachumu.
Misifa kustuka akagundua amelala kwenye Kochi, rafiki wa mchepuko hakumpata na hakulala kwake. Kutoka pale misifa alipotoka kufika barabarani akaona gari ya polisi enzi zile tunayaita tetracycline. Akawaambia wale maaskari wajifanye wamemkamata halafu wampeleke kwake na wampige hata makofi mawili halafu wasachi nyumbani kwake Kama vile amefanya uhalifu fulani. Basi misifa akawakatia pochi polisi na kuwaambia wakifika home atawaongeza mbele ya mkewe. Polisi wetu wape dili la pesa na utajua wamepitia ccp Moshi. Misifa akapigwwa pingu na kupelekwa kwake muda huo yapata saa tatu asubuhi kumbuka enzi zile hakuna simu. Polisi wale kufika nyumbani kwa misifa wakamteremsha kwenye gari na kumwambia akawaonyeshe hiyo Mali ya magendo ilipo, mmoja akamlima Kofi mbili za keleb, misifa akajitetea Hana Mali ya magendo na polisi wakasachi uongo na kweli, Toto la kamachumu lilivyoona mumuwe aka misifa anazidi kudhalilika mbele ya majira akamuita polisi mmoja chocho na kumpa mlungula ili wamwache misifa. Basi pingu zikafunguliwa na misifa akaingia ndani na polisi kuondoka huku wakitabasamu na kijino pembe.
Itaendelea.......
 
Yuko jamaa yangu mtu wa Kanda ya ziwa kutoka kabila kubwa la washamba Ila Wana upendo sana alinifuata twende tukayapige maji maeneo ya Sinza. Kweli tulikwenda pale kwenye bar ya mtangazaji mmoja maarufu. Tukapaki kila mtu gari lake na kuanza kufakamia mipombe. Kumbuka pale Kuna warembo wengi weupe, na weupe ndio ugonjwa wa Hawa ndugu zangu washamba. Mimi kufika saa nne nikawa nimetosheka, nikawasha motokari yangu na kurudi zangu Kimara. Yule mshamba aliendelea kunywa kiasi kwamba aliondoka na gari lake na kuendesha kilevilevi usiku wa manane mpaka polisi wakamstukia na kumkamata, Kisha wakaendesha gari lake mpaka Urafiki polisi. Kufika hawakua na ugomvi na jamaa yangu, Ila walimwambia aache gari polisi achukue taxi halafu atalifuata gari pombe zikimtoka. Jamaa hakua mbishi, alichukua taxi mpaka kwake. Kumbe alikua keshapoteza kumbukumbu. Asubuhi alipoamka gari hakuliona Ila alimdanganya wife kwamba kaliacha gereji hakujumbuka kwamba aliliacha kwa vijana wa Tibaigana. Jamaa alianza kutumia vitz ya wife siku ya kwanza Hadi wiki huku akijiuliza gari lake aliliacha wapi....
Baada ya wiki wife akiwa kwenye daladala ndio akaona lile gari pale Urafiki na kwenda kuuliza gari mbona liko pale?
Polisi wakamuambia Ni la mlevi Fulani walimkuta na changudoa wawili wako barabarani wanamhudumia kwa midomo wakiwa kwenye gari.
Itaendelea......
Daah kwa nini polisi walimfanyia hivi?
 
Back
Top Bottom