Vipigo vya Machinga Mwanza ni kama kwa Makaburu

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
40,431
73,078


Walioshuhudia mapigo ya wamachinga jijini Mwanza kwa macho or through ITV habari jioni wamesema hayo mambo yalikuwa yanatokea before 1994 kule South Africa na ni nadra sana kuyaona katika nchi huru.

Hivi si ni Rais aliyewaruhusu hawa Watanzania wenzetu wafanye biashara?
Tuna serikali yenye midomo miwili?

Machozi yamenitoka kuona mtu amepiga magoti kujisalimisha akipigwa teke usoni.
 
Source; ITV.
Walioshuhudia mapigo ya wamachinga jijini Mwanza kwa macho or through ITV habari jioni wamesema hayo mambo yalikuwa yanatokea before 1994 kule South Africa na ni nadra sana kuyaona katika nchi huru.
Hivi si ni Rais aliyewaruhusu hawa Watanzania wenzetu wafanye biashara?
Tuna serikali yenye midomo miwili?
Machozi yamenitoka kuona mtu amepiga magoti kujisalimisha akipigwa teke usoni.
hawa ndiyo ndugu Pengo anasema tuwaunge mkono na kuwaombea, imagine??
 
Source; ITV.
Walioshuhudia mapigo ya wamachinga jijini Mwanza kwa macho or through ITV habari jioni wamesema hayo mambo yalikuwa yanatokea before 1994 kule South Africa na ni nadra sana kuyaona katika nchi huru.
Hivi si ni Rais aliyewaruhusu hawa Watanzania wenzetu wafanye biashara?
Tuna serikali yenye midomo miwili?
Machozi yamenitoka kuona mtu amepiga magoti kujisalimisha akipigwa teke usoni.
Ahaa chezea kauli za "kukurupuka"...nimekumbuka kauli ya jana ya Rais Trump akikana baada ya kuudanganya uma eti yeye ndo Rais pekee wa Republican kutokea aliyesshinda kwa kura nyingi "electoral College" kuliko marais waliomtangulia...alipopewa Facts na mwandishi wa Habari kuwa hata Bush alimshinda akakimbilia kujitetea eti hata yeye alipotoshwa na wasaidizi..
 
Source; ITV.
Walioshuhudia mapigo ya wamachinga jijini Mwanza kwa macho or through ITV habari jioni wamesema hayo mambo yalikuwa yanatokea before 1994 kule South Africa na ni nadra sana kuyaona katika nchi huru.
Hivi si ni Rais aliyewaruhusu hawa Watanzania wenzetu wafanye biashara?
Tuna serikali yenye midomo miwili?
Machozi yamenitoka kuona mtu amepiga magoti kujisalimisha akipigwa teke usoni.

Ndio taifa lenye wajinga hilo so kazi kwenu mnapoambiwa mjipambanue hamuelewi
 
Inachukiza na kusikitisha kuona wanamgambo wanampiga mtu teke la kichwa wakati ameishapiga magopi. Ningeelewa kidogo kama yule kijana angekuwa anakaidi amri.

Hawa wana mgambo hawana hata chembe ya ubinadamu achilia mbali maadili ya kazi.

Wao na Viongozi wao wamekalia kuti kavu.
 
Source; ITV.
Walioshuhudia mapigo ya wamachinga jijini Mwanza kwa macho or through ITV habari jioni wamesema hayo mambo yalikuwa yanatokea before 1994 kule South Africa na ni nadra sana kuyaona katika nchi huru.
Hivi si ni Rais aliyewaruhusu hawa Watanzania wenzetu wafanye biashara?
Tuna serikali yenye midomo miwili?
Machozi yamenitoka kuona mtu amepiga magoti kujisalimisha akipigwa teke usoni.
Na wewe nawe mbona kigeugeu.. Mara uwapondee wamachinga mara uwaonee huruma.. But kweli wale mgambo wanapaswa kuchukuliwa hatua... Kuwaondoa hatukatai but watumie busara
 
Inachukiza na kusikitisha kuona wanamgambo wanampiga mtu teke la kichwa wakati ameishapiga magopi. Ningeelewa kidogo kama yule kijana angekuwa anakaidi amri.

Hawa wana mgambo hawana hata chembe ya ubinadamu achilia mbali maadili ya kazi.

Wao na Viongozi wao wamekalia kuti kavu.
Rejea agizo la mtukufu.... Watu waopope fyombo fya dola....

Hapa kazi tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom