sio kosa lako,
kuna watu wanaamini hadi leo Bruce Lee yupo hai,
Kuna watu wanaamini hadi leo Bob marley yupo hai,
Kuna watu wanaamini hadi leo Princess Diana yupo hai,
Kuna watu wanaamini hadi leo Kanumba yupo hai,
kuna watu wanaamni hadi leo Nyerere yupo hai,
Kwahiyo mkuu endelea tu kuamini....