Vipi nimrundishie huyu mama hela zake?

Vipi nimrundishie huyu mama hela zake?

Shy land

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
6,245
Reaction score
2,856
Naombeni ushauri wa haraka haraka wana jf,

Kutokana na wife kwenda home sasa najipikia ili kupunguza garama ya kwenda kwa mamantilie,

Nimefika home kutoka kazini
nimeenda kununua samaki wa tsh 2000 nikampa shilingi elfu kumi akanipa chenji, lakini cha kushagaza nimefika home nimengudua amenipa chechi ya elfu 30,000.

Vipi nimrundishie huyu mama hela zake?

asanteni sana kwa ushauri wenu, tiyari hela nimezirudisha toka jana
 
Tafadhali mrudishie. Huenda zikawa ndio mauzo yake ya siku nzima na pia huenda mtaji wa hiyo biashara amekopa.
 
Tafadhali mrudishie. Huenda zikawa ndio mauzo yake ya siku nzima na pia huenda mtaji wa hiyo biashara amekopa.

Asante sana ngoja nifanye hivyo!
 
Naombeni ushauri wa haraka haraka wana jf,

kutokana na wife kwenda home sasa najipikia ili kupunguza garama ya kwenda kwa mamantilie,

nimefika home kutoka kazini
nimeenda kununua samaki wa tsh 2000 nikampa shilingi elfu kumi akanipa chechi, lakn cha kushagaza nimefika home nimengudua amenipa chechi ya elfu 30,000
vp? nimrundishie huyu mama hela zake.

hiyo kitu aipo
 
huyu ndo daudi kipara na huyo hapo juu ni kakaake.
 
Naombeni ushauri wa haraka haraka wana jf,

kutokana na wife kwenda home sasa najipikia ili kupunguza garama ya kwenda kwa mamantilie,

nimefika home kutoka kazini
nimeenda kununua samaki wa tsh 2000 nikampa shilingi elfu kumi akanipa chechi, lakn cha kushagaza nimefika home nimengudua amenipa chechi ya elfu 30,000
vp? nimrundishie huyu mama hela zake.

Wabongo bna shitt sana yan hadi kwenye kutenda haki unaomba ushauri?halafu ndo nyie vifua mbele kutaka taifa lenye usawa huo usawa utoke wapi kama unashindwa kutenda haki bila kushauriwa?
 
Itafika kipindi mtu akitaka kwenda ku-download atauliza kwanza jf, aende asiende
 
Naombeni ushauri wa haraka haraka wana jf,

Kutokana na wife kwenda home sasa najipikia ili kupunguza garama ya kwenda kwa mamantilie,

Nimefika home kutoka kazini
nimeenda kununua samaki wa tsh 2000 nikampa shilingi elfu kumi akanipa chenji, lakini cha kushagaza nimefika home nimengudua amenipa chechi ya elfu 30,000.

Vipi nimrundishie huyu mama hela zake?

Mrudishie maana atakuwa amepata hasara kubwa sana
 
Mada zako ni za uongo na kitoto.TAHADHARI: Usitokwe povu huo ndio ukweli..
 
Back
Top Bottom