RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,510
- 135,559
Naombeni ushauri wa haraka haraka wana jf,
Kutokana na wife kwenda home sasa najipikia ili kupunguza garama ya kwenda kwa mamantilie,
Nimefika home kutoka kazini
nimeenda kununua samaki wa tsh 2000 nikampa shilingi elfu kumi akanipa chenji, lakini cha kushagaza nimefika home nimengudua amenipa chechi ya elfu 30,000.
Vipi nimrundishie huyu mama hela zake?
hizo 30,000 alizokupa ni 10,000 tatu? 5,000 sita? au 10,000 mbili na 5000 mbili? nauliza hivi ili nijue 8,000 aliyotakiwa akurudishie ameichanganya vipi akupe 30,000.