Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,897
- 10,127
Naombeni ushauri wa haraka haraka wana jf,
Kutokana na wife kwenda home sasa najipikia ili kupunguza garama ya kwenda kwa mamantilie,
Nimefika home kutoka kazini
nimeenda kununua samaki wa tsh 2000 nikampa shilingi elfu kumi akanipa chenji, lakini cha kushagaza nimefika home nimengudua amenipa chechi ya elfu 30,000.
Vipi nimrundishie huyu mama hela zake?
Mkuu mrudishie pesa zake,ukizitumia ni Dhulma ambapo Dua ya anaedhulumiwa Mungu anapokea na kuijibu.
Sasa kama unamuogopa Mungu basi rejesha pesa yake na Mungu atakupa fungu lako.Usimpe shetani nafasi baada ya kupata hiyo pesa ukaona matatizo yanaingia ili uitumie.
Na pia hujui yule mama anamlalamikia vipi Mungu juu ya upotevu wa pesa yake.
Mungu anajua zaidi yaliyomo kwenye Mionyo yetu.