Sipati picha raia watakavyopigana vikumbo kuigombea
hii inazuia kabisa au nayo kama ya covid 9 ukichoma unaweza pata pia?






Kama ilivyo covid ukichoma unavaa barakoa hata hii chanjo ya HIV utatakiwa kuvaa ndom kama kawa
#Source JoanahNews![]()






Kama ni kweli tutegemee mauzo ya kinga (condom) kushuka kwa kasi.
Napata hisia kwamba ni hiyo hiyo chanjo ya Uviko 19 imegeuzwa kuwa ya HIV, watu wapigane vikumbo kuchanja.





na mie nahisi hivyo pia lol
Hello chap.......hii inaanza lini ikiwezekana nikapange kabisa foleni