mkuu kua makini kidogo,hali ngumu hii,unaweza ukamtoa mtu nanjilinji mpaka town halafu akutane na "salio lako halitoshelezi"utakondsha watuUmeshatoka mkuu we kesho nenda kachukue
Jamani vp wadau salio tayari au bado?hali yangu inazidi kuwa mbaya kila kukicha ndg zangu
watu wanashindia kahawa ma mihogo duu kweli hii nchi ya viwandaMimi kwa uelewa wangu hadi sasa uchumi utakua vizuri serikalini lakini kwa wananchi wa kipato cha chini noooooo hamna kitu ni fedheha tupu
Bado haujatoka aisee,tuwe wastaarabu unaweza mtoa MTU bush kumbe hakuna kitu na hali yenyewe hiimkuu kua makini kidogo,hali ngumu hii,unaweza ukamtoa mtu nanjilinji mpaka town halafu akutane na "salio lako halitoshelezi"utakondsha watu
Ulizia jwtzBado haujatoka aisee,tuwe wastaarabu unaweza mtoa MTU bush kumbe hakuna kitu na hali yenyewe hii
Teyari tusha chukua mbona Na inaelekea kuisha yes Leo kitu kimesomaUlizia jwtz
Washapata
We bado tunakuhakiki
Jamani vp wadau salio tayari au bado?hali yangu inazidi kuwa mbaya kila kukicha ndg zangu
Miezi kumi unaishijeVumilia tu Mkuu kwani wenzako Wafanyakazi wa Uhuru Media sasa wana mwezi wa 10 hawajalipwa na hawalalamiki huku wakiwa wameshakomaa kwa ' kudhulumiwa '.
Wanauza Mali za chama.Miezi kumi unaishije
Bado haujatokaCheki saiv mkuu