Vipi mshahara wa November?

Vipi mshahara wa November?

6bf080541b9cfc3065ba25667726d95b.jpg

Wote tusome kwa sauti
1234567890123556789012345678900
Turudie X 50
 
Mimi kwa uelewa wangu hadi sasa uchumi utakua vizuri serikalini lakini kwa wananchi wa kipato cha chini noooooo hamna kitu ni fedheha tupu
watu wanashindia kahawa ma mihogo duu kweli hii nchi ya viwanda
 
Jamani vp wadau salio tayari au bado?hali yangu inazidi kuwa mbaya kila kukicha ndg zangu

Vumilia tu Mkuu kwani wenzako Wafanyakazi wa Uhuru Media sasa wana mwezi wa 10 hawajalipwa na hawalalamiki huku wakiwa wameshakomaa kwa ' kudhulumiwa '.
 
Back
Top Bottom