DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,470
Kuna jambo linanishangaza kidogo, embu tusaidiane.
Kila siku naona ziara za kutembelea ujenzi wa uwanja mpya wa Arusha, ila sijawahi kuona wala kusikia maendeleo ya uwanja mpya wa Dodoma. Je, uwanja huo haupo katika plan za AFCON?
Pia nina wasiwasi sana hizi ziara za uwanja wa Arusha zinaweza kabisa kuwa zinaharibu ratiba na utendaji wa mafundi ujenzi na mainjinia maana kama zimekuwa nyingi sana na hazina tija yoyote. Ujenzi usipokamilika kwa wakati tutaanza kunyoosheana vidole na kusema tumehujumiwa.
Tupeane update za ujenzi wa uwanja wa Dodoma.
PS. Binafsi nadhani na naamini viwanja vya Arusha na Dodoma vilitakiwa kujengwa Mwanza na Mbeya.
Kila siku naona ziara za kutembelea ujenzi wa uwanja mpya wa Arusha, ila sijawahi kuona wala kusikia maendeleo ya uwanja mpya wa Dodoma. Je, uwanja huo haupo katika plan za AFCON?
Pia nina wasiwasi sana hizi ziara za uwanja wa Arusha zinaweza kabisa kuwa zinaharibu ratiba na utendaji wa mafundi ujenzi na mainjinia maana kama zimekuwa nyingi sana na hazina tija yoyote. Ujenzi usipokamilika kwa wakati tutaanza kunyoosheana vidole na kusema tumehujumiwa.
Tupeane update za ujenzi wa uwanja wa Dodoma.
PS. Binafsi nadhani na naamini viwanja vya Arusha na Dodoma vilitakiwa kujengwa Mwanza na Mbeya.