Mp19
JF-Expert Member
- May 3, 2019
- 259
- 715
Wazee kwema?
Mwenye info kuhusu zile chances zilizotolewa na Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa watumishi wanaopenda kuhamia anijuze.
Vipi watatoa majina kwa watakaofanikiwa kuchaguliwa au watawasiliana na wahusika direct ili kukamilisha uhamisho wao?
Asanteni.
Mwenye info kuhusu zile chances zilizotolewa na Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa watumishi wanaopenda kuhamia anijuze.
Vipi watatoa majina kwa watakaofanikiwa kuchaguliwa au watawasiliana na wahusika direct ili kukamilisha uhamisho wao?
Asanteni.