HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,704
- 48,140
Kiongozi kwa kweli haya mambo huwa hayatabiriki wewe bora uyaache yatakuumiza kichwa sababu unapokuwa mzungu wa roho na kugharamia sana matokeo yake pesa yako hiyo hiyo wanaenda pewa wanaume wenzio wewe unachukuliwa buzi tu, na ukiwa huna kitu ataenda nje pia sababu wewe huna mkwanja, basi ni majanga tu.
Omba itokee upate mwenye kuelewa maisha ambae mtaendana
Omba itokee upate mwenye kuelewa maisha ambae mtaendana