Vipi anakutesa? Tumia pesa!

^^
Leo watakana hawapendi pesa, badili mada upondee pesa uone wanavyoshabikia pesa,
Type of hypocricy!
^^

Hawa mabinti wa jf ni chaja ya kobe hawaeleweki.

Wako radhi kusema mavi ya mbuzi ni karanga ili tu kuji-defance!
 
Unacheka kisha unanipa pole

Unamajungu wewe mtoto!!!

Nilipata presha ya kuteleza.

Wa humu jf ndiyo..... mmmmmhhhhh!!!!!!! Nitakuja na kisa chao kesho kutwa.

hahahaaaaa kucheka lazima... sasa hiyo presha ya kuteleza haijakukanumbalize?
 
Kuna ka dem kanaitwa Heaven on Earth ni kabishi kuliko!

We differ....
baby lazma nimpe zawadi zawadi mashati viatu n.k
mara moja moja namuomba tutoke nalipa bill
pesa inaongeza furaha kwenye mapenzi
tatizo watu wanadhani ukisema pesa basi uwe nazo kama bakhresa au baba wawili wa Ipp....
 
Mbona unaishi kwa majugu sana we mtoto.

Ulitaka nife ujekula nyama au uridhi ipad yangu, imekula kwako!

Nilitaka ufe nije kuchangisha rambirambi... si kama siredi ilivosimamisha pesa mbele!!!!
Ipad sijui kuitumia... mie ni simens ya toch tu.... so ningedili na ela...
 
Back
Top Bottom