Vipi anakutesa? Tumia pesa!

Vipi anakutesa? Tumia pesa!

Nilitaka ufe nije kuchangisha rambirambi... si kama siredi ilivosimamisha pesa mbele!!!!
Ipad sijui kuitumia... mie ni simens ya toch tu.... so ningedili na ela...
Ukafungua akaunti m-pawa utimize malengo kwa michango ya rambirambi.
 
Mf.Chakula,nguo na malazi ni lazima kwa binadamu wakati kumiliki baiskeli/pikipiki/gari si lazima lakin ni muhimu.

Hauwezi kuyatenganisha mapenzi na pesa hata siku mojo.

Na umuhimu wa pesa ndiyo unaifanya iwe lazima.
 
Pesa ni muhimu itahusika direct n indirect way
Mkuu Phlagiey tambua bila pesa kuna mambo yatakubana kuonyesha upendo wako kwa umpendae
Mfano kumtoa out...kumjali pale alipo na shida...kupiga simu unatumia vocha ...vizawadi nk

Pamoja na pesa kutawala ni kama pilau bila kachumari hainogi lazima uweke matawi ya upendo, kumheshimu gal wako, kujituma as man, kuwa decision maker, know ur responsibility

Most of women wanakwenda na tukio mda akitaka pesa apate...mda akitaka upendo apate na sio vice versa yake
 
Last edited by a moderator:
Mi pia nimekumiss sana shemeji angu hadi napata homa.....

Hiyo homa naomba isiwe dengue..!

Ukimuona masai dada mwambie kaka yake nina muhitaji ajekunywa kiloriti...maana nasikia mjini hali sio salama tena!
 
Kiukweli unaweza ukawa na mwanaume unampenda na ata huwazii pesa kutoka kwake ila akawa anakuletea jeuri..kwa style hii niliapa sipendi tena..ila pesa kwanza mapenzi baadae.!Good girl gone bad
 
Back
Top Bottom