Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
moyo ndo kila kitu,ukikuongoza kwenye pesa basi ukiona wallet mapenzi yanafufuka,ukikuongoza kwingine ndo hivyo tena....mapenzi hayana formula
^^
Leo watakana hawapendi pesa, badili mada upondee pesa uone wanavyoshabikia pesa,
Type of hypocricy!
^^
Unacheka kisha unanipa pole
Unamajungu wewe mtoto!!!
Nilipata presha ya kuteleza.
Wa humu jf ndiyo..... mmmmmhhhhh!!!!!!! Nitakuja na kisa chao kesho kutwa.
usipende kucream mambo
CC: Heaven on Earth .............!!
^^
Heri kucream kuliko kuwa kigeugeu, leo hili kesho lile.
^^
Kuna ka dem kanaitwa Heaven on Earth ni kabishi kuliko!
Kuna ka dem kanaitwa Heaven on Earth ni kabishi kuliko!
^^
Nimecrame nini?
^^
Mie mzima wa afya za masiku?
kua kila mwanamke hapa jf anapenda pesa
Mbona unaishi kwa majugu sana we mtoto.
Ulitaka nife ujekula nyama au uridhi ipad yangu, imekula kwako!