Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
- Thread starter
- #1,241
Angalia post # 1115 (kama unatumia app kwenye simu nenda page ya 101)NAOMBA LINK YA KUINGIA EPISODE YA 5 @bold
Angalia post # 1115 (kama unatumia app kwenye simu nenda page ya 101)NAOMBA LINK YA KUINGIA EPISODE YA 5 @bold
C naongea kikwetu tuu tatizo nn bwanaKifaransa mama kinapanda???
I believe una pua tam kama ya kinyarwandaC naongea kikwetu tuu tatizo nn bwana
C naongea kikwetu tuu tatizo nn bwana
mara ukakuta pua kama mhutu lol utanichambaje sipati pichaI believe una pua tam kama ya kinyarwanda
Huyo cha mtt mbona yangu tamu balaa khaa mie nae bwana najisifia mwenyewe
Nenda uzi namba 1115Kiongozi Episode ya 5 inagoma kuniletea link .Msaada tafadhali
Vita ni ngumu zaidi ya Hadithi wakuu.
Mkuu huduma unayotoa ww na hicho kidogo nilichokifanya si chochote si lolote,Shukrani sana Mkuu! Mungu akuongezee maradufu..
Barikiwa..
Mashallah,si Pua nimevutiwa na LIPS tena