Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Wewe nae ndio nini kuturusha roho hivi jamani?
Sio kwa mbwembwe hizi...

Ila hii story ni ya aina yake,kwa kumbukumbu zangu sijawahi kuona story yoyote humu JF ikiwa na teaser...I like it.

Wajua mimi ni shabiki wako wa kutupwa,mambo kama haya ndio nazidi kukukubali.

I got your back babe

#TheBoldIsMine#
 
Wewe nae ndio nini kuturusha roho hivi jamani?
Sio kwa mbwembwe hizi...

Ila hii story ni ya aina yake,kwa kumbukumbu zangu sijawahi kuona story yoyote humu JF ikiwa na teaser...I like it.

Wajua mimi ni shabiki wako wa kutupwa,mambo kama haya ndio nazidi kukukubali.

I got your back babe

#TheBoldIsMine#


#TheBold's
 
Mkuu The Bold nimejichanganya. Nilifikiria ni Jumapili hii nimekaa kusubiri naona patupu. Eeeh kweli hii movie chezea hengine sio hapa.
 
yes nadhani ni vizuri mods wakizipandisha pale page ya kwanza.. ila zisikae kwenye post moja.. ingekuwa vizuri post # 1 ikae episode 2, post # 2 ikae episode 2 na kuendelea..

mods tusaidieni kwenye hilo.. JamiiForums Maxence Melo Mod 1 Mod 2 Mod 3 Mod 4 Mod 5




THE BOLD NATHANI LEO NI JUMAPILI MAANA NIMEAMKA SAA KUMI NA MBILI ILI NISOME
ILA KAZI NZURI Hongeraaa
UNI TAG BASI
 
Hiyo teaser hapo juu ni kiboko,
Kama vile mtu mwenye njaa ya kutwa nzima halafu unampatia kipande kidogo cha mkate. The bold ubarikiwe.
 
Mkuu episode 2 lini?
naomba uwe una ni tag napenda sana simulizi zako
2017 wenye mafanikio kwako. The bold
 
Mkuu episode 2 lini?
naomba uwe una ni tag napenda sana simulizi zako
2017 wenye mafanikio kwako. The bold
Pale mwishoni mwa episode 1 (post # 1) kuna link inayokupeleka moja kwa moja post # 282 kwenye episode 2

Shukrani mkuu! Tayari nimekuongeza kwenye taglist
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom