Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Yeah,hii nayo ilikuwa kali japo nimeanza kuisahau.

Hii ndio ile ya yule bibi mchawi anamtesa mwanae aliyekataa kurithi uchawi?
Bibi yake Patrick sijui....
No hii kuna mtoto nahisi anaitwa Grayson alizaliwa na utindio wa ubongo mama ake akawatelekeza akaja akapata ukimwi akamuambukiza mumewe, ,,.... aahghhhha nishaisahau,
ila ni family matter
 
Aisee jamaa anatulaza na viatu leo kwa kweli. alafu huku napo umeme umekata simu haina chaji... aaghhhhh,! siku ya kufa miti nyani wote huteleza
Baba Bite ebu jiongeze nahisi mkuu atashusha badae make naona wote na shemu hawaonekani ngoja wamalizie wekeend
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom