VIP wekeza kihalali kuanzia 10,000

VIP wekeza kihalali kuanzia 10,000

Faida kama Faida utapata 500,000/=, ila sasa sijaelewa kama utapata hiyo hiyo 500,000/= tu au inaweza kuongezeka. Maana kuna mahali amesema ISIYOPUNGUA 50%, so pengine inaweza kuzidi pia
anhaa kumbe ndio hivyo
 
Pole sana ndugu yangu. Watu wanawekeza mamilioni. Pitia uwekezaji wetu ulioisha ujionee: Sasa tumewaletea uwekezaji mpya unaolipa kihalali

Subiri waje waliokwisha wekeza nasi wakutoe wasi.

Vitendo SACCOS tunafanya mageuzi ya uwekezaji. Miradi yetu ya halali na ipo wazi unaweza kuitembelea muda wowote kujionea 24/7.

Karibu sana VTS. Kwa maelezo zaidi piga au whatsapp 0625249605.
Kumbe huo wa mwanzo haulipi kihalali
 
Faida kama Faida utapata 500,000/=, ila sasa sijaelewa kama utapata hiyo hiyo 500,000/= tu au inaweza kuongezeka. Maana kuna mahali amesema ISIYOPUNGUA 50%, so pengine inaweza kuzidi pia
Inaweza kuongezeka lakini haiwezi kupunguaa. Itategemea na mwisho tutavyopiga hesabu zetu za miradi tuliowekeza, kama umelipa vizuri nawe unafaidika.

Tunabadilisha kabisa mfumo wa uwekezaji. Tunatamani kila mwekezaji afaidike. Ndani ya VTS tunasema "faida kwa wengi".
 
Kumbe huo wa mwanzo haulipi kihalali
sijakuelewa, wa mwanzo upi?

Mpaka sasa tumeanzisha miradi sita pamoja na huu. Wa kwanza umekamilika, wa pili watu wanapokea mafao, wa tatu umekamilika. Wa nne watu wanapokea mafao na wengi wao wamesharudisha mitaji na wameanza kupokea faida. Wa tano tumekamilisha kuchangia mtaji juzi na utaanza wakati wowote. Huu wa sita.
 
Kauli njema kabisa kutoka kwa mwekezaji Diaspora...

Assalaamualaykum, nami ningependa kutoa ushuhuda wangu wa kazi nzuri inayofanywa Mr. & Mrs. Abdul Ghafoor katika mradi wa bodaboda alhamdulillah tuliwekeza pamoja na mama watoto kwa jinsi ya imani tu, kwani hadi hii leo hutajawahi kuonana wala kuiona hiyo miradi lakini imani yetu ilikuwa kubwa kwa jinsi walivyokuwa wakitueleza kupitia JF na WhatsApp na simu, alhamdulillah fedha tulizowekeza zimesharudi na sasa tunayaona matunda ya kuwekeza kwa kupata faida. Mzee Ghafoor na mkewe ni watu wa kuigwa na kupewa full support kwa nia yao njema katika kumuinua mwana Vitendo ili aweze kujimudu kiuchumi. Nawaombea uzima na afya wale wote kwa namna moja au nyingine waliyowezesha jambo hili kufikia hapa lilipo. In shaa Allah sito sita kuwekeza zaidi katika miradi ya Vitendo na najaribu kuwashawishi ndugu na marafiki ili nao wawe miongoni mwa familia ya Vitendo Saccos.
 
Kauli njema kabisa kutoka kwa mwekezaji Diaspora...

Assalaamualaykum, nami ningependa kutoa ushuhuda wangu wa kazi nzuri inayofanywa Mr. & Mrs. Abdul Ghafoor katika mradi wa bodaboda alhamdulillah tuliwekeza pamoja na mama watoto kwa jinsi ya imani tu, kwani hadi hii leo hutajawahi kuonana wala kuiona hiyo miradi lakini imani yetu ilikuwa kubwa kwa jinsi walivyokuwa wakitueleza kupitia JF na WhatsApp na simu, alhamdulillah fedha tulizowekeza zimesharudi na sasa tunayaona matunda ya kuwekeza kwa kupata faida. Mzee Ghafoor na mkewe ni watu wa kuigwa na kupewa full support kwa nia yao njema katika kumuinua mwana Vitendo ili aweze kujimudu kiuchumi. Nawaombea uzima na afya wale wote kwa namna moja au nyingine waliyowezesha jambo hili kufikia hapa lilipo. In shaa Allah sito sita kuwekeza zaidi katika miradi ya Vitendo na najaribu kuwashawishi ndugu na marafiki ili nao wawe miongoni mwa familia ya Vitendo Saccos.
Asante sana Abu Ahmed.
 
Vitendo SACCOS, inawaletea uwekezaji mpya na wa aina yake. Unaweza sasa kuwekeza kuanzia Shillingi 10,000 ukawa na faida sawa na aliewekeza million 10.

Vitendo SACCOS ni mjumuiko wa wapenda maendeleo bila kujali rangi, kabila, dini, wapi unaishi. Mradi wewe ni Mtanzania uliejiunga na Vitendo SACCOS na umri wako ni zaidi ya miaka 18. Sasa unaweza kuwekeza kuanzia 10,000 na kuendelea.

Mpango wetu mpya na wa sita wa kuwekeza kwa kuchangiana mtaji umeanza rasmi leo tarehe 05/06/2017.

Mpango huo uinaitwa VIP, Vitendo Investment Partnership.

Unawekeza kiasi chochote kuanzia 10,000 na unaanza kupata mafao baada ya siku 30 za matayarisho kwa wiki 26 za kazi kwa faida ya 50%.

Mpango huu ni kwa wanachama wa Vitendo SACCOS tu. Kama hujajiunga jiunge leo ufaidike.

Vitendo SACCOS tayari ina wanachama zaidi ya 120 kutoka mikoa tofauti ya Tanzania na Watanzania waliopo nje ya Tanzania wengi wameanza kujiunga na kufaidika.

Ukijiunga unaunganishwa na group letu la whatsapp na humo kuna mengi sana ya maendeleo.

Tunawakaribisha Watanzania wote popote walipo.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nami 0625249605.

Abdul Ghafur
Mwenyekiti.

Vitendo SACCOS.
Ni registered organization ?
 
Dah..... kwa ugumu huu wa maisha. Sijui nani mtampiga kirahisi ivyo
Samahani sana ndugu yangu. Si lugha nzuri hio.

Miradi yetu ipo wazi tunakukaribisha uje kujionea kisha ulete comments stahiki. Si vyema kuongea hivyo kwa kazi na watu usiowajua.

Karibu sana Vitendo, ujionee kisha uwe VIP.

Kwa maelezo zaidi piga au whatsapp 0625249605 au tutembelee, Vitendo House, Misugusugu, Kibaha - Pwani, mtaa wa Vitendo. Any time, office zetu ni hapa hapa, nyumbani kwetu hapa hapa na miradi yote ipo hapa hapa Misugusugu.

Karibu sana.
 
Ni registered organization ?

Vitendo SACCOS ipo under registration process ambayo itakamilika wakati wowote kuanzia Jumatatu.

Miradi yote inafanywa na wanachama wa SACCOS nje ya SACCOS kwa sasa na yote ipo kihalali. Kwa sasa tunawekeza kwenye machimbo ya mchanga ambayo yote yana vibali vya halali kabisa.

Karibu sana ututembelee ujionee shughuli zetu.

Process ya usajili wa SACCOS imekuwa ndefu kidogo, kwani huwezi kujisajili mpaka utimize idadi fulani ya wanachama uwe na Katiba iliyopitishwa na wanachama na uwe na ofisi za saccos. Ndio maana tunawekeza nje ya SACCOS ili tu raise funds za kukamilisha yote hayo.

SACCOS yetu haina riba kwa hiyo mapato yote yanatokana na uwekezaji kwenye miradi. Na faida ndio mapato ya saccos.
 
Kauli njema za wawekezaji...

Shukran sana maalim. Nathamini uaminifu wako. Ni furaha kubwa moyoni mwangu kuwa hatimaye nimeshapata faida katika uwekezaji wangu. Ahsante sana maalim. Natumai kuwekeza zaidi kwenye miradi inayofuata

Kimsingi ninayo confidence ya kuweza kuwekeza hata 10M chini ya uangalizi wako. Kimsingi tunawekeza tukijua uwekezaji wowote una changamoto ambazo sometimes inaweza kupalekea delayed payments. Kitu pekee na cha msingi kuwapa confidence wawekezaji ni kuwa na utaratibu wa kutoa updates kwa kila hatua kama ufanyavyo. Bravo
 
Back
Top Bottom