VIP wekeza kihalali kuanzia 10,000

VIP wekeza kihalali kuanzia 10,000

Hawa Vitendo wako vizuri sana,nimewahi kuwatembelea,na ninawakubali sana,sijui kwa nini mpaka leo sijajiunga,toka niwatembelee sijatulia kwa kazi,zilivyonizunguka,lakini tuombe uhai na uzima,itabidi niwatembelee tena na kujiunga,wako vizuri sana.
Karibu sana.
 
NCHI YA VIWANDA! WATU WANAKUJA NA UBUNIFU MBALIMBALI.MIMI NINGEKUSHAURI UNGEWEKA KWANZA PHYSICAL ADDRESS YA OFISINI KWENU NA TUJUE OFISI YENU IPO WAPI.REGISTRATION CERTIFICATE,TUPIA MAJINA YA VIONGOZI WENU KWANI SIKU HIZI MAISHA YAMEBADIRIKA NJAA KALI.MTU KUTUMA SHS ELFU KUMI KWENYE NAMBA YA SACCOS ISIYOJULIKANA NI NGUMU MKUU
 
NCHI YA VIWANDA! WATU WANAKUJA NA UBUNIFU MBALIMBALI.MIMI NINGEKUSHAURI UNGEWEKA KWANZA PHYSICAL ADDRESS YA OFISINI KWENU NA TUJUE OFISI YENU IPO WAPI.REGISTRATION CERTIFICATE,TUPIA MAJINA YA VIONGOZI WENU KWANI SIKU HIZI MAISHA YAMEBADIRIKA NJAA KALI.MTU KUTUMA SHS ELFU KUMI KWENYE NAMBA YA SACCOS ISIYOJULIKANA NI NGUMU MKUU

Mwekezaji ni mimi personally. Na unaweza kututembelea. Usiwekeze bila kujikinaisha.

Physical address yetu ni: Vitendo, House. Misugusugu, Kibaha, Pwani. Mtaa wa Vitendo.

Mobile 0625249605.

Karibu sana uwe VIP.
 
Mwekezaji ni mimi personally. Na unaweza kututembelea. Usiwekeze bila kujikinaisha.

Physical address yetu ni: Vitendo, House. Misugusugu, Kibaha, Pwani. Mtaa wa Vitendo.

Mobile 0625249605.

Karibu sana uwe VIP.
Kiongozi Mimi sina hela ya kuwekeza ila naomba tu uniajiri kama operator Wa hiyo excavator.
 
Ni poa sana, kwani hiyo mashine IPO na haina operator au bado mradi haujaanza?

Mashine ipo yupo operator mmoja ambae hatoshi kwani tunategemea kuifanyisha kazi masaa 16 hadi 18 kwa siku.

Kazi haijaanza tunangoja parts kutoka UK.
 
Mashine ipo yupo operator mmoja ambae hatoshi kwani tunategemea kuifanyisha kazi masaa 16 hadi 18 kwa siku.

Kazi haijaanza tunangoja parts kutoka UK.
Sawa kiongozi, nitacheki na mawasiliano ulioweka kama patakuwa na uhitaji.
 
Kiongozi Mimi sina hela ya kuwekeza ila naomba tu uniajiri kama operator Wa hiyo excavator.
Nimefurahishwa, naona unatufatilia sana maana huu uzi sio wa mradi wa excavator. Ule tulishafunga uwekezaji wake.
 
Nimefurahishwa, naona unatufatilia sana maana huu uzi sio wa mradi wa excavator. Ule tulishafunga uwekezaji wake.
Ni kweli kiongozi, mi baada ya kuona mnafunga uwekezaji nikaona sasa kazi inabidi ianze na wafanyakazi ndo sisi!
 
Ni kweli kiongozi, mi baada ya kuona mnafunga uwekezaji nikaona sasa kazi inabidi ianze na wafanyakazi ndo sisi!

Karibu sana. Ndani ya VTS huwa tunatangaza nafasi za kazi tafauti mara kwa mara.
 
Aisee kwa hiyo kwa mfano nikiweka buku ten..faida ni ngapi
 
Back
Top Bottom