Viota vya arusha

Viota vya arusha

kamkoda

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
396
Reaction score
71
Kwa wale wakaazi wa Arusha tafadhali nisaidieni kujua viota vya wale dada zetu wa kimataifa angalau tusafishe nyota

Jamaa mmoja aliniambia mrina lakini sina hakika sana.

Asenti!
 
Kwa wale wakaazi wa Arusha tafadhali nisaidieni kujua viota vya wale dada zetu wa kimataifa angalau tusafishe nyota

Jamaa mmoja aliniambia mrina lakini sina hakika sana.

Asenti!


Usiogope dogo kama upo interested hujadanganywa ni maeneo yote yanayozunguka Mrina Bar - Pikiniki!!!!

Uje utuambie vile siku utayokuwa unakohoa au ukiibia mpaka nauli.
 
Kijana anapenda mbuga lol!!unaweza lugha na usd kwenye wallet zinasoma?
 
ngoja nikushushie list,kama unawapenda,ila wasiliana na ma-fly-catcher wanapatikana sana pale boma street ili wakupe mbinu ya "kusafisha nyota"
1.via via
2.maasai camp
3.boogaloo
4.geti za national parks
5.maasai village,karibu na fire
6.meserani snake farm
7.tembelea mitaa ya usa river kuna wazungu wengi sana nyakati za jioni
8.airport
9.ofisi za immigration utawakuta
10.hospitali ya AAR-wako wengi sana wanaenda wakisumbuliwa na mafua na malaria
11.La Fiesta njiro
12.Nduruma pollo
13.swimming pools za mahotelini weekends

ila hakikisha na mfuko wako hauko vibaya,usikose USD 100,,,,in minimum....bei za vinywaji huko ni za kuumiza kichwa,usishangae kuuziwa bia ya TBL kwa 5000tsh
 
nenda chinese restaurant impala . lakini uwe na fungu la maana
 
Sijaelewa mkuu. Unataka kufanya international prostitution? Una dreadz na kidhungu cha yeah yeah kama Natalia?
 
Last edited by a moderator:
Najalibu kumfahamisha arusha hakuna shortcut full kujipa
nga.
 
Back
Top Bottom