Uzi wangu wa userious ni ule wa pata pesa bila kuvuja jasho..
Humu kuna vichwa makini kama kina Evelyn Salt ambaye alikuja kutoa uzi wa ushuhuda kutokana na mafunzo ya kupata pesa bila kuvuja jasho
Mwambie abebe hiyo zege mkuu asiogope ni katika mapito haitakuwa milele, said Salim Bakhressa anasema yeye alikuwa anachoma na kuuza vitumbua , Gwajima anasema alikuwa anachoma mkaa kijijini Shinyanga ni mifano tu nafikiri amenielewaπ