Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Mimi nilifikiri anaishi Wawi na angemzika mke wake Wawi,naamini ana uwezo wa kusafirisha mwili wa marehemu kwa ndege hadi Wawi,udumu muungano
chezeya dar wewe,masikin watu wa kwao wameshindwa uzulia,wabunge karibia wote wanaishi dar,majimbon mwao uenda kuomba kura tu