Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
[media]http://www.youtube.com/watch?v=k6Y_ncOVlDw&eurl=http://www.huffingtonpost.com/2008/11/20/world-leaders-dont-shake_n_145141.html[/media]
Hata miye nafikiria hivyo, bush mwenyewe ndo kawachunia. Asubuhi ya leo nilikuwa naangalia news, CNN wanadai Bush ndo kawachunia wenzie na wapambe kutoka nyumba nyeupe wanasema hakuwa na haja ya kuwasalimia tena kwa vile alishasalimiana nao alipokuwa akiwakaribisha white house.