Viongozi wa ulaya ni wale waliofeli shule tofauti na wetu ambao ni wasomi.
Hao wetu wasomi wakawa omabomba kwa waliofeli,mkuu una kitu ndani yako ukijitahidi utakuwa mjinga bora.Viongozi wa ulaya ni wale waliofeli shule tofauti na wetu ambao ni wasomi.
Huwezi kumpata Professor nje ya University corridors.Viongozi wa ulaya ni wale waliofeli shule tofauti na wetu ambao ni wasomi.
Dr Samia bila shuleHabari za mida hii wakuu
Nimekaa najiuliza hapa, kwanini viongozi wamataifa ya nje kama vile ulaya, Asia n.k hawana titles kama zetu
Huwezi kukuta Mtu maarufu kama vile Dr. Obama, Dr. Trump, Dr. Putin, Dr. Biden, Dr. Bush, Dr.
Kwanini karibun
Dr Cheni,Dr Maghayo (Ph.D) 😹😹
Watu weusi wengi wanapenda sifa za kijinga
Sasa hao ma Dr wa kikwetu nenda majumbani mwao huwezi mtofautisha na aliyeishia darasa pili unajiuliza huyu ndiye PhD holder au walimpachika mbona hana tofauti na mla ndumu !Habari za mida hii wakuu
Nimekaa najiuliza hapa, kwanini viongozi wamataifa ya nje kama vile ulaya, Asia n.k hawana titles kama zetu
Huwezi kukuta Mtu maarufu kama vile Dr. Obama, Dr. Trump, Dr. Putin, Dr. Biden, Dr. Bush, Dr.
Kwanini? Karibuni.