mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Je ni hisia gani uliwahi kuzipata ulipovuta marijuana aka bange aka majani na je hii kitu inasaidia watu kufaulu darasani?! mwaka tuliomaliza form four zaidi ya nusu ya darasa tulikuwa tunavuta bange na tulifeli wengi mi nilikuwa nasoma page moja saa nzima kuna jamaa alikuwa akiona picha ya bob marley anazimia nasikia kuna viongozi tena mawaziri wanavuta je inawasaidia kuongoza!na wanamuziki pia kama Jide je kuna ukweli juu ya hili mbona mi imenishinda!!